Kwanini BoT wasiprint pesa nyingi ili Serikali ifanyie mambo yake?

Kwanini BoT wasiprint pesa nyingi ili Serikali ifanyie mambo yake?

Kwanza serikali inamamlaka ya kuprint pesa zake zenyewe bila kibali toka popote.....taasisi ya IFM huwa inakopesha etc fedha za kigeni serikali kama Kuna upungufu WA fedha za kigeni... Pia IFM huwa wana mapendekezo kadhaa kwa benki kuu kuhusu kuprint pesa .
Serikali huwa inprint fedha na kuziweka kwenye mzunguko Kama Kuna gap ya kufanya hivo na Kama hakuna madhara yanayoweza kutokea... NI JAMBO LA KAWAIDA.
shida huwa inakuja pale serikali inapoprint PESA nyingi kuliko mzunguko wa Shughuli za kiuchumi Hapo ndio ongezeko LA pesa kwenye mzunguko linaharibu uchumi kabisa na kusababisha mfumuko wa bei etc..
kuprint pesa hapa namaanisha kuongeza fedha zingine mpya kwenye mzunguko na si kubadilisha mwonekano WA fedha au kubadilisha zilizochakaa.
Bro.... IFM ni chuo.....
 
Katika masuala ya pesa ni magumu kuyaelewa kwa ss ngosi nyeusi,, Zimbabwe,, Zambia walijaribu kuprint kilichotokea wanajua wenyewe,, mpaka sasa wasomi wetu wa bongo wanaeleza lakini hawajui wanachokieleza,, mfumo wa pesa ni waajabu sana,, mpaka sasa najua thamani ya pesa yetu inaendelea kushuku tu,,. Kwa ss Tanzania tunaingiza vitu vingi kuliko kutoa vitu,,
Uchumi watanzania unauliwa na jambo moja kuu, ukitoa vyakula, soko la mahitaji yetu mengine makubwa especially utaalamu wa bidhaa za viwandani tuna import kutoka mataifa nje.

Hii inaturudisha nyuma kila uchao. The day tukireplace namna ya kupata mahitaji yetu kwa kutegemea viwanda na soko la ndani then tutakuwa vema na hela itapanda thamani.
 
Namimi naongezea swali, kuhusu foreign currency reserve, je ikitokea Tanzania imetuma majambazi sugu US, wakaenda kuiba dollar za kutosha kwa ajili ya reserve ya TZ. Uchumi utaimarika assuming other factors remain constant, nikimaanisha hizo dollar hazijawa blacklisted maana inawezekana kuzitangaza ni batili kwa taifa la us, tufanye haya yote hayapo ila mzigo wa dollar za kimarekani umejazwa kwenye makontena ya kutosha yakaja tupwa BOT, wajuvi je tanzania itakua vizuri kwa kipindi hicho?
Uchumi sifa yake kuu ni healthy exchanges. Kama taifa halina watu productive then hata uwape makontena ya dollars baada ya muda zitaisha tutarudi back at square one......

Siri ya kuwa na uchumi wenye nguvu kwanza ni uchapa kazi na uzalishaji mali na huduma bora....
 
Mbona nimemjibu, kuwa madeni ya nje ya nalipwa na foreign currency siyo pesa ya madafu. Sasa tutawezaje print pesa ya kigeni kwa ajili ya kulipa madeni ya nje.
Amesema tuprint hela za kitanzania kisha tuwape wao watajua watakapopeleka kubadili wajilipe..... Sijui umempata mdau?!
 
Amesema tuprint hela za kitanzania kisha tuwape wao watajua watakapopeleka kubadili wajilipe..... Sijui umempata mdau?!
Hawawezi kuipokea, kwasababu madeni yanalipwa kwa foreign currency.
 
Uchumi sifa yake kuu ni healthy exchanges. Kama taifa halina watu productive then hata uwape makontena ya dollars baada ya muda zitaisha tutarudi back at square one......

Siri ya kuwa na uchumi wenye nguvu kwanza ni uchapa kazi na uzalishaji mali na huduma bora....
Achana na sifa na siri za uchumi, chukulia alieiba ni mjanja wa akili.
 
Katika masuala ya pesa ni magumu kuyaelewa kwa ss ngosi nyeusi,, Zimbabwe,, Zambia walijaribu kuprint kilichotokea wanajua wenyewe,, mpaka sasa wasomi wetu wa bongo wanaeleza lakini hawajui wanachokieleza,, mfumo wa pesa ni waajabu sana,, mpaka sasa najua thamani ya pesa yetu inaendelea kushuku tu,,. Kwa ss Tanzania tunaingiza vitu vingi kuliko kutoa vitu,,
Na Vipi kuhusu kuexport bidhaa kwenye nchi zenye uchumi wa kawaida selikali inawezaje kusema inakuza uchumi wake kwa kuexport bidhaa kwenye mataifa ambayo uchumi wake ni mdogo
 
Tricky question.

