Kwanini BoT wasiprint pesa nyingi ili Serikali ifanyie mambo yake?

Kwanini BoT wasiprint pesa nyingi ili Serikali ifanyie mambo yake?

Utakuwa umesoma habar sana za wale Rocker Feller kumiliki Dollar!

Jitahidi kusoma zaidi uondokane na mabishano yasio na tija, elimu ya kweli itakusaidia katika maisha! Unakimbizwa na maisha kumbe ni vitu vichache tu unatakiwa usome ujue nan anakuendesha hii dunia
 
ok kwa lugha nyepesi ni hivi:

Tuseme unataka kununua mchele kenya, ili kuweza kununua mchele huo ni lazima uwe na pesa inayozunguka kenya na wanayoitambua, kwa maneno marahisi lazima uwe na ksh au USD

- sasa utafanya nn na unatumia tsh? na unautaka huo mchele na hauwezi kupeleka tsh kwa sababu sio pesa yao, unafanya ivi, unatafuta mtu ambae hana kazi na USD kwa huo mda then unamwandikia receipt inayoitwa IOU: kwa kiswahili sjui inaitwaje ila hizi karatasi hua znatolewa na wasimamizi wa pesa katika nchi: Kwa Tanzania ni BOT (pia ukumbuke hizi IOU znatolewa kwa biashara zinazozungusha pesa kubwa zinazohusiana na mikataba ya nchi sio mtu mmoja mmoja)


- So hio receipt utaenda nayo kenya then watakupa KSH au USD ile receipt watabaki nayo kwenye documents zao anytime watataka pesa wataitumia, na hatimae unafanya manunuzi kenya ila ukiwa una deni la kulipa mbelen, naomba pia utambue uchumi wote wa dunia unaendeshwa kwa ulaghai wa kuwakandamiza nchi ndogo ndogo zote nkimaanisha nchi ambazo hazina uchumi mkubwa

- Huu ulaghai wote unaendeshwa na shirika moja linaitwa THE FEDERAL RESERVE, na mbaya zaidi hili sio shirika la serikali bali la watu binafsi na wao ndo wenye kibali cha kuchapisha noti za USD duniani kote, katiba ya marekani haitoi ruhusu kwa serikali ama shirika lolote kufanya uchunguzi katika FEDERAL RESERVE

- Kwa mfano, ukichapisha pesa nyingi mfano noti za tanzania, uchumi wako utakufa lakini wao wanaweza kuchapisha noti nyingi na za kutosha na zinazotumika dunia nzima sio marekani tu, serikali zote duniani kasoro CHINA, RUSSIA, AFGANISTAN na CUBA hawatumii mfumo huu

THE FEDERAL RESERVE wanachapisha zaidi ya tsh $600M kila sku bila kuathiri uchumi wa marekani, lakini hairuhusiwi kwa nchi zingine zozote znazofanya biashara kwa kutumia USD kuchapisha pesa zao wenyewe kwa kiasi kikubwa hiki, huu ni utapeli na unatakiwa ufike mwisho
Asante sana nimeongeza maarifa.
 
Ndiyo najua ni 560 otherwise nisinge mtaja bakhresa au Jay Z. Bado kwa Uchumi wa Marekani, na jinsi dollar inavyotumiaka dunia nzima ni kiasi kidogo sana. Na huenda kiliprintiwa kureplace dollar zilizotolewa kwenye mzunguko. Jibu tunarudi pale pale kuwa hawa print print tu. Halafu hizo siyo tilion 2.5 za Kitanzania bali ni kama 1.3 tilion za Kitanzania

Sasa kama unaprint tril 1.3 kila sku moja tokea 1990 mpaka leo huoni kwann unatapeliwa ili usiprint, we unadhan tungeprint pesa ya afrika masharika sisi kama sisi hio USD ingetufikia? ndo yale yale mtu anakwambia supply and demand while logic wala sio hio, uchumi mzima wa duniani unaendeshwa kwa utapeli wa hali ya juu, ni nchi nne tu zmejitoa katika utapeli wa kimarekani, na ndo nchi zinazosumbua hii dunia, mfano china ndo wanaongoza kwa kuchapisha pesa za kukopesha serikali za afrika, we uliskia wap uchumi wa china uliporomoka kwa hizo noti mpya? sasa wewe endelea na supply and demand
 
Asante sana nimeongeza maarifa.

Karibu sna, ingawa nmeelezea kw kifupi ila jaribu kusoma zaidi na zaidi, itakusaidia katika kufanya maamuzi, hizi taarifa nlizosoma mara ya kwanza nkiwa form 3 na nkaacha shule apo apo
 
Unaelewa kwamba una ji contradict sasa?

