Kwanini benki hakuna vyoo/maliwato kwa ajili ya wateja?

Kwanini benki hakuna vyoo/maliwato kwa ajili ya wateja?

Kwa nini Benki huwa hazina vyoo vya umma kwa ajili ya wateja wake? Ikiwa mtu anahitaji huduma ya choo akiwa benki anafanyaje ikizingatiwa kuna wakati mtu anaweza kukaa hadi nusu saa benki akisubiria huduma!

Hili ni suala la usalama au biashara?

Wajauzi tufahamisheni.
Benki unadipoziti pesa na kuwithidroo pesa, sasa kaunta zao hazitaweza kuwithidroo ulichodipoziti chooni.
 
Kwa nini Benki huwa hazina vyoo vya umma kwa ajili ya wateja wake? Ikiwa mtu anahitaji huduma ya choo akiwa benki anafanyaje ikizingatiwa kuna wakati mtu anaweza kukaa hadi nusu saa benki akisubiria huduma!

Hili ni suala la usalama au biashara?

Wajauzi tufahamisheni.
Umeenda Benki Kunya au kuweka Pesa usepe zako? Msituchoshe.
 
Wakiruhusu benki kuwe na vyoo itakua tabu sana. Mfano pale vyoo vya mlimani city vinatumika vibaya,

Mtu anatoka zake kimara au tegeta anaenda posta, au anarudi kutoka posta, gogo lina mbana njian anafikiria sehemu ya kwenda kunya ni pale mlimani city, sasa wakiwa watu 100 wanafikiria hivyo hivyo kwenda kunya pale vitakua ni vyoo?

Assume ndo vyoo vya benki sasa, watu wataandika na mavi ukutani "ATM HAZINA HELA" au mapovu yao yote ukutani. Sisi ngozi nyeusi tunashida zetu common
 
Sehemu zote ulizozitaja zina vyoo vya umma.
Sidhani, japo siwezi kubisha sana maana sijatembelea mote ila kote nilipopita nakuta vyoo vya walimu na wanafunzi, vyoo vya wafanyakazi wa mahakama, vyoo vya watumishi wa halmashauri, vyoo vya maafande na kadhalika na mote humo asiyehusika ataingia kwa ruhusa(maelekezo) maalumu kutoka kwa wahusika
 
Sababu za kiusalama zaidi, wakati mko busy na kuweka pesa na kutoa mtu ataingia na ku organise Kikundi chake kutoa taarifa jinsi palivokaa waingie vipi na Kutoka vipi?

Dakika 5 tu zinatosha sana kupiga na Kutoka na chochote Kitu .... Hata kama wata compromise na ulinzi uliomo.

Lakini Ramani tu inatosha kufanya mkadirio na kuingiza vikundi na kupiga tukio haraka na kurudi nyuma kimbinu.

Smart Gang.
 
Raia wa kawaida na mawakili wanaokwenda kusikiliza kesi mahakamani hawana vyoo vya umma vya kujisaidia?!
Sidhani, japo siwezi kubisha sana maana sijatembelea mote ila kote nilipopita nakuta vyoo vya walimu na wanafunzi, vyoo vya wafanyakazi wa mahakama, vyoo vya watumishi wa halmashauri, vyoo vya maafande na kadhalika na mote humo asiyehusika ataingia kwa ruhusa(maelekezo) maalumu kutoka kwa wahusika
 
Wafanyakazi wa benki hawawezi kufanya hivyo?
Sababu za kiusalama zaidi, wakati mko busy na kuweka pesa na kutoa mtu ataingia na ku organise Kikundi chake kutoa taarifa jinsi palivokaa waingie vipi na Kutoka vipi?

Dakika 5 tu zinatosha sana kupiga na Kutoka na chochote Kitu .... Hata kama wata compromise na ulinzi uliomo.

Lakini Ramani tu inatosha kufanya mkadirio na kuingiza vikundi na kupiga tukio haraka na kurudi nyuma kimbinu.

Smart Gang.
 
Wafanyakazi wa benki hawawezi kufanya hivyo?
Wanaweza japo it's so rarely na wamekua wakiwauza wateja wanao toa bulks ( Mihela) Kwa majambazi ... Hapa tunaongelea mteja na wateja tusiowajua kabisa... Sifa ,Tabia na uwezo wenu kivyovyote vile .
 
Ndio ni sababu za kiusalama kumbuka ni ngumu kumfuatilia mtu anapokuwa chooni na huwezi kuweka camera hivyo mtu anaweza kuingia kule aka army kisha akapanda juu anavunja up bord akatambaa kama nyoka hadi anapotaka akavunja akatumbukia Chini akaiba na kuuwa na kujeruhi kisha akapitia njia ile ile akarudi as if hakuna kilichotokea.

USSR
kwani ni lazima ndani kwanini wasiweke vyoo vya nje
 
Kwa nini Benki huwa hazina vyoo vya umma kwa ajili ya wateja wake? Ikiwa mtu anahitaji huduma ya choo akiwa benki anafanyaje ikizingatiwa kuna wakati mtu anaweza kukaa hadi nusu saa benki akisubiria huduma!

Hili ni suala la usalama au biashara?

Wajauzi tufahamisheni.
ni wachumi ndo maana wanafunga hadi kalamu ya sh.200
 
Siwezi kunya then badala kinyesi kiende zake Sasa kinarudi kugonga kilipotoka Ni kukosa hekima
Unajua hekima ni nini?

Anyway, imani yako inavyokutuma ni sahihi kwako
 
Hakuna bank isiyokua na choo cha wateja... Tatizo lenu wabongo washamba waoga wajinga wajinga tu...
 
Wanaenda pale wengi wao ni wenye hela hawaendi haja marakwamara

Ukinywa uji ndio kila mara unaenda maliwato lakini kama umekula nyama choma zako au supu huko maliwatoni sio kwasana
 
Back
Top Bottom