Kwanini benki hakuna vyoo/maliwato kwa ajili ya wateja?

Kwanini benki hakuna vyoo/maliwato kwa ajili ya wateja?

Wewe unataka ukapange mashambulizi ya kulipa benki kwa mabomu yako ulikula maharagwe na kuzindikiza na mbege.
 
Wewe unataka ukapange mashambulizi ya kulipa benki kwa mabomu yako ulikula maharagwe na kuzindikiza na mbege.
 
Taasisi nyingi za kifedha zinashindana kwa huduma na kujinadi kwenye upande wa huduma kwa wateja (customer care), ila taasisi hizo ukifika kupata huduma ikatokea ubanwe haja kubwa au ndogo huwezi pata msaada wowote, ukiulizia kwa mlinzi utaambulia kutolewa nje au kuambiwa katafute huko nje, ukiulizia kwa muhudumu wala hawezi kukusikiliza,

Ikatokea umebanwa kiu ya maji, kuna wa mama huwa wanaenda na watoto ghafla mtoto analilia maji ndani ya taasisi nyingi za kifedha huwezi kuta maji au water dispenser iko pembeni kwa ajili ya wateja, sana sana mama huyo ambae ni mteja atatolewa nje na mlinzi na kuambiwa kamuhudumie mtoto nje,

Baadhi ya taasisi mpaka uwe unapata Executive service au premium ndio utapewa huduma hizo sasa huo ni ubaguzi, Premium au Executive customers ni wangapi na normal customers ni wangapi.

Maswali haya ukiuliza baadhi ya watu watakwambia wanahofia Usalama kumpeleka mteja washroom anaweza kuwa na agenda yake binafsi, Je kupanga foleni nakuwasubiri for 3,5,10minutes hawezi kuwa na agenda ya kuwa na subira na kuwavumilia mpaka apate huduma haina maana..?

La mwisho jaribuni kumilikisha customer service yenu kwa staff na sio Walinzi, Walinzi kazi yao ni Ulinzi, Lugha wanazotumia kwa wateja zinakuwa ngumu mpaka mtu unaona uhame tawi au taasisi kabisa...

tuwekeeni vyoo jamani...
 
Ukitaka hizo huduma jiunge na premier account, makati yawe mengi upate huduma unayoitaka

Mimi huwa sijisumbui naingia zangu azikiwe premier hapo unakunywa hadi kahawa, au nbc corporate pale full cappuccino sijui chocolate tea na sijajisajili kwa huduma hizo na chooni ninaenda, foleni unakaa kwenye sofa siyo viti vya chuma
 
Sidhani kama unazifahamu benki za inji hii.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ndio maana kuna altenative Chanel Business kama Kutumia ATM, Mobile phone, internet banking n.k... sasa wewe unaona kabisa bank kuna folen halafu unajiunga nayo. tafuta bank ambazo hazina foleni sana. unang'ang'ania banki utafikiri ni mzazi?
 
Mkuu ndio maana kuna altenative Chanel Business kama Kutumia ATM, Mobile phone, internet banking n.k... sasa wewe unaona kabisa bank kuna folen halafu unajiunga nayo. tafuta bank ambazo hazina foleni sana. unang'ang'ania banki utafikiri ni mzazi?
Malipo mengine ni lazima yapitie bank fulani....na huwezi kulipia mtandaoni ni lazma uende dirishani...

Kuna wakati unafika unashindwa kufanya uchaguzi wa benk

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Banki ni sehem ambayo hutakiwi kukaa muda mrefu... ikizidi sana ni dakika tano sasa hiyo haja anaitoa wapi ndani ya dakika tano? ukikaa sana pia si vizuri kiulinzi.

Bank za kukaa dakika 5 labda zile za mafisadi ila za huku kwa kina kajamba nani hilo nyomi lake ni shida

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu ndio maana kuna altenative Chanel Business kama Kutumia ATM, Mobile phone, internet banking n.k... sasa wewe unaona kabisa bank kuna folen halafu unajiunga nayo. tafuta bank ambazo hazina foleni sana. unang'ang'ania banki utafikiri ni mzazi?
Halaf nilichogundua, kuna watu huwa wanadhani Tanzania ni Dar tu.

Unajua Tanzania ni kubwa sana, kuna maeneo kuna benki moja au mbili tu, hakuna altenative huku, Baclays bank tunaiona kwenye video tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Banki ni sehem ambayo hutakiwi kukaa muda mrefu... ikizidi sana ni dakika tano sasa hiyo haja anaitoa wapi ndani ya dakika tano? ukikaa sana pia si vizuri kiulinzi.
kuujaza form ya mkopo inachukua dk 5..? na zile foleni za kaunta ni dk 5..?... kama tunapanga foleni ili kupata huduma zikizidi dk 5 wawe wanatufukuza coz si salama sisi kuwepo zaidi ya dk 5
 
Ushawahi kwenda bank wakati vyuo au shule zimefunguliwa uone foleni lake? unaweza maliza hata masaa mawili hujapata huduma...
mueleze, Kuna chuo kimoja wanapokea ada kupitia benki flani ukienda kipindi cha deadline ya kulipia ada unaweza juta foleni mpaka nje
 
Ukitaka hizo huduma jiunge na premier account, makati yawe mengi upate huduma unayoitaka

Mimi huwa sijisumbui naingia zangu azikiwe premier hapo unakunywa hadi kahawa, au nbc corporate pale full cappuccino sijui chocolate tea na sijajisajili kwa huduma hizo na chooni ninaenda, foleni unakaa kwenye sofa siyo viti vya chuma
kuna mdau juu kule kasema ukikaa zaidi ya dk5 si salama, sasa unapopata kahawa unatumia dk ngapi shekhee..?
 
Back
Top Bottom