Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi waisraeli watachomokaje? Kesi ya South Africa ipo airtight sana.Kesho saa4 zege halilali mpaka kieleweke?
Hatumwi mtoto dukani,Kesho saa4 zege halilali mpaka kieleweke?
Nimeona raia wa nchi za Afrika wengi wanajipa umuhimu kwenye mashirika ya habari ya nchi za magaharibi, kutaka yaripoti hivi au vile, bila kujua ama kujali mambo niliyoyaorodhesha hapo chini.Hayo maswali yanahusiana vipi na swali langu.
Tatizo Waafrika mnakaa sana kufuatilia BBC na CNN wanaripoti vipi habari, badala ya kuanzisha vyombo vyenu vya habari mripoti mambo mnavyotaka nyinyi.Bbc kesho akibrodcast utetezi wa kina netanyahu, litakua suala la muda tu bbc kufata nyayo za cnn
Case ya Trump ilikuwa haijaanza wakati huo.Hata Marekani wako bussy na Kesi ya mgombea Urais mtarajiwa 2024- D Trump, lakini CNN wapo hewani katika genocide case iliyofunguliwa na Afrika kusini.
Wacha tuwaombe TBC waionyeshe liveVyombo vyote vikubwa vya habari vinaonyesha live kesi inayoendelea genocide case iliyofunguliwa na serikali ya Afrika kusini dhidi ya Israeli lakini BBC ni kama hawajui kinachoendelea kwa sasa.
Marekani ndiyo wapo nyuma ya Israel hivyo unyama wote unaratibiwa na MarekaniIsrahel ni majambazi wa hii dunia
Wenzetu wapo mbele sana kwenye hakiMambo mengine ni kulaumu tu bila kujua.
BBC ni Public broadcaster wa Waingereza hivyo priority Yao iko kwa Waingereza kwanza.
Wiki hizi mbili UK kuna scandal kubwa sana inaendelea wa wafanyakazi wa Posta ambao walifungwa kwa wizi kumbe shida ilikuwa software.
Sasa leo kuna public inquiry ndio imeanza tena leo na mhusika mkuu ndio anatoa ushahidi. Kwahiyo karibu vyombo vyote vya habari vya Uingereza vimeelekeza nguvu huko.
Hata shughuli nyingi za serikali zinesimama ili waziri mkuu na mawaziri wengine kutoa muda wa kutosha kushughulikia scandal hii na kuhakikisha wote waliofungwa wanaachiwa na kulipwa fidia.
Sema Tapeli Tb JoshuaWao wako bize na marehem TB Joshua.
Wenzetu wapo mbele sana kwenye haki
Whatever..the subject here is BbcSema Tapeli Tb Joshua
Utumwa sio mchezo mkuu...pingu ziliwatoka mikononi na miguuni ila KICHWANI bado bongo zimefungwa hatarKwanini mnapenda kushoboka kwa kuwaita "wenzetu" wakati wao hawajawahi kuwaita nyie wenzao hata kwa bahati mbaya?
Walioipuuza cnn majority ni waamerica wenyewe, kwenye global stage mainsteram media inapata malalamiko mengi ya bias-ness ya coverage, namimi nimetoa mawazo yangu tu.Tatizo Waafrika mnakaa sana kufuatilia BBC na CNN wanaripoti vipi habari, badala ya kuanzisha vyombo vyenu vya habari mripoti mambo mnavyotaka nyinyi.
Kwa nini mnakuwa hivyo?
Kwa nini mnataka vyombo vya habari vya watu wengine viripoti mambo mnavyotaka nyie, badala ya nyie kuanzisha vyombo vyenu mkaripoti mnavyotaka wenyewe?
Kama Mmarekani ana chombo chake cha habari kinatoa kipaumbele kwenye habari za kesi za Trump na uchaguzi wa rais wa Marekani wa 2024 kuliko kesi ya South Africa dhidi ya Israel, kwa sababu demographics za watazamaji wake ndio wanaona kipaumbele hivyo, wewe Mtanzania unajiona vipi una haki ya kuwapangia Wamarekani habari gani ni muhimu na gani si muhinu?
Wamarekani wana VOA, Waingereza wana BBC, Wafaransa wana RFI, wa Canada wana CBC, wa Japan wana NHK, wa Jerumani wana Deutschewelle, wa Qatari wana Al-Jazeera, wataliani wana RAI, wa Rusi wana RT, wa Hindi wana Prasar Bharati,
Nyie Waafrika mna nini?
Nyie wa Tanzania mna nini?
Wanapambana na TB Joshua,mengine hawayajuiVyombo vyote vikubwa vya habari vinaonyesha live kesi inayoendelea genocide case iliyofunguliwa na serikali ya Afrika kusini dhidi ya Israeli lakini BBC ni kama hawajui kinachoendelea kwa sasa.
CNN inajiendesha kibiashara bado. Marekani imegawanyika sana, hakuna kitu kinachokubalika na Wamarekani wote. Hata bendera ya nchi tu raia wengine wanataka kuichoma.Walioipuuza cnn majority ni waamerica wenyewe, kwenye global stage mainsteram media inapata malalamiko mengi ya bias-ness ya coverage, namimi nimetoa mawazo yangu tu.
Japo hoja uliyoandika hapo hata mimi hua nalia nayo kila siku kama ulivoandika wewe mkuu
Swali je nini kifanyike
*Gaza has been reduced to rubbles due to Hamas militants' mischievous monster acts toward others resulting in innocent civilians being inflicted with collective punishment by the rivals, whilst the malicious group leaders enjoy a haven life underground the metro tunnels!!!Vyombo vyote vikubwa vya habari vinaonyesha live kesi inayoendelea genocide case iliyofunguliwa na serikali ya Afrika kusini dhidi ya Israeli lakini BBC ni kama hawajui kinachoendelea kwa sasa.