Kwanini bidhaa za China zina gharama nafuu katika soko la dunia? Sababu sio cheap labour kama wengi wanavyodhani

Kwanini bidhaa za China zina gharama nafuu katika soko la dunia? Sababu sio cheap labour kama wengi wanavyodhani

Taiwan haina chochote cha kuizidi au kujivunia mbele ya China iwe kiteknolojia, kiuchumi au kijeshi ni kama tu province moja tu ndani ya China
20250220_104433.jpg
 
Hapo umezungumzia kwa kampuni by revenues

China ina kampuni nyingi za kutengeneza chips ukitoa hiyo SMIC ambayo by revenues ni ya 3 katika global market

Ila ukija kwenye global's share of chip sales China inauza chips zaidi kuliko Taiwan

Na hiyo TSMC Wamarekani wameshaanza kufanya juu chini the whole production ihamie kwao na waki-master chain supply nzima bye bye TSMC na Marekani ataiachia Taiwan kwa China.

Ukitoa TSMC Taiwan hawana kingine cha maana ambacho Marekani atapoteza muda wake kusema anai support Taiwan
 
Inawezekana, mbona Taiwan hakuna CCP na maisha yanaendelea vizuri tu.
Taiwan kuna wananchi wengi tu wanaokubaliana na CCP na maisha yanaenda.

By the way huwezi itenga Taiwan na CCP kisiasa,kiuchumi labda kama hufahamu wachina wa Taiwan jinsi gani walivyo karibu na wabara kisiasa na kiuchumi
 
Naelewa, Kwa sababu kwanza Taiwan inatoa mfano mzuri sana kwa Wachina billion 1.3 kwamba unaweza kupata maendeleo makubwa bila udikteta na pili Taiwan ni mojawapo ya kituo cha ubora cha kidunia katika teknolojia ya computing.
Taiwan gani haaah

Chiang Kai shek toka kukimbia na hifadhi ya dhahabu kutoka China bara mpaka Taiwan na kupitisha martial laws ndio unasema Taiwan ni mfano wa demokrasia na maendeleo haah

Hakuna demokrasia iliyoleta maendeleo Taiwan labda kama hufahamu historia ya Taiwan na China bara
 
Bidhaa za China zipo rahisi kwa sababu ya cheap labour na inferior material zisizozingatia usalama na na quality kwa mlaji. Kwa mfano kuna hizi zinazoitwa ''fast fashion'' kuna maduka mengi Europe wamezipiga marufuku kwa sababu hazidumu na zina toxic materials. Na hapa unatakiwa ujue kuwa bidhaa zinazokwenda Europe ni nzuri kuliko zinazokwenda Afrika.
Nimenunua chupa ya chai Kariakoo hakuna kitu kabisa. Ni uchafu tu kutoka China. Maaae zao ccm kuruhusu hizi takataka kuja nchini.
 
Huna hela
Wewe ukiwa nazo inatosha. Nyie ndio wangese mnaona sawa Raia wa Tz kuuziwa takataka, huku mkiwa mmepewa mamlaka ya kuzuia takataka kuingia nchini. Maamae zenu, mnagongwa.
 
Wewe ukiwa nazo inatosha. Nyie ndio wangese mnaona sawa Raia wa Tz kuuziwa takataka, huku mkiwa mmepewa mamlaka ya kuzuia takataka kuingia nchini. Maamae zenu, mnagongwa.
Huna Hela acha hasira
 
Hawajasoma English medium Hawa jamaa skilled personnel wa kichina waliosoma STEM.
Jamaa wamewekeza mno degree za Engineering from VETA formality sijui polytechnical wanalipwa mno kuliko Hawa wa mfumo wa academia like udsm wanaojua madesa mno kuliko practical
 
Hawajasoma English medium Hawa jamaa skilled personnel wa kichina waliosoma STEM.
Jamaa wamewekeza mno degree za Engineering from VETA formality sijui polytechnical wanalipwa mno kuliko Hawa wa mfumo wa academia like udsm wanaojua madesa mno kuliko practical
Na vyuo vya China kwa sasa vinafanya vizuri sana kwenye masuala ya research za sci-tech duniani kuzidi hata vya Marekani

Matokeo yake vimezalisha wataalamu wengi wenye quality katika STEM

Taasisi ya Kisayansi ya China (The Chinese Academy of Sciences-CAS). Taasisi kubwa zaidi ya kisayansi ulimwenguni imeipita chuo cha Harvard cha Marekani na kuwa ya kwanza kwa tafiti bora na mchango wa kisayansi katika natural science na health science

downloadfile-6.jpg


 
Na vyuo vya China kwa sasa vinafanya vizuri sana kwenye masuala ya research za sci-tech duniani kuzidi hata vya Marekani

Matokeo yake vimezalisha wataalamu wengi wenye quality katika STEM

Taasisi ya Kisayansi ya China (The Chinese Academy of Sciences-CAS). Taasisi kubwa zaidi ya kisayansi ulimwenguni imeipita chuo cha Harvard cha Marekani na kuwa ya kwanza kwa tafiti bora na mchango wa kisayansi katika natural science na health science

View attachment 3243022

Kweli vinafanya vizuri ndio maana vilituletea Covid
 
Back
Top Bottom