Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Taiwan haina chochote cha kuizidi au kujivunia mbele ya China iwe kiteknolojia, kiuchumi au kijeshi ni kama tu province moja tu ndani ya China
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Taiwan haina chochote cha kuizidi au kujivunia mbele ya China iwe kiteknolojia, kiuchumi au kijeshi ni kama tu province moja tu ndani ya China
Kwa nini ?Mimi sio hater wa China bali wa CCP.
Taiwan kuna wananchi wengi tu wanaokubaliana na CCP na maisha yanaenda.Inawezekana, mbona Taiwan hakuna CCP na maisha yanaendelea vizuri tu.
Taiwan gani haaahNaelewa, Kwa sababu kwanza Taiwan inatoa mfano mzuri sana kwa Wachina billion 1.3 kwamba unaweza kupata maendeleo makubwa bila udikteta na pili Taiwan ni mojawapo ya kituo cha ubora cha kidunia katika teknolojia ya computing.
TSMC haina tofauti na ASML
Nimenunua chupa ya chai Kariakoo hakuna kitu kabisa. Ni uchafu tu kutoka China. Maaae zao ccm kuruhusu hizi takataka kuja nchini.Bidhaa za China zipo rahisi kwa sababu ya cheap labour na inferior material zisizozingatia usalama na na quality kwa mlaji. Kwa mfano kuna hizi zinazoitwa ''fast fashion'' kuna maduka mengi Europe wamezipiga marufuku kwa sababu hazidumu na zina toxic materials. Na hapa unatakiwa ujue kuwa bidhaa zinazokwenda Europe ni nzuri kuliko zinazokwenda Afrika.
Huna helaNimenunua chupa ya chai Kariakoo hakuna kitu kabisa. Ni uchafu tu kutoka China. Maaae zao ccm kuruhusu hizi takataka kuja nchini.
Wewe ukiwa nazo inatosha. Nyie ndio wangese mnaona sawa Raia wa Tz kuuziwa takataka, huku mkiwa mmepewa mamlaka ya kuzuia takataka kuingia nchini. Maamae zenu, mnagongwa.Huna hela
Huna Hela acha hasiraWewe ukiwa nazo inatosha. Nyie ndio wangese mnaona sawa Raia wa Tz kuuziwa takataka, huku mkiwa mmepewa mamlaka ya kuzuia takataka kuingia nchini. Maamae zenu, mnagongwa.
Sina hela ndio maana hela ya matumizi namuomba mumeo.Huna Hela acha hasira
Africa yote wanafikiria Bunduki, fitina za kisiasa na vyama vyao, kutawala miaka 100 mbele. Mengine hayawahusu. Na ukiwauliza au kuwashauri unatafuta kesi ya kutekwaUnafikiri ni kwa nini Afrika inashindwa kutengeneza hizo bidhaa na ina cheap labour?
Hawajasoma English medium Hawa jamaa skilled personnel wa kichina waliosoma STEM.
Jamaa wamewekeza mno degree za Engineering from VETA formality sijui polytechnical wanalipwa mno kuliko Hawa wa mfumo wa academia like udsm wanaojua madesa mno kuliko practical
Huna hela hasira hazisaidiiSina hela ndio maana hela ya matumizi namuomba mumeo.
Kweli hela sina ndio maana hela za matumizi namuomba mumeo.Huna hela hasira hazisaidii
Kweli vinafanya vizuri ndio maana vilituletea CovidNa vyuo vya China kwa sasa vinafanya vizuri sana kwenye masuala ya research za sci-tech duniani kuzidi hata vya Marekani
Matokeo yake vimezalisha wataalamu wengi wenye quality katika STEM
Taasisi ya Kisayansi ya China (The Chinese Academy of Sciences-CAS). Taasisi kubwa zaidi ya kisayansi ulimwenguni imeipita chuo cha Harvard cha Marekani na kuwa ya kwanza kwa tafiti bora na mchango wa kisayansi katika natural science na health science
View attachment 3243022
ChinaScience: Vyuo na taasisi za China zinaongoza duniani kwa tafiti bora zaidi za kisayansi
Science is built upon facts and research. Science needs logic and facts. Kigezo kikuu kilichotumika ni mchango wa research bora zaidi duniani zilizofanywa na vyuo na taasisi za kisayansi kwenye natural science na health science. Taasisi ya Kisayansi ya China (The Chinese Academy of...www.jamiiforums.com
Kweli vinafanya vizuri ndio maana vilituletea Covid