Sasa kama money has no value, na wewe umesema uchumi unapanda kwa kukopa hela, uchumi unapandaje kwa kukopa kitu kisicho na value?

Unaelewa hata maana ya value ni nini?


Nmekuelezea kwa elimu yako uliyo nayo ya supply and demand ambayo pia ndo utapeli ule ule nnaousemea, maaana nkikuelzea the real thing hutaelewa na sources zangu hata hutazielewa, ila amini nakwambia uchumi unaendeshwa kwa utapeli. internet pia inaendeshwa kwa utapeli mkubwa, yaani wewe unahangaika na google kumbe kuna internet ya pili ambayo hata huna habari nayo ndo napotoa izi taarifa, amini nachokwambia na epukana na utapeli huu
 
sasa kama unaprint tril 1.3 kila sku moja tokea 1990 mpaka leo huoni kwann unatapeliwa ili usiprint, we unadhan tungeprint pesa ya afrika masharika sisi kama sisi hio USD ingetufikia? ndo yale yale mtu anakwambia supply and demand while logic wala sio hio, uchumi mzima wa duniani unaendeshwa kwa utapeli wa hali ya juu, ni nchi nne tu zmejitoa katika utapeli wa kimarekani, na ndo nchi zinazosumbua hii dunia, mfano china ndo wanaongoza kwa kuchapisha pesa za kukopesha serikali za afrika, we uliskia wap uchumi wa china uliporomoka kwa hizo noti mpya? sasa wewe endelea na supply and demand
Nilidhani ni annually kama ni per day basi ni nyingi lakini still n reasonable, maana Dollar ndiyo inatumika kama pesa ya kufanya biashara ya kimataifa. Bado nchi karibu zote zinahihifadhi kiasi flani kama Foreign reserve ikiwa ina maana zinaiondoa kwenye mzunguko. Bila kufanya hivyo kunaweza kuwa na deficit ya dollar watu wanahitaji lakini haijitoshelezi kwenye mzunguko. Uliona kilichotokea zimbabwe baada ya vikwazo, serikali ika print pesa kulipa mishahara na kuendesha shughuli zake. Pesa ikadondoka vibaya mno.
 
Nilidhani ni annually kama ni per day basi ni nyingi lakini still n reasonable, maana Dollar ndiyo inatumika kama pesa ya kufanya biashara ya kimataifa. Bado nchi karibu zote zinahihifadhi kiasi flani kama Foreign reserve ikiwa ina maana zinaiondoa kwenye mzunguko. Bila kufanya hivyo kunaweza kuwa na deficit ya dollar watu wanahitaji lakini haijitoshelezi kwenye mzunguko. Uliona kilichotokea zimbabwe baada ya vikwazo, serikali ika print pesa kulipa mishahara na kuendesha shughuli zake. Pesa ikadondoka vibaya mno.

reasonable??? 😂 ! uchumi wa dunia nzima unaendeshwa kwa utapeli mkubwa na imani tu, na pia zpo nchi zilizoanzisha movement ya kujitoa kwenye huu utapeli wa marekani, mpaka sasa ni afganistan, china, russia na cuba! juzi juzi nmesoma taarifa pia kuna nchi kama korea na nyingine nyingi ztajitoa, china walijitoa saaahv wanajaza mikopo serikali za afrika nzima wewe unabaki kusema reasonable, saaahv china ndo mkopeshaji mkubwa afrika na wala hata pesa yao haitumiki kama trade currency duniani.
 
reasonable??? 😂 ! uchumi wa dunia nzima unaendeshwa kwa utapeli mkubwa na imani tu, na pia zpo nchi zilizoanzisha movement ya kujitoa kwenye huu utapeli wa marekani, mpaka sasa ni afganistan, china, russia na cuba! juzi juzi nmesoma taarifa pia kuna nchi kama korea na nyingine nyingi ztajitoa, china walijitoa saaahv wanajaza mikopo serikali za afrika nzima wewe unabaki kusema reasonable, saaahv china ndo mkopeshaji mkubwa afrika na wala hata pesa yao haitumiki kama trade currency duniani.
Walijitoa kwamba wanaprint pesa kila wanavyojisikia au walijitoaje? Au unamaanisha kujitoa kwa kuacha kutumia dollar kama currency ya kufanyia malipo? Be specific maana hapa tunazungumzia kuprint pesa tu kama alivyouliza mwanzisha thread.
 
