Kwanini BoT wasiprint pesa nyingi ili Serikali ifanyie mambo yake?

Kwanini BoT wasiprint pesa nyingi ili Serikali ifanyie mambo yake?

Kuna kitu kinaitwa money supply, wachumi wamei-group ktk narrow definition na broad definition, narrow definition ni hela cash zilizopo kwa watu/public na current account/float, na zinatumika kama exchange for trade wakati broad definition ni hela cash zilizo kwa watu/public (in circulation) plus money in banks plus foreign currency plus bonds, so wenye mamlaka ya kuprint money ni central bank au finance ministry katika nchi husika, swali, ni.muda gani inatakiwa kuprint money na kwanini?

Hapo awali ni nimesema wenye mamlaka ya kuprint hela na kukontroo ni central bank ya nchi husika. Central bank inaprint hela muda wowote inapoona kuna uhitaji wa hela ktk mzunguko na pia inaziondoa ktk mzunguko inapoona zimezidi ktk mzunguko make kazi yake ndo hiyo kukontrol hela.
 
ukiwa na Uchumi mkubwa kama wa USA na una teknolojia kubwa kama USA. Ukiwa kama ndiyo de facto leader and a benchmark wa teknolojia na Uchumi duniani. Basiiii ni wazi kuwa wengine watapenda kufanya Biashara na wewe (hapo unakuwa umefanikiwa kutengeneza DEMAND maana nchi zingine zitataka kununua kwako na zitahitaji pesa yako ili zifanikishe hilo)
Hivyo basi kwa kuwa DEMAND ipo tayari, na SUPPLY (ya currency yako) unayo kwako basi ni rahisi kui-control Market ya Foreign Currency.
Supply & Demand ipo pale pale.. Whether you like it or not! Whether you SEE it or NOT.. Directly or Indirectly.

1605022571934.png


if thats the case then china should be allowed to print more than $800M everyday and its should be the foreign currency of every other nation!

- Trade structure ya united states hii apa (PPP)
1605022702323.png

Vp apo, unaona exports na imports? Vp theory yako ya supply and demand?
- wanafunzi wa form 5 bana..
 
Habari wana jamvi?
Natumai mu wazima wa afya.

Leo nina swali ambalo naamini likijibiwa hapa nitakuwa nimefumbuliwa macho ya fikra, pia watu wengi watakuwa wamefumbuliwa.

Swali: Ni vigezo gani huwa vinaangaliwa mpaka serikali inaprintiwa pesa?

Kwa nini wasprint nyingi tukalipa madeni ya nje, tukakamilisha miradi mikubwa ya maendeleo, tukanunua madawa ya hospital na vyote ambavyo tunapungukiwa kama nchi?

Wanauchumi karibuni mtupe a,b,c za hili jambo ili tupate kujifunza.
Watu hawatafanya kazi kwa jasho ili kuzalisha kwa wingi maana kazi kidogo tu utapata fedha na maendeleo hayatakuwepo. Ila ikiwa fedha ni adimu watu watafanya kazi na fedha watakayoipata litakuwa na value
 
Na mm nina baadhi ya maswal ktk muktadha wa hela.. 1: hv kwa sasa BOT Ina akiba ya sh ngp walizoprint yan pesa zlzopo kwny mzunguko? 2: pesa ya Tanzania ina printiwa wap hapa hapa bongo na BOT au lah? 3: mfano tunapokuwa tumepewa msaada au kukopa pesa nje ya nchi aidha Marekan, labda marekan imetupa mkopo wa dola milion 10 tufanye mradi fulani je hyo pesa ikifika huku nchini tunaitumiaje tunaibadilisha na currency yetu ya ndani ama? Na km tunaibadilisha na pesa ya ndan ndio itumike ktk mrad flan je zle dola tunazfanyaje mbn km n hasara tumeingia kutumia pesa zetu wenyewe! Na je km tukipata mkopo kwa dola tunabadilsh kwa pesa za ndan je ikitokea hzo dola n nying kuliko pesa za ndan zloprintiwa inakuwaje tunaweza vp kubadilisha!!!!
 
View attachment 1623551

if thats the case then china should be allowed to print more than $800M everyday and its should be the foreign currency of every other nation!

