Raia hawaendeshi broadcast services moja kwa moja.UKimstua hata raia wa izo nchi nao huwa wanapiga kelele nayenyewe anakua mkali🤣🤣
Hakuna anaeweza kufanya hivyo hata wewe hauwezi,we unaweza fanya biashara isiyo na faida
Wewe unamteteaje mbakaji kwa kutumia vifungu vya Mhubiri huyo mfalme Suleman mwenyewe aliekiandika hicho kitabu unamjua vizuri au unamsikia? Ushawahi sikia mfalme Sulemani alikua mbakaji wa watoto wenye bikra zao?Mhubiri 2:14
macho yake mwenye hekima yamo kichwani mwake, lakini mpumbavu huenda gizani; ila hata hivyo nikatambua ya kwamba ni tukio moja la mwisho liwapatalo wote sawasawa.
Uko sahihi sana.Nionavyo mimi ni kwamba vyombo vikubwa vya habari vya nchi za magharibi vinajitahidi kuilinda taswira ya Israel mbele ya jamii zao ili isipoteze kuungwa mkono . Reporters wao wapo imbeded na jeshi la Israel kwenye vita kule Gaza,taarifa lazima zipewe green light na Israel ndipo zirushwe hewani.
Naifutilia sana BBC na CNN,wakati wa vita ya Russia/Ukraine jamaa walikua kwenye battlefield,wanahoji wahanga,kuonyesha majeruhi na uharibifu mkubwa. Wakielezea ukatili wa Russia vitani,hii ilikua kampeni ya ku-boost support kwa Ukraine kwa raia wao ili misaada ya silaha na pesa isiwe na vikwazo.
Leo mauaji ya kutisha ambayo Israel imefanya ndani ya muda wa miezi mitatu ni makubwa kuliko ya vita vya Russia/Ukraine vya miaka miwili . CNN, BBC na wengineo vichwa vya habari na habari zao kamili ni kuhusu Israel victimhood, Israel can do no wrong in their eyes.
Kesi ya leo hawajarusha live kwa sababu ingeathiri taswira ya Israel mbele ya raia wao,ule ni mtaji ambao Israel haitakiwi kuupoteza .
Wewe unamteteaje mbakaji kwa kutumia vifungu vya Mhubiri huyo mfalme Suleman mwenyewe aliekiandika hicho kitabu unamjua vizuri au unamsikia? Ushawahi sikia mfalme Sulemani alikua mbakaji wa watoto wenye bikra zao?
Huna hojaMambo mengine ni kulaumu tu bila kujua.
BBC ni Public broadcaster wa Waingereza hivyo priority Yao iko kwa Waingereza kwanza.
Wiki hizi mbili UK kuna scandal kubwa sana inaendelea wa wafanyakazi wa Posta ambao walifungwa kwa wizi kumbe shida ilikuwa software.
Sasa leo kuna public inquiry ndio imeanza tena leo na mhusika mkuu ndio anatoa ushahidi. Kwahiyo karibu vyombo vyote vya habari vya Uingereza vimeelekeza nguvu huko.
Hata shughuli nyingi za serikali zinesimama ili waziri mkuu na mawaziri wengine kutoa muda wa kutosha kushughulikia scandal hii na kuhakikisha wote waliofungwa wanaachiwa na kulipwa fidia.
Ushaolewa binti yangu? km bado kuna kijana hapa anahitaji kuoa usisubiri mpaka ubakweMhubiri 2:14
macho yake mwenye hekima yamo kichwani mwake, lakini mpumbavu huenda gizani; ila hata hivyo nikatambua ya kwamba ni tukio moja la mwisho liwapatalo wote sawasawa.
Ushaolewa binti yangu? km bado kuna kijana hapa anahitaji kuoa usisubiri mpaka ubakwe
Tafuta mume uolewe usiwe maandishi ya mitaji ya watu, wenzio wakiyatamka hayo Pesa inaingia miamala inasomaMhubiri 2:14
macho yake mwenye hekima yamo kichwani mwake, lakini mpumbavu huenda gizani; ila hata hivyo nikatambua ya kwamba ni tukio moja la mwisho liwapatalo wote sawasawa.
Tafuta mume uolewe usiwe maandishi ya mitaji ya watu, wenzio wakiyatamka hayo Pesa inaingia miamala inasoma
Wazee wa holokastiKina waka muda huu jamaa wanajifichia kwenye tukio la October 7.