Nilidhani ni annually kama ni per day basi ni nyingi lakini still n reasonable, maana Dollar ndiyo inatumika kama pesa ya kufanya biashara ya kimataifa. Bado nchi karibu zote zinahihifadhi kiasi flani kama Foreign reserve ikiwa ina maana zinaiondoa kwenye mzunguko. Bila kufanya hivyo kunaweza kuwa na deficit ya dollar watu wanahitaji lakini haijitoshelezi kwenye mzunguko. Uliona kilichotokea zimbabwe baada ya vikwazo, serikali ika print pesa kulipa mishahara na kuendesha shughuli zake. Pesa ikadondoka vibaya mno.

although kuna some tricks, but kiukweli ni utapeli tu unaendelea hii dunia, mfano kenya na tanzania tuchapisha noti za kutumika kimuungano upande wa biashara je unadhan pesa yetu itakufa? what about the whole of east africa, Je tutakufa? kuna conditions of which ni very easy to bypass ila so far kinachoendelea ni utapeli
 
although kuna some tricks, but kiukweli ni utapeli tu unaendelea hii dunia, mfano kenya na tanzania tuchapisha noti za kutumika kimuungano upande wa biashara je unadhan pesa yetu itakufa? what about the whole of east africa, Je tutakufa? kuna conditions of which ni very easy to bypass ila so far kinachoendelea ni utapeli
Swali la mtoa mada? Kwanini serikali tusiwe tunaprint pesa kugharamia shughuli za kiserikali na kulipa madeni?
 
Walijitoa kwamba wanaprint pesa kila wanavyojisikia au walijitoaje? Au unamaanisha kujitoa kwa kuacha kutumia dollar kama currency ya kufanyia malipo? Be specific maana hapa tunazungumzia kuprint pesa tu kama alivyouliza mwanzisha thread.

kinachokustop wewe kuprint pesa sio kwamba hauna ruhusu bali ni policy ya federal reserve! sku ukiachana na hii policy jiandae kuwekewa vikwazo vya kiuchumi dunia nzima na utakua maadui wao wakubwa kwa sababu mfano tanzania BOT kuna takriban $40b in usd foreign reserve, hizi pesa unadhan ztaenda wap? ztarudi kwao obvious na zkirudi kwao na watazitumia kama kawaida na hata za nchi zingine dunianin kote usd zote wanazohifadhi mwishowe ztarudi kwao so hata pesa ztakazorudi kwao ni trillions of usd! but do you think the USD will fall?


- nkupe mfano mwingine, tajiri wa kwanza duniani ni jeff bezoes ana utajiri wa $150B, huyu ni mtu mmoja wkati GDP ya tanzania ni $60B kwa mwaka ina maaana yeye ana pesa nyingi kuliko serikali 6 za afrika, huyo ni mtu mmoja jumlisha wote kwenye list pale!
utakuja kuona marekani kuna mtu anamiliki pesa nyingi kuliko uchumi wa nchi sita afrika nzima na bado dola inabaki kua juu, sisi ukiongeza tu 10,000 kwenye mzunguko unaambiwa inflation imeongezeka kwa 4%, uelewe navokwambia uchumi wa dunia unaendeshwa kitapeli sasa
 
Swali la mtoa mada? Kwanini serikali tusiwe tunaprint pesa kugharamia shughuli za kiserikali na kulipa madeni?

Jibu la hili swali sio rahisi sana ukitaka kwenda na wanauchumi wa tanzania sawa, ila kiuhalisia sio kwamba tunshindwa ila tuna kikwazo cha nan tutaexhange nae tsh akaikubali badala ya kuchukua USD! ingekua kuna wtu wanapokea TSH as TSH tungekua tunafanya tu kama marekani tunaprint tunawapa au tunalipia madeni, kikwazo ndo icho, au tunafanya kama china tunachapisha za kutosha tunakopesha serikali zingine ili washindwe kulipa, hichi ndo kikwazo pekee!

-Lakini pia, kibiashara bado hatuna return nzuri ya kuismamisha tanzania kiuchumi kustahimili economy shakes, Atleast these are the major problems for now! wananchi na pia wengi bado wanategemea ajira kama njia za kipato sasa hii sio nzuri kama taifa
 
kinachokustop wewe kuprint pesa sio kwamba hauna ruhusu bali ni policy ya federal reserve! sku ukiachana na hii policy jiandae kuwekewa vikwazo vya kiuchumi dunia nzima na utakua maadui wao wakubwa kwa sababu mfano tanzania BOT kuna takriban $40b in usd foreign reserve, hizi pesa unadhan ztaenda wap? ztarudi kwao obvious na zkirudi kwao na watazitumia kama kawaida na hata za nchi zingine dunianin kote usd zote wanazohifadhi mwishowe ztarudi kwao so hata pesa ztakazorudi kwao ni trillions of usd! but do you think the USD will fall?