- Trade structure ya united states hii apa (PPP)
View attachment 1623552
Vp apo, unaona exports na imports? Vp theory yako ya supply and demand?
- wanafunzi wa form 5 bana..
unajichanganya sana, kwa hiyo wataka kunambia kuwa EXPORT na IMPORT huwa hazitegemei Kanuni za DEMAND na SUPPLY eeh? Daah!! acha niishie hapo, kazi kweli kweli
 
View attachment 1623551

if thats the case then china should be allowed to print more than $800M everyday and its should be the foreign currency of every other nation!

- Trade structure ya united states hii apa (PPP)
View attachment 1623552
Vp apo, unaona exports na imports? Vp theory yako ya supply and demand?
- wanafunzi wa form 5 bana..
kwa hiyo unataka China waPrint USD, daah hicho ni kichekesho... Wao waPrint YUAN zao.
YUAN ipo hapo ilipo sababu haina DEMAND kubwa duniani nje ya China ukilinganisha na USD, ilhali USD yenyewe DEMAND yake bado ni kubwa hata Nje ya America..
America ina Uchumi imara na pia America ni de factor Superpower kwa TEKNOLOJIA, maana nchi nyingine kubwa ki-Teknolojia kama vile Japan, China, Russia, England, France, Germany n.k. nchi zote hizo zinaposhindwa kitu basi zinaangalia Ufumbuzi kutoka America.
Yote hayo yanafanya America iwe on DEMAND duniani na hii imesaidia pia kufanya USD iwe the de facto currency ya dunia pia.
Mchezo unarudi pale pale DEMAND & SUPPLY.
China hawawezi kuPrint print tu YUAN zao bila kufata misingi ya fedha yao na pia kwa kuzingatia Kanuni za Demand & Supply.
 
kwa hiyo unataka China waPrint USD, daah hicho ni kichekesho... Wao waPrint YUAN zao.
YUAN ipo hapo ilipo sababu haina DEMAND kubwa duniani nje ya China ukilinganisha na USD, ilhali USD yenyewe DEMAND yake bado ni kubwa hata Nje ya America..
America ina Uchumi imara na pia America ni de factor Superpower kwa TEKNOLOJIA, maana nchi nyingine kubwa ki-Teknolojia kama vile Japan, China, Russia, England, France, Germany n.k. nchi zote hizo zinaposhindwa kitu basi zinaangalia Ufumbuzi kutoka America.
Yote hayo yanafanya America iwe on DEMAND duniani na hii imesaidia pia kufanya USD iwe the de facto currency ya dunia pia.
Mchezo unarudi pale pale DEMAND & SUPPLY.
China hawawezi kuPrint print tu YUAN zao bila kufata misingi ya fedha yao na pia kwa kuzingatia Kanuni za Demand & Supply.

Wacha kujikanyaga, the reason I showed you that is because ulisema USA ndo uchumi mkubwa duniani nkakudiappprove, saaahv umekimbilia technology, here is to you mzee wa supply and demand nliwaambia hizo elimu zenu za form 5 hazitawasaidia chochote. Your still kachalii katika global trade

  • na hata hio tech I can still disapprove you, maan which tech are you talking about , Google itself wa made by Russia student anaitwa sergey bring
  • NASA rockets are made by the Soviet union and ndo kings wa missiles , its only t his year rockets deals are made by spacex

+ To make the long story short, kama nlivokwambia cheti chako cha form 5 won't help you
 
unajichanganya sana, kwa hiyo wataka kunambia kuwa EXPORT na IMPORT huwa hazitegemei Kanuni za DEMAND na SUPPLY eeh? Daah!! acha niishie hapo, kazi kweli kwe

Kwahio wewe unachojua maisha yako yote ni supply and demand umemaliza, duu
 
Hii ni pale ambapo kuna deflation au bidhaa na huduma zinapatikana kwa wingi halafu watu hawawezi nnunua ili kuongeza mzunguko wa pesa serikali uprint na kufanya shughuli za matumizi ambayo yatatawanya hizo pesa kwa private companies na mtu mmoja mmoja
 
