Kwanini bidhaa za China zina gharama nafuu katika soko la dunia? Sababu sio cheap labour kama wengi wanavyodhani

Kwanini bidhaa za China zina gharama nafuu katika soko la dunia? Sababu sio cheap labour kama wengi wanavyodhani

Uki-compare Europe au USA na China, bidhaa za China ni rahisi zaidi japo quality inaweza isiwe nzuri sana kama za Europe. I mean bidhaa zinazoenda Europe, qualities zake ni siyo mbaya.
Kama quality ni ndogo kwa nini watu wa Ulaya wananunua bidhaa za China?

Na mpaka ziingie Ulaya maana zimekizi vigezo vya nchi zs Ulaya na international standards sio?

BYD imeanza kuipiku Tesla kwa uuzaji wa magari katika baadhi ya nchi za Ulaya. Unafikiri ni kwa nini?
 
Mazingira ya uzalishaji ni ya hovyo sana pia China na yanayowaweka raia katika hali mbaya za afya. Kwa mwaka moshi wa viwandani/air pollution unaua raia million 2 na visa mamilioni vya magonjwa ya mfumo wa upumuaji.
Kuna miji moshi huwa unatoka viwandani mpaka watu wanashindwa kuonana mitaani.
Hata mimi nashangaa anasifu nchi yenye polution ya aina hiyo na inayosifika kwa wafanyakazi wake kuteseka.
 
Kama quality ni ndogo kwa nini watu wa Ulaya wananunua bidhaa za China?

Na mpaka ziingie Ulaya maana zimekizi vigezo vya nchi zs Ulaya na international standards sio?

BYD imeanza kuipiku Tesla kwa uuzaji wa magari katika nchi za Ulaya. Unafikiri ni kwa nini?
Tatizo lako ni ubishi na hutaki kusoma kwa ufahamu nilichoandika. Nimesema bidhaa zinakuja Europe zina ubora wa kuridhisha na hata bei iko juu kuliko zinazokwenda Afrika. Ila sasa ukifananisha na za Europe, kwangu mimi za Europe ni bora zaidi. Tofauti yake ni bei, za Europe ziko juu sana na watu wanaona ni bora kununua za China.
 
Kuna miji moshi huwa unatoka viwandani mpaka watu wanashindwa kuonana mitaani.
Incredible progress in environment in China.

Major Chinese cities don’t even appear in the top 400 most polluted cities in the world (2022 ranking).

iqair.com/in-en/world-mo…

Beijing: #489

Shanghai: #678

Guangzhou: #920

Shenzhen: #1533

How did China reduce pollution?

Electric cars, solar/wind energy, natural gas are the three main reasons.

20250218_191125.jpg


20250218_191234.jpg

Beijing
 
Needless to say the Chinese goods have no name for quality but they gain easy access to most countries markets because of their low prices.
 
Needless to say the Chinese goods have no name for quality but they gain easy access to most countries markets because of their low prices.
Chinese products no longer have quality issues. People who say that are ignorant and stuck in an era 20 or 30 years ago

20250219_063355.jpg
 
Mazingira ya uzalishaji ni ya hovyo sana pia China na yanayowaweka raia katika hali mbaya za afya. Kwa mwaka moshi wa viwandani/air pollution unaua raia million 2 na visa mamilioni vya magonjwa ya mfumo wa upumuaji.
Kuna miji moshi huwa unatoka viwandani mpaka watu wanashindwa kuonana wanapoteana mitaani.
Miji gani hiyo ?
 
Mazingira ya uzalishaji ni ya hovyo sana pia China na yanayowaweka raia katika hali mbaya za afya. Kwa mwaka moshi wa viwandani/air pollution unaua raia million 2 na visa mamilioni vya magonjwa ya mfumo wa upumuaji.
Kuna miji moshi huwa unatoka viwandani mpaka watu wanashindwa kuonana wanapoteana mitaani.
Mbona hata Marekani ni kati ya nchi ambayo inauchafuzi mkubwa wa mazingira kutokana na moshi wa viwandani?
 
