kurlzawa
JF-Expert Member
- Jan 23, 2018
- 16,695
- 20,633
Hata mimi pia sitoki humu[emoji23]Hahaha jf sihami[emoji3]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mimi pia sitoki humu[emoji23]Hahaha jf sihami[emoji3]
😵 😵 😵 😵Maraisi wa kwanza wa marekani kabla ya george washington ni hawa .
1. John Hanson (a Moo).
2. Thomas Jefferson
3. Andrew Jackson
4. Abraham Lincoln (inavyosemekana alikuwa black)
5. Warren Harding
6. Calvin Coolidge
7. Dwight E. Eisenhower
Abraham Lincoln hakuwa mweusi.Maraisi wa kwanza wa marekani kabla ya george washington ni hawa .
1. John Hanson (a Moo).
2. Thomas Jefferson
3. Andrew Jackson
4. Abraham Lincoln (inavyosemekana alikuwa black)
5. Warren Harding
6. Calvin Coolidge
7. Dwight E. Eisenhower
Ebu zeeka taratibu basi secret star, ebu kuwa makini hata hapo chini yake pameandikwa Franklin alafu unasemaje George. ??Mzee mbona anaitwa George Washington! huyu ndiye rais wa kwanza wa Marekani
Mkuu jaribu kuwafuatilia hao niliowataja hapo vizuri history zao (kwa lincoln ndiyo maana nikatumia neno "inavyosemekana" that means si 100% kuwa alikuwa mweusi)Abraham Lincoln hakuwa mweusi.
Washington ndio Rais wa kwanza wa USA
Weka picha mkuu.Kny $20 bill
historia zipi tena mkuu?Mkuu jaribu kuwafuatilia hao niliowataja hapo vizuri history zao (kwa lincoln ndiyo maana nikatumia neno "inavyosemekana" that means si 100% kuwa alikuwa mweusi)
Nadhani umeielewa vizuri sana post #49historia zipi tena mkuu?
Hili Taifa kina malengo ya miaka 200000 ijayoHuyu ni katika watu muhimu sana waanzilishi wa USA na alikuwa msomi mkubwa na mgunduzi. ana mchango mkubwa leo hii inaitwa big nation USA. hakuwa Rais lakini kafanya mambo makubwa ndio heshima yake hii pamoja kwamba miaka 228 toka alivyofariki ila USA wanathamini mchango wake mkubwa.
Hyo ni kwa Marekani tu sio? Mana hapa kwetu namwona mzee Mwinyi kashapata siti kwenye fwezaPia kitu kingine ili Raisi awekwe kwenye dola au MTU wa kawaida wanaagalia mchango wake kwa Taifa.Pia hawekwi mtu ambae ni mzima hadi afariki.Maana yake wanasema ukimueka kama ni mzima halafu akaja kupata skendo hapa katikati na yupo kwenye pesa itakua aibu ya Dunia na inaeza kuathiri uchumi wao.
Ahahahaaa, avatar yako inafanana na jibu lako, kweli ulabu unasaidia kuthink outside the boxKwani sisi faru aliye kwenye elfu 5 aliwahi kuwa rais wetu? Au yule nyoka wa kwenye jero ya zamani?
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] dahKwani sisi faru aliye kwenye elfu 5 aliwahi kuwa rais wetu? Au yule nyoka wa kwenye jero ya zamani?
Weka picha mkuu.
Weka picha mkuu.
Mbona yupo sahihi kutoka wikipedia "Benjamin Franklin FRS FRSE (January 17, 1706 [O.S. January 6, 1705][1] – April 17, 1790) was an American polymathand one of the Founding Fathers of the United States. Franklin was a leading author, printer, political theorist, politician, freemason, postmaster, scientist, inventor, humorist, civic activist, statesman, and diplomat. As a scientist, he was a major figure in the American Enlightenment and the history of physics for his discoveries and theories regarding electricity"Acha uongo wewe mkubwa