In a layman explanation.

Once upon a time we had barter trade. Trading by exchanging things by things on hands. Now what if I have 1 cow and i want to trade this 1 cow for only 1 goat. Since 1 cow and 1 goat aren't worth the same. Cow worth's higher than goat. So I need 1 goat and remaining value of my cow i.e the change. I don't want anything, I just want a goat and the remaining value. How would I be paid?

In early days if you had much golds you're a rich. So gold didn't solve the scenario above of barter trade.
The idea of money came in our heads. What we need is something that will trade things at different values and the remaining changes, hence making life simple. Just a single paper in pocket worth cows, car and a house.

How would the first money worth? Well do we have something very rarely and highly valued than other things? Yes it's Gold.

How do we value a single paper per gold?
Just make $ 1 paper per 1 milligramme of gold (just an example, not really how it works). That means 100 mg of gold and you have $100 in pockets.

You seeeeeeee!

If a cow worth $3, it would need me 3 mg of golds, now I'll give only $3 of paper money instead of golds and get my changes back.

Printing bunch of paper $ thinking you'll wake-up a rich is a dumb idea, it doesn't mostly work. Zimbabwe and Venezuela tried and failed.

Imagine a country prints trillions of paper $ and procure to every citizen in the country. Now everybody has $1000 in their pockets without sweat, I mean easily you get $ without production!. All of people need is rice to survive. It used to cost $1 for 1 kg of rice. Everyone has money now everyone will need to buy tonnes of rice and put them at their homes. Rice will be scarce in the market. Demand of rice will rise and hence firms and farmers will need to hire workers to work harder and produce more rices. Workers will demand high wages. And hence firms won't stand longer paying higher wages to rice producers. Now firms will consider raising the price of 1 kg of rice to $ 10. It's a hide and seek game😀😀.

Value of the currency drops (PPP). I mean PPP of rice in China may be is $0.5 but yours is $10.

You wanna buy rice in China by your currency you'll need 10/0.5 = 20 PPP of your currency. 😅

As long as your government continue printing more moneys without considering its gold reserve, imports and exports its economy will crush.

Economy of the country grows by making things, selling them and of course the currency is determined by gold reserves. Gold is rarely and valued thing you know.
Maelezo mazuri yaliyoshiba....
 
Rejea swali mzee, ni vigezo gani huwa vinaangaliwa vinavyopelekea serikali iprint pesa?
Tunashukuru umetupa athari za kuprint pesa bila kufuata utaratibu.
hakuna vigezo uchumi unareact wenyewe! the more you have the more you loose, then hukumu itakua kwenye exchange rates
 
kwani pesa hizo zikilipwa nje kwenye madeni bila ya kuacha hata senti hapa nchini inflation itakujaje

now naelewa wapi unakwama, iko ivi! pesa zote za tsh hazitoki nje ya boda, tsh mwisho wake ni tanzania kwa sababu marekani ndo walivofanya system iwe, means ukitaka kutrade na nchi ingine lazima utumie kitu kinaitwa IOU, in simple terms it means deni

- Uchumi wa dunia nzima unaendeshwa kwa madeni + imani, thats all! mm naweza nkakuuzia shati 10,000 kwa kukuangalia na mwingine anaweza kukuuzia shati ilo ilo 15,000 kwa kukuangalia tu, ndo uchumi wa dunia ulivo kila sehem, its a bit a long story kuelezea lakini kwa kifupi ni kwamba tsh znaishia hapa hapa tanzania, ukitaka kutrade kwa usd lazima utengeneze kitu kinaitwa IOU means deni ambalo litakuja kulipwa mbelen, hio IOU inanunuliwa na mtu yoyote mwenye uwezo then yeye anakupa cash usd yeye anabaki na hio karatasi, then mtakua mnamlipa whatever way + interest mpaka deni liishe
 
Ili kukuza uchumi, unatakiwa kuzidisha uzalishaji.

