🤦♂️, Wacha nkupe elimu!
Demands and supply ni maelezo ya wanyonge, ndo kama wewe sasa! printing is done everyday, Here is some small info for you
View attachment 1622629
-> Pesa in simple terms tunasema ni imani ya mtumiaji, hkunaga sheria ya pesa! unfortunately watu kama nyie ndo wale hamchambui vitu vizuri mnarukia tu, if printing kills your money, then us dollar ingekua ya kwanza kufa kwa sababu inatumika dunia nzima (240 countries), kuanzia serikali mpaka wananchi wa kawaida thats including the government of the united states itself, so zpo za excess
Also kila sku mmoja The federal reserve wanachapisha noti mpya 24.8million dunia nzima, then why has the us dollar never lost is value? si ndio ipo foreign reserve BOT na dunia nzima?
-> wacha nkuulize swali lingine la ziada, ukichukua mkopo mpesa! unadhan vodacom wanatoa wap hio pesa kukupa?
-> Tafuta elimu usome zaidi achana na elimu za maji taka, ona sasa umebaki na graphs zako