Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,892
- 16,476
- Thread starter
- #41
Wana-copy sana ila wanaunda kidogoIknow Chinese wao ni kucopy tu sio utamaduni wao kugundua kitu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wana-copy sana ila wanaunda kidogoIknow Chinese wao ni kucopy tu sio utamaduni wao kugundua kitu.
Mimi "shallow" ninaongelea magari wewe "genius" unaleta story za pikipiki hahahahaaaaaUkija Pikipiki ndio Usiseme, Sanya, SanLG,Fekon na hata now kuna Bajaj za Kichina.
Ni biashara kwa maana tunawalipa pesa boss. Kama issue ni dumping kwanini wasitoe hayo magari bure?...Gari za Mjapani nyingi unazoziona ni Used so Used sio Biashara ile ni Dumping site tu kwa wajapan na wanafurahia old model vehicle
Unajua mkuu, kwa road za mijini kweli utaona magari ya kichina kama ni machache. Lakini jaribu kupita hizi highway mfano dsm-tunduma, au maeneo ya border hizi kubwa uone. Au maeneo ya parking za magari makubwa kama morogoro(nane nane,mikumi na doma), ruaha mbuyuni, chalinze, nk. Magari ya kichina kama howo, dayun, faw, dongfeng, sitom, nk ni mengi mno.Ukiwa upo katika foleni ya magari barabarani, jaribu kufanya tathmini ya haraka haraka kwa kuangalia tu kwa macho kisha utagundua hizi ninachokisema.
Yaani uko sahihi mkuu, kwa miaka 10 au 15 ijayo, magari ya mchina hasa makubwa yatakuwa mengi sana.Great Wall, magari ya kichina yanakuja kwa kasi sana. Tujipe muda
Malori bado mzungu Ana sokoMmmmh! Toyota ni huku kwenye magari madogo ila kwenye malori na mabasi asilimia 90 ni mchina.
labda scania ndio inaonekana yapo kwa wingi ila benz ni gharama mno. Na hayo matajiri wengi now hawapendelei coz Bei atayonunulia scania used ni sawa na kununua howo mpya au fawMalori bado mzungu Ana soko
Scania
Mercedes
Kwa gari ndogo za mchina bado sana, labda Kwa watakao kuwa na uwezo wa kuagiza mpya. Hata kuzihudumia ni ghali sana.Yaani uko sahihi mkuu, kwa miaka 10 au 15 ijayo, magari ya mchina hasa makubwa yatakuwa mengi sana.
Umenifumbua macho katika hili pia mkuu, nilikuwa sijawaza kabisa kuhusiana na magari ya serikali lakini upo sahihi sana. Asilimia kubwa wananunua kutoka Japan na sio kwa rafiki zetu wa muda mrefu wa China...Kwenye hili mie mwenyewe huwa nadhani kuna mikataba serikali huwa inaingiaa ukiangalia magari 90% ya serikali yote ni Made from Japan
Labda wa sababu barabara nyingi za Afrika zinafadhiliwa na pesa za Wajapani ndio maana wanataka magari yao pekee ndio yapite katika barabara hizo.
Sina uhakika lakini nimeotea tu.
Kwa gari ndogo za mchina bado sana, labda Kwa watakao kuwa na uwezo wa kuagiza mpya. Hata kuzihudumia ni ghali sana.
Miaka michache saaaana...Kwani kwa ujuavyo wewe, magari makubwa ya mchina yameanza kuwa mengi around miaka mingapi iliyopita mkuu?
Sawa mkuu...Sio Africa tuu, USA, Europe, Aus, na nchi zote zingine. We unafikiri kwa nn Trump alimmind mchina.
Shida sio ustaarabu.Kwanini inakuwa hivi mkuu? Miundo mbinu mibovu kama sisi Afrika au wachina sio wastaarabu katika matumizi ya vyombo hivi vya moto?...
Kwasababu per capital yao ni ndogo Sana ukilinganisha na japan au marekaniKwanini magari "second-hand" ya mchina yanakuwa scrape tofauti na mjapan ilhali wao ni taifa la pili kwa ukubwa baada ya Marekani?
Zikianza kusumbua/kuchoka utanunua spare mpaka yluchanganyikiwe......Angalia Yutong zilizochoka kama zilikua na ruti ya dar mwanza lazima ubadiliniwe ruti fupi la sivyo kila siku utalaza abiria njianKwani China hakuna "second-hand" vehicles?
Kuna makampuni yametengeneza ajira kupitia biashara ya magari used japan,kuanzia makampuji yanayouza,bima,usafirishaji,ukaguzi pia spare nyingi zinauzika africa kwa ajili ya magari hayo hayo usedNi biashara kwa maana tunawalipa pesa boss. Kama issue ni dumping kwanini wasitoe hayo magari bure?...
Kuna makampuni yametengeneza ajira kupitia biashara ya magari used japan,kuanzia makampuji yanayouza,bima,usafirishaji,ukaguzi pia spare nyingi zinauzika africa kwa ajili ya magari hayo hayo usedNi biashara kwa maana tunawalipa pesa boss. Kama issue ni dumping kwanini wasitoe hayo magari bure?...