Mzalendo120
JF-Expert Member
- Jul 2, 2022
- 1,842
- 2,410
Supu haijazi gesi mkuu. Wenye hela hawali viporoKwani choo ni kwa ajili ya kunya tu??Mwingine si anaenda kujamba tu kama anajisikia tumbo limejaa gesi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Supu haijazi gesi mkuu. Wenye hela hawali viporoKwani choo ni kwa ajili ya kunya tu??Mwingine si anaenda kujamba tu kama anajisikia tumbo limejaa gesi.
Kwamba CRDB Azikiwe akibanwa haja aende New Africa ? NCBA HQ na Equity waende Serena?Huwa wanakwenda kwenye hoteli za jirani.
nusu saa? nenda crdb mlimani city unaweza ukamaliza nusu sikuKwa nini Benki huwa hazina vyoo vya umma kwa ajili ya wateja wake? Ikiwa mtu anahitaji huduma ya choo akiwa benki anafanyaje ikizingatiwa kuna wakati mtu anaweza kukaa hadi nusu saa benki akisubiria huduma!
Hili ni suala la usalama au biashara?
Wajauzi tufahamisheni.
kunya hapo ulipoKwa nini Benki huwa hazina vyoo vya umma kwa ajili ya wateja wake? Ikiwa mtu anahitaji huduma ya choo akiwa benki anafanyaje ikizingatiwa kuna wakati mtu anaweza kukaa hadi nusu saa benki akisubiria huduma!
Hili ni suala la usalama au biashara?
Wajauzi tufahamisheni.
Nauliza, ipo sababu maalum ni kwanini benki nyingi hawaweki vyoo? Nipo kwenye mstari wa NMB toka saa 6 imenibidi nitoke nje ya benki kutafuta huduma hiyo muhimu
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]BAADHI YA MASWALI YALIYOULIZWA NA WADAU
Nimefatilia Muda mrefu sana na kubaini kuwa ni karibu Bank zote hazina vyoo vya wateja.
Kwanini?
---
---
---
---
===
BAADHI YA MAJIBU YALIYOTOLEWA NA WADAU
---
-----
---
---
---
Wee acha, ukibanwa hasa mbona hapo ni chap umekwisha shusha mzigo.Kwamba CRDB Azikiwe akibanwa haja aende New Africa ? NCBA HQ na Equity waende Serena?
You must be joking
akunyee wewe siokunya hapo ulipo