Kwanini Biblia ilituficha kuhusu uzao wa majitu/Wanefili?

Kwanini Biblia ilituficha kuhusu uzao wa majitu/Wanefili?

Yaani katika Maswali yote hilo ndio unaona ni Swali ? Wote tungekuwa Uzao wa Nuhu why the differences ? Ndio hapo utaona soon or later watu hao wanaweza kukubaliana na Evolution and if later why not sooner ?!!!
 
Yaani katika Maswali yote hilo ndio unaona ni Swali ? Wote tungekuwa Uzao wa Nuhu why the differences ? Ndio hapo utaona soon or later watu hao wanaweza kukubaliana na Evolution and if later why not sooner ?!!!
Sijakuelewa.

Kwa maana mwanzo 5 yote imetaja kizazi Cha adamu nuhu. Lakini haikutaja uzao wa wanefili ndo swali lipo hapo
 
Back
Top Bottom