Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 37,630
- 47,434
Mwanga unazuia wanga??Nadhani wanaogopa wanga.. Wale wa China ulete
Jr[emoji769]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanga unazuia wanga??Nadhani wanaogopa wanga.. Wale wa China ulete
Jr[emoji769]
Kuna mazingira ukifika Sense Organs zote zina seize kwanza.....
Yaani mkuu unatoa burungutu la maana akili ihamie chini kweli?
Ngoja niulize,...
Ushawahi ona mtu anaamka saa tisa usiku kwenda kukata gogo?😂😂😂
Nakazia pia kwa kuuliza kwanini huwa usiku benki huwa wanawasha taa za ndani hata nje??
Mwanga unazuia wanga??
... why should I ask? Kwanini kusiwe na alama za kuonesha vyoo viko upande gani badala ya kuomba hisani ya mtu.vipo ukitaka jisaidia uliza mhudumu
Vingejengwa nje ya Benki, hata nyumba ya jirani, wangewaomba vijengwe vya kulipia.W apo wenye matatizo ya sukari, kila wakati ni kutaka kwenda chooni na wenye matatizo ya tumbo.Ndio ni sababu za kiusalama kumbuka ni ngumu kumfuatilia mtu anapokuwa chooni na huwezi kuweka camera hivyo mtu anaweza kuingia kule aka army...
Ukienda wapi ndiyo unavipata?Vyoo vipo mkuu, tatizo unaenda dirisha la Teller 1.
Tatizo wabongo hua hawalengi shimo..teh
Wanataka wawe wanaingia kupangia mipango ya wiziLabda usalama
Wanataka wawe wanaingia kupangia mipango ya wizi