Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 38,657
- 44,759
Wanadai kwamba maeneo kama hayo(chooni) ndo kunaweza fanyika mipango ya uharifu
Bongo kuna mengi, kuna mwaka mkandarasi mmoja kama sijakosea alikuwa anajenga barabara ya Mwenge Tegeta aliingia chooni na kijana mmoja kumwinamisha, watu walipomshitukia wakavamia kile choo, walipomuuliza kwanini yupo chooni na mwanamme mwenzake tena kijana mdogo, akawajibu alikuwa anamnyoa sehemu za siri