marinemzee
Senior Member
- Jul 22, 2015
- 113
- 69
Benki zote zina vyoo ukizunguka kwa nyumakuna mdau juu kule kasema ukikaa zaidi ya dk5 si salama, sasa unapopata kahawa unatumia dk ngapi shekhee..?
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Benki zote zina vyoo ukizunguka kwa nyumakuna mdau juu kule kasema ukikaa zaidi ya dk5 si salama, sasa unapopata kahawa unatumia dk ngapi shekhee..?
unataka kuniambia customer base yote ya bank wanatumia ADC..?, Kuna benki ziko vijijini 70% ya customer wa eneo lile wana smartphone ila hawajui matumizi ya mobile banking utawakataza wasiende ndani kuhudumiwa..?Mkuu ndio maana kuna altenative Chanel Business kama Kutumia ATM, Mobile phone, internet banking n.k... sasa wewe unaona kabisa bank kuna folen halafu unajiunga nayo. tafuta bank ambazo hazina foleni sana. unang'ang'ania banki utafikiri ni mzazi?
ahsante kwa ufafanuzi mzuri, hilo suala waliangalieMalipo mengine ni lazima yapitie bank fulani....na huwezi kulipia mtandaoni ni lazma uende dirishani...
Kuna wakati unafika unashindwa kufanya uchaguzi wa benk
Sent using Jamii Forums mobile app
sehemu kama Nguruka, Kakonko, Namanyere, Ikwiriri wapi utazikuta bank zenye Premium na Executive, bank ni mbili au moja au mawakala tuHalaf nilichogundua, kuna watu huwa wanadhani Tanzania ni Dar tu.
Unajua Tanzania ni kubwa sana, kuna maeneo kuna benki moja au mbili tu, hakuna altenative huku, Baclays bank tunaiona kwenye video tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
wakukupeleka huko nyuma ndio yuko wapi sasa..? mlinzi hatakuwa na muda na wewe, staff wa bank ndio kwanza atakuangalia umevaaje au unafananaje ndio akusaidie choo kilipo
Hahahahaa, Bank zote zina vyoo kwa nje au nyuma ongea vizuri tu na wale askari watawaelekeza.We want your MONEY, not your [emoji90]
Sent from my iPhone using JamiiForums
Na kazura mimba.
Ukishakuta kuna watu 250 wanasubiri kutoa mishahara yao pale teller na kwenye ATM wapo 50 wengine, ivi utapata huduma kwenye dakika 5?Banki ni sehem ambayo hutakiwi kukaa muda mrefu... ikizidi sana ni dakika tano sasa hiyo haja anaitoa wapi ndani ya dakika tano? ukikaa sana pia si vizuri kiulinzi.
Si ukate GOGO kabisa huko utokako kabla ya kwenda benki jamani!!!!!
Nina imani utakuwa umejibiwaBanki ni sehem ambayo hutakiwi kukaa muda mrefu... ikizidi sana ni dakika tano sasa hiyo haja anaitoa wapi ndani ya dakika tano? ukikaa sana pia si vizuri kiulinzi.
kuna mdau juu kule kasema ukikaa zaidi ya dk5 si salama, sasa unapopata kahawa unatumia dk ngapi shekhee..?
hilo sio jibu , solution ipo ila wahusika hawaumizi vichwa
BIG UP Kwao DTB kina KanjibaiDTB Mbagala ipo water dispenser.
Walinzi wababe sana kwenye mabanki yaaani kama Mwizi vile kumbe mtejaHapo mwishon umeongea point ya msingi sana mtoa mada yani hua nakereka sana unaenda banki halafu unakutana na mlinzi ana lugha za ovyo ovyo halafu hua wanachukulia kama mteja ni muhalifu wanaboa sana kwakweli.
Sent using Jamii Forums mobile app
hahahaaaa, twende taratibu wewe unaelewa nini unapotajiwa Premium au Corporate/Executive BankingNdio account gani nitoe ushamba
Hapo Mbagala nilisha ahirisha huduma sababu ya ubabe wa walinzi, nilikua nasoma account numbers kutoka kwenye simu jamaa linaniambia huruhusiwi kutumia simu tukabishana sana ikabidi tu nisepe kwa maudhi yao. Ile bank yenye rangi za chama pendwaWalinzi wababe sana kwenye mabanki yaaani kama Mwizi vile kumbe mteja