Nikifa MkeWangu Asiolewe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 6,944
- 14,351
- Thread starter
-
- #181
Tunajadiri wanefili mkuu.Rdi kwenye mada chapHuyo Mungu wenu kipindi anawaumba hao malaika waliokosa hakujua kama watakuja kukosa asiwaumbe ikiwa huwa mnatuaminisha ya kuwa yeye anayajua yajayo kabla ya kuyafikia?
Biblia hii tunayotumia imejaribu kugusia sehemu ndogo sana kuhusu wanefiliHuwa siliewi hili fungu
Hii nikweli bila shaka kuna vitu vingi vimetolewaBiblia hii tunayotumia imejaribu kugusia sehemu ndogo sana kuhusu wanefili
Nao walimeza maji yakawashinda wakaangamia🤔Hata SAMAKI????
Kweli shetani anaishi, hadi ameanza kupotosha neno la Mungu hadi huku JF🥺🥹Nao walimeza maji yakawashinda wakaangamia🤔
Shetani ni dhana Pana sana. It exists only on one's mind.Kweli shetani anaishi, hadi ameanza kupotosha neno la Mungu hadi huku JF🥺🥹
Huko ndio chanzo chao mkubwa wa kazi, enewei nilikuwa namkumbusha tu huyo kondoo wa bwanaTunajadiri wanefili mkuu.Rdi kwenye mada chap
ila we jamaa..... lakini bado sijakusoma hapo
Sawa mkuu.Huko ndio chanzo chao mkubwa wa kazi, enewei nilikuwa namkumbusha tu huyo kondoo wa bwana
Sijakuelewa.Yaani katika Maswali yote hilo ndio unaona ni Swali ? Wote tungekuwa Uzao wa Nuhu why the differences ? Ndio hapo utaona soon or later watu hao wanaweza kukubaliana na Evolution and if later why not sooner ?!!!