Ushahidi kaufukia Ila mashahidi wapo, nini kingine unataka kusema?
Ishu ya BBC, CNN na media houses kubwa nyingine za huko magharibi kutokurusha live kesi dhidi ya Israel hailalamikiwi na wabongo tu . Kwenye mtandao wa X raia wa USA,EU, middle east na Africa wamekua na mjadala kwasababu wameshangazwa na stance za hizi taasisi leo . Kama ni global news ambayo ni negative kuhusu Israel basi wao wataiweka kabatini.Naweza kusema kuwapangia BBC warushe nini live na wasirushe nini live si sawa.
Kwamba hata wakitoa hourly updates wamefanya coverage pia.
Lakini hata nisiposema hivyo.
Fine.
BBC wako biased tuseme.
Anzisheni vyenu basi mrushe mnavyotaka.
Kwa nini mnataka BBC wafanye mnavyotaka nyie Watanzania wakati this is the British Broadcasting Corporation, not the Tanzanian Broadcasting Corporation?
Mbona hamuwaambii Tanzania Broadcasting Corporation wafanye hiyo live coverage mnayotaka, mnawaambia BBC waifanye?
Mashahidi wapo kwani ushahidi unatoka kwa nani? Sheria ngumu au ulifeli Bar exam pale Law School?Pole kwa kupanic mkuu. Huna ushahidi huna haki ya kuhukumu
Mashahidi wapo kwani ushahidi unatoka kwa nani? Sheria ngumu au ulifeli Bar exam pale Law School?
Nimeeleza hapo juu kwamba hata raia wa hizi nchi hawana absolute na final say kwenye programming za haya mashirika kusema tukio gani lifanyiwe live coverage na lipi lisifanyiwe.Ishu ya BBC, CNN na media houses kubwa nyingine za huko magharibi kutokurusha live kesi dhidi ya Israel hailalamikiwi na wabongo tu . Kwenye mtandao wa X raia wa USA,EU, middle east na Africa wamekua na mjadala kwasababu wameshangazwa na stance za hizi taasisi leo . Kama ni global news ambayo ni negative kuhusu Israel basi wao wataiweka kabatini.
NImekubali yaishe kifupi nime surrenderUmetupa taulo maana yake nini?
Sio mtoto wa kupachika wapo mashahidi 25 wengine alifanya nao kazi kwa muda wote wameamua kumuanika unataka kusemaje? Fuatilia vizuri jamaa ukiondoa ubakaji pia alikua na kesi nyingine kubwa ya mauaji ya watu wengi ambao walifia kwenye eneo lake ambayo alikua anaizima kwa kutumia Pesa wanasema mashadi waliokua wanakataa Pesa hizo wakitaka achukuliwe hatua za kisheriaMashahidi unawaongelea ni huyo mtoto wa kupachikwa aiseee. Mara hii nina degree ya law duh punguza kupanic mkuu
Kifupi umekubari kuolewa hapana nimekosea umekubari kuelewaNImekubali yaishe kifupi nime surrender
Sio mtoto wa kupachika wapo mashahidi 25 wengine alifanya nao kazi kwa muda wote wameamua kumuanika unataka kusemaje? Fuatilia vizuri jamaa ukiondoa ubakaji pia alikua na kesi nyingine kubwa ya mauaji ya watu wengi ambao walifia kwenye eneo lake ambayo alikua anaizima kwa kutumia Pesa wanasema mashadi waliokua wanakataa Pesa hizo wakitaka achukuliwe hatua za kisheria
Wewe Dada unamteteaje mbakaji? Alafu nyinyi baada ndio mpaze sauti nyinyi ndio mnakandamizana wenyewe kwa wenyewe mnamuona mwenzenu anakatwa mapanga vipande vipande mnamuache afe kwanini mnakua na roho za hivyo lakini?Umeshupalia mashahidi mashahidi ila ushahidi wenyewe hauna mashiko,kingine hata mwamposa aliua ila yupo uraiani. Uzi ni BBC wapo busy kumsimanga marehemu umekuja kukurupuka kuleta ngonjera zako,usilazimishe watu wakubaliane nawe. Punguza makasiriko
Wewe Dada unamteteaje mbakaji? Alafu nyinyi baada ndio mpaze sauti nyinyi ndio mnakandamizana wenyewe kwa wenyewe mnamuona mwenzenu anakatwa mapanga vipande vipande mnamuache afe kwanini mnakua na roho za hivyo lakini?