Kwani pesa hizo zikilipwa nje kwenye madeni bila ya kuacha hata senti hapa nchini inflation itakujaje
Madeni ya nje yapo kwa pesa za kigeni mwisho wa siku utahitaji hizo foreign currency kwa kuzinunua hapa hapa so zitabaki hapa hapa
 
Wacha kujikanyaga, the reason I showed you that is because ulisema USA ndo uchumi mkubwa duniani nkakudiappprove, saaahv umekimbilia technology, here is to you mzee wa supply and demand nliwaambia hizo elimu zenu za form 5 hazitawasaidia chochote. Your still kachalii katika global trade

  • na hata hio tech I can still disapprove you, maan which tech are you talking about , Google itself wa made by Russia student anaitwa sergey bring
  • NASA rockets are made by the Soviet union and ndo kings wa missiles , its only t his year rockets deals are made by spacex

+ To make the long story short, kama nlivokwambia cheti chako cha form 5 won't help you
rejea post iliyopita utaona nilisema kuwa ni nchi yenye Uchumi mkubwa na Teknolojia Kubwa pia. Post mbona ipo na uzuri ulii-quote hivyo rejea utaiona. Labda uliisoma kwa mawenge wenge.
Wewe ndiyo unayejichanganya.
 
Wacha kujikanyaga, the reason I showed you that is because ulisema USA ndo uchumi mkubwa duniani nkakudiappprove, saaahv umekimbilia technology, here is to you mzee wa supply and demand nliwaambia hizo elimu zenu za form 5 hazitawasaidia chochote. Your still kachalii katika global trade

  • na hata hio tech I can still disapprove you, maan which tech are you talking about , Google itself wa made by Russia student anaitwa sergey bring
  • NASA rockets are made by the Soviet union and ndo kings wa missiles , its only t his year rockets deals are made by spacex

+ To make the long story short, kama nlivokwambia cheti chako cha form 5 won't help you
The mastermind wa Google ni Larry Page na ndiyo inventor wa algorithm ya PageRank.
PageRank iliyobuniwa na Larry Page ndiyo injini na msingi mkuu unaoendesha ile Google Search.
Chukua shule ya bure hiyo. Unapenda conspiracy theories sana. Larry na Sergey walikuwa friends walipokutana Chuo Stanford University. wakajikuta wana vitu vingi in common kuhusu Software & Internet, hivyo wakaamua kuanzisha Google.
Hiyo ya NASA imebidi nicheke tu..
By the way endelea kubaki na conspiracy theories zako. Let us agree to disagree baki na unachokiamini.
 
Kwahio wewe unachojua maisha yako yote ni supply and demand umemaliza, duu
kwa kifupi jua kwamba hakuna biashara yoyote ile itaenda bila Supply & Demand.
Na Demand inaweza tengenezwa on purpose na watu pia, halafu watu hao hao wanatangaza kuwa wana solution ya tatizo waliolitengeneza wao wenyewe ili ku-force Demand na ilimradi tu waweze ku-Supply hiyo solution na kupata Faida kubwa.
Kitu kinaponunuliwa maana yake kinahitajika (kipo on demand). Hata Currency pia zipo ambazo zipo on higher demand kuliko zingine nje ya nchi.
Ukielewa hii utajua kwa nini ni USD na siyo YUAN.
Jumlisha Nguvu ya Uchumi, Nguvu ya Teknolojia na Sera za Mambo ya Nje kisha utajua kwa nini America ndo ina ushawishi katika Currency na siyo China.
Tatizo ni kwamba, Mkuu umejifunga kwa conspiracy theories zako na hutaki kuelewa kwa common sense.
 
kwa kifupi jua kwamba hakuna biashara yeyote itaenda bila Supply & Demand.
Na Demand inaweza tengenezwa on purpose pia ili watu waweze ku-supply na kupata faida.
Kitu kinaponunuliwa maana yake kinahitajika (kipo on demand). Hata Currency pia zipo ambazo zipo on higher demand kuliko zingine katika nje ya nchi zingine.
Ukielewa hii utajua kwa nini ni USD na siyo YUAN.
Jumlisha Nguvu ya Uchumi, Nguvu ya Teknolojia na Sera za Mambo ya Nje kisha utajua kwa nini America ndo ina ushawishi katika Currency na siyo China.
Tatizo ni kwamba, Mkuu umejifunga kwa conspiracy theories zako na hutaki kuelewa kwa common sense.