UWEPO WA EXPERTS KAMA SCIENTISTS NA ENGINEERS WA KUTOSHA
China ndio taifa linaloongoza duniani kwa kuzalisha graduates wa STEM (Science, Tech, Enginering, Maths)
  • Uwepo wao (skilled personnel) umefanya kuwe na wataalamu wa kutosha kwenye industrial sector.​
  • Pia kumefanya kuanzishwa kwa centers nyingi za R&D ambazo nazo zimesaidia wazalishaji wa viwandani kufanya innovations katika uzalishaji na kupunguza cost of production.​
Tim Cook C.E.O wa Apple alitaja kuwa uwepo wa skilled personnel ni sababu nyingine iliyowavutia Apple kuwekeza nchini China iko hivyo pia upande wa Tesla.

"In the United States if we have a meeting of tooling engineers and we might not fill a room. In China, we would fill multiple football fields."
– Tim Cook (Apple CEO)


Tesla Shanghai gigafactory wafanyakazi wote waliopo kutia ndani skilled, 99.9% ni Wachina hakuna uhitaji wa experts kutoka nje ya China. Hii ni sababu nyingine imepunguza gharama za uzalishaji kiwandani hapo.
BENKI ZINAZOMILIKIWA NA SERIKALI YA CHINA ZINATOA MIKOPO NAFUU KWA RIBA NDOGO KWA WAZALISHAJI WA VIWANDANI
  • Sera nzuri katika taasisi za kifedha iliyowekwa na serikali ya China katika kuwakopesha wamiliki na wewekezaji wa viwanda kwa kuwapa riba ndogo imechangia bei za bidhaa za viwandani nchini China ziwe ndogo kwa sababu wawekezaji hawahitaji kurudisha riba kubwa kwa benki walizokopa.​



VIWANDA NA KAMPUNI ZINAZOMILIKIWA NA SERIKALI YA CHINA, CHINA'S STATE OWNED ENTERPRISES (SOEs)

Kama tujuavyo China ni nchi ya socialism with Chinese characteristics, hivyo 40% ya makampuni yaliyoko China yanamilikiwa na serikali

  • Makampuni haya yanapata ruzuku lakini pia yanasaidiwa na serikali kwenye huduma muhimu kama energy, mining, transportation, telecommunications etc. Matokeo imepunguza cost of production na bei za bidhaa kwa ujumla.​

  • Serikali ya China pia hutoa ruzuku kwa makampuni binafsi kama vile Tesla n.k​


SERIKALI YA CHINA IMEWEKEZA SANA KWENYE MIUNDOMBINU BORA SANA NA YA KISASA
  • Kadiri miundombinu inavyokuwa bora na ya kisasa ndivyo inapunguza gharama za uzalishaji na kuongeza kasi ya uzalishaji.
  • Kwa mfano kati ya bandari 10 kubwa duniani na za kisasa na the most busiest ports in the world 7 ziko China.

  • High Speed Railway iliyosambaa kwa zaidi ya km 45,000 chini China imesaidia kuharakisha mwingiliano kati ya miji yenye viwanda na kuchochea uzalishaji.

Hii ndio tofauti kati ya socialism with Chinese chatacteristics na capitalism. Wabepari wao wanaangalia tu maximizing profit, socialism with Chinese characteristics inaangalia kwanza ku-serve the economy and society kwa ujumla.

naomba ni summarise uchambuzi wako, kwa dondoo zifuatazo:
  1. Well-established supply chains
  2. Government support,
  3. Economies of scale,
  4. Access to cheap raw materials,
  5. Large pool of skilled workers
 
Mbona hata Marekani ni kati ya nchi ambayo inauchafuzi mkubwa wa mazingira kutokana na moshi wa viwandani?
Air pollution kubwa ya Marekani inayoongoza inatokana na moshi wa magari na matumizi ya nishati nyumbani(kupikia, AC na heating). China ni viwandani, wachina bado wanaongoza kutumia makaa ya mawe kwa wingi sana ambayo ni mabaya sana kwa mazingira kutokana na kuwa na kiwango cha juu cha carbon emissions.
 
Back
Top Bottom