- nkupe mfano mwingine, tajiri wa kwanza duniani ni jeff bezoes ana utajiri wa $150B, huyu ni mtu mmoja wkati GDP ya tanzania ni $60B kwa mwaka ina maaana yeye ana pesa nyingi kuliko serikali 6 za afrika, huyo ni mtu mmoja jumlisha wote kwenye list pale!
utakuja kuona marekani kuna mtu anamiliki pesa nyingi kuliko uchumi wa nchi sita afrika nzima na bado dola inabaki kua juu, sisi ukiongeza tu 10,000 kwenye mzunguko unaambiwa inflation imeongezeka kwa 4%, uelewe navokwambia uchumi wa dunia unaendeshwa kitapeli sasa
Kuna jinsi unavyo changanya mambo. Ni haki yao kuwa na pesa hiyo yote kwasababu wanazalisha sana, wanauza nje sana, thamani ya kiwango cha pesa kinakuwa backed na shughuli za kiuchumi. Yani unachobidi uelewe ni kwamba shughuli za kiuchumi za Marekani ni kubwa sana Inauza na kununua kuliko nchi yoyote. Huo utajiri wa Benzos kwenye uchumi wa Marekani ni sawa na utajili wa Bakhresa kwenye uchumi wetu tena ukilinganisha na uchumi wetu Bakhresa anaweza kuwa ana percentage kubwa kwenye uchumi wetu kwa ela aliyo nayo.
Unabidi ulinganishe mambo kwa kutazama shughuli za kiuchumi. Marekani inanuanua kutoka China kuliko nchi zote za Afrika zikijumuishwa. Marekani inauza sana kuliko nchi zote za Afrika zikijumuishwa. Kucompare eti Benzos ana pesa kuliko nchi 6 za Afrika bila kuzingatia hayo mengine ni kupotosha.
 
Jibu la hili swali sio rahisi sana ukitaka kwenda na wanauchumi wa tanzania sawa, ila kiuhalisia sio kwamba tunshindwa ila tuna kikwazo cha nan tutaexhange nae tsh akaikubali badala ya kuchukua USD! ingekua kuna wtu wanapokea TSH as TSH tungekua tunafanya tu kama marekani tunaprint tunawapa au tunalipia madeni, kikwazo ndo icho, au tunafanya kama china tunachapisha za kutosha tunakopesha serikali zingine ili washindwe kulipa, hichi ndo kikwazo pekee!

-Lakini pia, kibiashara bado hatuna return nzuri ya kuismamisha tanzania kiuchumi kustahimili economy shakes, Atleast these are the major problems for now
Ingekuwa hivyo, mbona USA ana deni China mbona hajaprint tu kulilipa hilo deni? Mbona kuna projects alizi damp kwa kukosa funding na nyingine ziko grounded bila kuendelea kwasababu ya funds, kwanini asiprint akazifanya
 
Kuna jinsi unavyo changanya mambo. Ni haki yao kuwa na pesa hiyo yote kwasababu wanazalisha sana, wanauza nje sana, thamani ya kiwango cha pesa kinakuwa backed na shughuli za kiuchumi. Yani unachobidi uelewe ni kwamba shughuli za kiuchumi za Marekani ni kubwa sana Inauza na kununua kuliko nchi yoyote. Huo utajiri wa Benzos kwenye uchumi wa Marekani ni sawa na utajili wa Bakhresa kwenye uchumi wetu tena ukilinganisha na uchumi wetu Bakhresa anaweza kuwa ana percentage kubwa kwenye uchumi wetu kwa ela aliyo nayo.
Unabidi ulinganishe mambo kwa kutazama shughuli za kiuchumi. Marekani inanuanua kutoka China kuliko nchi zote za Afrika zikijumuishwa. Marekani inauza sana kuliko nchi zote za Afrika zikijumuishwa. Kucompare eti Benzos ana pesa kuliko nchi 6 za Afrika bila kuzingatia hayo mengine ni kupotosha.