mm sioni sababu ya kuanza kutoa maelezo mengi, mara sjui conspiracy yote sawa! kifupi ni kwamba hakuna nchi yenye uhitaji wa pesa mpya kiasi cha trillion 1.3 kila sku, na haitokuepo! hata uwe unamiliki serikali zote duniani hakuna point utafika u will need 1.3trillion each day! never ever and wont happen! i am glad for countries like china ambao walijitoa kwenye huu upumbavu na saaahv wanajaza pesa afrika, we endelea na supply and demand yako!
 
The mastermind wa Google ni Larry Page na ndiyo inventor wa algorithm ya PageRank.
Chukua shule ya bure hiyo. Unapenda conspiracy theories sana. Larry na Sergey walikuwa friends walipokutana Chuo Stanford University.
Hiyo ya NASA imebidi nicheke tu..
By the way endelea kubaki na conspiracy theories zako. Let us agree to disagree baki na unachokiamini.
1605085200005.png



1605085438177.png


we ni mpuuzi tu
 

Attachments

  • 1605085413011.png
    1605085413011.png
    44.8 KB · Views: 2
mm sioni sababu ya kuanza kutoa maelezo mengi, mara sjui conspiracy yote sawa! kifupi ni kwamba hakuna nchi yenye uhitaji wa pesa mpya kiasi cha trillion 1.3 kila sku, na haitokuepo! hata uwe unamiliki serikali zote duniani hakuna point utafika u will need 1.3trillion each day! never ever and wont happen! i am glad for countries like china ambao walijitoa kwenye huu upumbavu na saaahv wanajaza pesa afrika, we endelea na supply and demand yako!
mkuu weka ushahidi wanaprint trilion 1.3 kila siku....nimechoka kukulazia damu sasa
 
Wacha kujikanyaga, the reason I showed you that is because ulisema USA ndo uchumi mkubwa duniani nkakudiappprove, saaahv umekimbilia technology, here is to you mzee wa supply and demand nliwaambia hizo elimu zenu za form 5 hazitawasaidia chochote. Your still kachalii katika global trade

  • na hata hio tech I can still disapprove you, maan which tech are you talking about , Google itself wa made by Russia student anaitwa sergey bring
  • NASA rockets are made by the Soviet union and ndo kings wa missiles , its only t his year rockets deals are made by spacex

+ To make the long story short, kama nlivokwambia cheti chako cha form 5 won't help you
mzee naona unachukia sana wasomi...pole
lakini china in form of GDP sio uchumi wa kwanza....ni ya pili
 
mkuu weka ushahidi wanaprint trilion 1.3 kila siku....nimechoka kukulazia damu sasa

🤦‍♂️, Wacha nkupe elimu!
Demands and supply ni maelezo ya wanyonge, ndo kama wewe sasa! printing is done everyday, Here is some small info for you
View attachment 1622629

-> Pesa in simple terms tunasema ni imani ya mtumiaji, hkunaga sheria ya pesa! unfortunately watu kama nyie ndo wale hamchambui vitu vizuri mnarukia tu, if printing kills your money, then us dollar ingekua ya kwanza kufa kwa sababu inatumika dunia nzima (240 countries), kuanzia serikali mpaka wananchi wa kawaida thats including the government of the united states itself, so zpo za excess


Also kila sku mmoja The federal reserve wanachapisha noti mpya 24.8million dunia nzima, then why has the us dollar never lost is value? si ndio ipo foreign reserve BOT na dunia nzima?

-> wacha nkuulize swali lingine la ziada, ukichukua mkopo mpesa! unadhan vodacom wanatoa wap hio pesa kukupa?
-> Tafuta elimu usome zaidi achana na elimu za maji taka, ona sasa umebaki na graphs zako

convert that to tsh
 
mzee naona unachukia sana wasomi...pole
lakini china in form of GDP sio uchumi wa kwanza....ni ya pili

😂 😂 😂 😂 😂 😂 nyie endeleeni tu na supply and demand hakuna cha maaana mnajua!
 
Back
Top Bottom