Kwanini wewe unasherehekea hili suala la wanawake wenzako kubakwa, kutiwa mimba, kulazimishwa kutoa mimba kwa njia hatarishi na kufanyiwa ukatiri na mtu ambae ametumia kivuli cha Dini na uchungaji kufanya uovu wake? Mashahidi ni ushahidi tosha wewe unataka ushahidi upi wakuonyeshe tupu zao zilivyofanywa zianikwe mitandaoni au unataka ushahidi upi?
Yaan nilitegemea wanawake ndio mtapaza sauti Ila nyinyi ndio mpo front kuwapinga wanawake wenzenu waliofanyiwa matendo ya kikatiri
Jibu swali kwanini unasherehekea wanawake wenzako kubakwa na kufanyiwa ukatiri wa kijinsia na mtu ambae ametumia kivuli cha Dini na uchungaji kutimiza ukatiri wake huo?Mkuu hayo yako
Uzi unahusu BBC kuipotezea kesi ya mchongo dhidi ya Taifa teule
#Pooovuuuu
What a rubbish,punguza ujuaji coz unakufanya kuzidi kua mjinga.Nimeona raia wa nchi za Afrika wengi wanajipa umuhimu kwenye mashirika ya habari ya nchi za magaharibi, kutaka yaripoti hivi au vile, bila kujua ama kujali mambo niliyoyaorodhesha hapo chini.
Kwenye mashirika ya kiserikali, matakwa haya yanakosa nguvu zaidi.
Kwa sababu:-
1. Mashirika hayo yanaendeshwa kwa kodi za wananchi wa hizo nchi.
2. Mashirika hayo hayalazimiki kuripoti habari zozote ambazo hayataki kuripoti kwa mujibu wa interests za nchi zao.
3. Ni wananchi wa nchi hizo tu, wanaolipia kodi zinazoendesha mashirika hayo, ndio wana haki ya kuyataka mashirika hayo yaripoti nini na vipi.
4. Ikiwa mashirika hayo yatasikiliza maoni ya watu wasio raia wa nchi hizo, hilo ni kwa ukarimu na utashi wa hayo mashirika tu.
5. Ikiwa matakwa ya watu wasio raia wa nchi hizo yatagongana na matakwa ya raia wa nchi hizo, matakwa ya raia wa nchi hizo yatashinda.
Raia wa Afrika, badala ya kulalamikia vyombo vya magaharibi havifanyi hivi na vile, wajikite kuanzisha vyombo vyao vitakavyoripoti habari wanazotaka wao.
Ama sivyo, watakuwa wanafanya sawa na kwenda nyumbani kwa watu, halafu wao wageni wanawalazimisha wale wenyeji wao wapike wanavyotaka wao wageni, watumie viungo hivi na vile, hata kama wale wenyeji wao hawataki.
By the way, mimi nasikiliza BBC World Service wanafanya live coverage ya hii case.
BBC wana habari nyingi hawawezi kusimamisha habari zote ku cover habari unayotaka wewe, muda unaotaka wewe, kwa style unayotaka wewe.
Jibu swali kwanini unasherehekea wanawake wenzako kubakwa na kufanyiwa ukatiri wa kijinsia na mtu ambae ametumia kivuli cha Dini na uchungaji kutimiza ukatiri wake huo?
Unataka ushahidi nimekwambia mashahidi wapo na mashahidi ndio wenye ushahidi unataka nini kingine? Usisahau unajibishana na mtu anaeijua Evidence Act vizuri tu
Huyo mjuviHayo maswali yanahusiana vipi na swali langu.
Kumbe najibishana mtoto wangu wa kike, haya sawa katoto nimekuelewa maana unajibu kitoto toto ukikua ukazaa watoto wa kike utaachaWakati wanabakwa sikuwepo kama ulikuwepo ungewasaidia punguza povu anyway uzi unahusu
Kwanini BBC hawaonyeshi live genocide case Afrika Kusini dhidi ya israel?
UKimstua hata raia wa izo nchi nao huwa wanapiga kelele nayenyewe anakua mkali🤣🤣What a rubbish,punguza ujuaji coz unakufanya kuzidi kua mjinga.
Kumbe najibishana mtoto wangu wa kike, haya sawa katoto nimekuelewa maana unajibu kitoto toto ukikua ukazaa watoto wa kike utaacha