These are very minor factors, they are very minimum that you can ignore them and nothing isiwe changed at a large scale!
kingine ambacho unapaswa kuelewa ni kwamba, hata ukifanya trade na nchi zote duniani you will only pile up dollars not tsh,

-Tsh is only traded within the country, Whatever you sell outside the country only piles up as USD RESERVES, The only way kuhakikisha unaweza kua na uhuru wa kuchapisha pesa ni kuhakiksha watu wanaichukua tsh as tsh, sio iwe converted to usd! USA wanafanya global trade because unatumia pesa yao, hawana shida na tsh yako, so fanya ufanyaje lazima mwisho wa sku uwangukie. USD in economical term usd inaitwa (FIANT CURRENCY), ikimaanisha ni pesa iliopo basi tu ndo wamarekani wanachotufanyia

- I understand the role of exports katika uchumi wa nchi kwa ujumla ila swali linauliza apa kuhusu kutumia tsh as tsh! na ndo jibu ndo ilo sasa unless tuachane na USD, hope umenielewa!
 
Ingekuwa hivyo, mbona USA ana deni China mbona hajaprint tu kulilipa hilo deni? Mbona kuna projects alizi damp kwa kukosa funding na nyingine ziko grounded bila kuendelea kwasababu ya funds, kwanini asiprint akazifanya
china hawachukui USD wanachukua GOLDS only
 
These are very minor factors, they are very minimum that you can ignore them and nothing isiwe changed at a large scale!
kingine ambacho unapaswa kuelewa ni kwamba, hata ukifanya trade na nchi zote duniani you will only pile up dollars not tsh,

-Tsh is only traded within the country, Whatever you sell outside the country only piles up as USD RESERVES, The only way kuhakikisha unaweza kua na uhuru wa kuchapisha pesa ni kuhakiksha watu wanaichukua tsh as tsh, sio iwe converted to usd! USA wanafanya global trade because unatumia pesa yao, hawana shida na tsh yako, so fanya ufanyaje lazima mwisho wa sku uwangukie. USD in economical term usd inaitwa (FIANT CURRENCY), ikimaanisha ni pesa iliopo basi tu ndo wamarekani wanachotufanyia

- I understand the role of exports katika uchumi wa nchi kwa ujumla ila swali linauliza apa kuhusu kutumia tsh as tsh! na ndo jibu ndo ilo sasa unless tuachane na USD, hope umenielewa!
Kinachofanya ufikie level hizo ni uchumi wako, unazalisha na kuuza kiasi gani. Kama ukiweza kufika level hizo watu wataanza kuiamini pesa yako.
Nimekuuliza, ingekuwa wanaweza kuprint pesa tu wanavyotaka ni kwanini wanaprojects kibao ziko grounded kwa kukosa funding? Tena nyingine ni critical kama military projects. Au unataka nianze kuzitaja?
 
china hawachukui USD wanachukua GOLDS only
1604936239227.png

Na hiyo ni nini? Hao nazo ni gold?
 
Habari wana jamvi?
Natumai mu wazima wa afya.

Leo nina swali ambalo naamini likijibiwa hapa nitakuwa nimefumbuliwa macho ya fikra, pia watu wengi watakuwa wamefumbuliwa.

Swali: Ni vigezo gani huwa vinaangaliwa mpaka serikali inaprintiwa pesa?

Kwa nini wasprint nyingi tukalipa madeni ya nje, tukakamilisha miradi mikubwa ya maendeleo, tukanunua madawa ya hospital na vyote ambavyo tunapungukiwa kama nchi?

Wanauchumi karibuni mtupe a,b,c za hili jambo ili tupate kujifunza.
Nimewai kuwaza hivi nikiwa la tatu B.
Nilikuwa nikimwomba baba hela ya ice-cream shule akiniambia hana hela ,, hilo swali lilikuwa linanijia sana kichwani.
 
Kinachofanya ufikie level hizo ni uchumi wako, unazalisha na kuuza kiasi gani. Kama ukiweza kufika level hizo watu wataanza kuiamini pesa yako.
Nimekuuliza, ingekuwa wanaweza kuprint pesa tu wanavyotaka ni kwanini wanaprojects kibao ziko grounded kwa kukosa funding? Tena nyingine ni critical kama military projects. Au unataka nianze kuzitaja?

sasa wewe tanzania inatumia usd kufanya biashara na wewe, alafu hio usd wewe ndo umeichapisha, nan unamdanganya akili sasa apa? unanipa ela nikae nayo ili baadae uje kuichukua tena?

ofcourse yes USA ina uchumi mkubwa tena sana, lakini uchumi na pesa kua na thamani ni vitu viwili tafauti, mbna Nigeria ndo yenyewe uchumi mkubw afrika nzima lakini 1 NAIRA = 4TSH ina maaana hata kenya pesa yao ni kubwa kuliko NAIRA, lakini kiuchumi nigeria wako mbali mbali sana!
 
Back
Top Bottom