Xi Jinping
JF-Expert Member
- Jun 14, 2023
- 3,651
- 11,548
- Thread starter
- #61
Afrika Haina Technologia, Labor siyo tatizo, kuna kazi viwandani hazihitaji elimu ni Technologia tu.
Uko sahihi
Kwa hiyo wanaosema China wanaweza kutengeneza bidhaa kwa ghrama nafuu kwa sababu ya kuwa na cheap labour hawako sahihi kabisa
Kwanza kwa sasa China hakuna cheap labour mambo kama technology yanahusika na mengine yaliyoonyeshwa kwenye uzi
Kwa hiyo wanaosema China wanaweza kutengeneza bidhaa kwa ghrama nafuu kwa sababu ya kuwa na cheap labour hawako sahihi kabisa
Kwanza kwa sasa China hakuna cheap labour mambo kama technology yanahusika na mengine yaliyoonyeshwa kwenye uzi