mkada
JF-Expert Member
- Nov 14, 2011
- 1,200
- 907
Acha uongo wewe mkubwaHuyu alikuwa Baba wa Taifa la Marekani.. nadhni hata sisi ndio tuliiga hili jina from them.. alikuwa na akili sana.. na anamchango mkubwa ana kwenyw uchumi wa Marekani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha uongo wewe mkubwaHuyu alikuwa Baba wa Taifa la Marekani.. nadhni hata sisi ndio tuliiga hili jina from them.. alikuwa na akili sana.. na anamchango mkubwa ana kwenyw uchumi wa Marekani
Huyu kama Gallus wa kwenye MerlinOohh kumbe huyu chalii
Hapana raisi wa kwanza wa marekani alikuwa mweusi (aliitwa John Hanson (a Moor) ) na george yeye ni raisi wa 8 wa us.Baba wa Taifa la Marekani ni George Washington
Hahahaaaaaa wewe Jamaa hamnazo kweli aisee[emoji28] [emoji28] [emoji28]Kwani sisi faru aliye kwenye elfu 5 aliwahi kuwa rais wetu? Au yule nyoka wa kwenye jero ya zamani?
Alikuwa na akili kumzidi kiongozi wa malaika?? Huo uchochezi sasaHuyu alikuwa Baba wa Taifa la Marekani.. nadhni hata sisi ndio tuliiga hili jina from them.. alikuwa na akili sana.. na anamchango mkubwa ana kwenyw uchumi wa Marekani
Haaaa haaaaa!Ila jiwe akija kuweka devu lake kwenye noti yetu,nitahama nchi
Huyu nae kawekwa kwenye dollar?
Dah
Nimecheka kwa kweli
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji23] [emoji23] [emoji28] [emoji28]Ila jiwe akija kuweka devu lake kwenye noti yetu,nitahama nchi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwani sisi faru aliye kwenye elfu 5 aliwahi kuwa rais wetu? Au yule nyoka wa kwenye jero ya zamani?
Asante mkuuHahahaaaaaa wewe Jamaa hamnazo kweli aisee[emoji28] [emoji28] [emoji28]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kwani sisi faru aliye kwenye elfu 5 aliwahi kuwa rais wetu? Au yule nyoka wa kwenye jero ya zamani?
Hahaha jf sihami[emoji3]Kwani sisi faru aliye kwenye elfu 5 aliwahi kuwa rais wetu? Au yule nyoka wa kwenye jero ya zamani?
Mzee mbona anaitwa George Washington! huyu ndiye rais wa kwanza wa Marekani