Ukizidisha kuchapisha pesa tu, kitakachotokea ni kwamba ,hela zitakuwa nyingi, lakini vitu vitapanda bei sana (inflation).

pole sana, ukitaka kukuza uchumi lazima ukope kwa kiasi kikubwa! sio kwa sifa ila ndo uchumi unavoenda, you cant create new money, the only way to create new money ni kwa kukopa, uchumi wa dunia nzima ni madeni + imani basi, hata wewe ukiweka ela mpesa haimaanishi kwamba mpesa wana hela yako ila wana imani yupo wakala anaweza kukuhudumia, wao wanakujazia tu namba kwenye account,

same same to bank, and other institutions, dunia nzima pesa zko typed sio cash, 80% is typed and the rest is notes and coins
 
Haujamuelewa, amesema tuprint nyingi halafu wapewe mataifa ya nje wanaotudai...... Hilo ndilo swali lake!

Ana assume kuwa ukiprint pesa na kuzipeleka nje then uchumi wa ndani hautaathirika na mfumuko wa bei sababu pesa zitakwenda nje!

hakuna pesa inayoenda nje, kinachoenda nje ni deni sio cash
 
pole sana, ukitaka kukuza uchumi lazima ukope kwa kiasi kikubwa! sio kwa sifa ila ndo uchumi unavoenda, you cant create new money, the only way to create new money ni kwa kukopa, uchumi wa dunia nzima ni madeni + imani basi, hata wewe ukiweka ela mpesa haimaanishi kwamba mpesa wana hela yako ila wana imani yupo wakala anaweza kukuhudumia, wao wanakujazia tu namba kwenye account,

same same to bank, and other institutions, dunia nzima pesa zko typed sio cash, 80% is typed and the rest is notes and coins
Kwani wapi nimeandika ukitaka kukuza uchumi u create new money?

Na ukikopa bila kukuza uzalishaji utakuzaje uchumi?
 
bro mm nmejibu hoja yako ya kukuza uchumi,
Hujajibu hoja.

You are all over the place kuongelea kukopa and what not, in an unfocused way.

Nimekueleza hivi, kukuza uchumi, inabidi uongeze uzalishaji.

Ukichapisha noti tu, utasababisha mfumuko wa bei .

Unabisha?
 
Hujajibu hoja.

You are all over the place kuongelea kukopa and what not, in an unfocused way.

Nimekueleza hivi, kukuza uchumi, inabidi uongeze uzalishaji.

Ukichapisha noti tu, utasababisha mfumuko wa bei .

Unabisha?

it seens you have very little knowledge on this topic, kwanza lazima ujue money ni scam, ukiongeza uzalishaji ni sawa sawa unaprint pesa mpya tu the only difference ni, hii itachukua mda kupata mzunguko wa pesa mwingi while kuprint ni instant but the worst way, ukiprint pesa mpya, you kill the economy completly, ukifanya uzalishaji your killing the economy but in a very slow pace, either way lazima pesa iharibike thaman, hata $1 ya 90 na hii ya leo ni tafaut kabisa, in either way lazima your killing the economy!

- So the best way ni kukopa spend it then return it, Its not perfect lakini its the best
 
Namimi naongezea swali, kuhusu foreign currency reserve, je ikitokea Tanzania imetuma majambazi sugu US, wakaenda kuiba dollar za kutosha kwa ajili ya reserve ya TZ.

Uchumi utaimarika assuming other factors remain constant, nikimaanisha hizo dollar hazijawa blacklisted maana inawezekana kuzitangaza ni batili kwa taifa la us, tufanye haya yote hayapo ila mzigo wa dollar za kimarekani umejazwa kwenye makontena ya kutosha yakaja tupwa BOT, wajuvi je tanzania itakua vizuri kwa kipindi hicho?
Daaah kumbe Nchi ikiwa na madola mengi ya marekani ndio Nchi inakua tajiri ,daah basi acha marekani waendelee kua matajiri maana wenyewe madola yao wanayo mengi, vipi kuhusu China na wenyewe wana madola mengi ya marekani ?
Kwel hili suala LA pesa bado ni kizungumkuti
 
Uchumi watanzania unauliwa na jambo moja kuu, ukitoa vyakula, soko la mahitaji yetu mengine makubwa especially utaalamu wa bidhaa za viwandani tuna import kutoka mataifa nje.

Hii inaturudisha nyuma kila uchao. The day tukireplace namna ya kupata mahitaji yetu kwa kutegemea viwanda na soko la ndani then tutakuwa vema na hela itapanda thamani.
Kiuhaalisia sisi bado Sana Ku export bidhaa ambazo tutatengeneza wenyewe kwenye viwanda vyetu , chamsingi hapa ili tuweze kutoka , ilitakiwa kuwekeza kwenye kilimo tu, tuwe na mazao mengi ambayo tutaweza kuuza mpaka Nje ya Nchi kwa wingi nahisi ndio njia pekee itakayoliwezesha taifa kupata pesa nyingi za kigeni kwa urahisi.
 
Back
Top Bottom