Kwanini BoT wasiprint pesa nyingi ili Serikali ifanyie mambo yake?

Kwanini BoT wasiprint pesa nyingi ili Serikali ifanyie mambo yake?

Habari wana jamvi?
Natumai mu wazima wa afya.

Leo nina swali ambalo naamini likijibiwa hapa nitakuwa nimefumbuliwa macho ya fikra, pia watu wengi watakuwa wamefumbuliwa.

Swali: Ni vigezo gani huwa vinaangaliwa mpaka serikali inaprintiwa pesa?

Kwa nini wasprint nyingi tukalipa madeni ya nje, tukakamilisha miradi mikubwa ya maendeleo, tukanunua madawa ya hospital na vyote ambavyo tunapungukiwa kama nchi?

Wanauchumi karibuni mtupe a,b,c za hili jambo ili tupate kujifunza.
Circulation of money in an economy must equate the volume of goods and services in an economy....so printing of notes and minting of coins while the volume of goods and services is constant may lead to inflation...hivyo kwa mujibu wa hiyo sentensi hapo juu huwezi kuchapa noti na tutengeneze sarafu ikiwa bidhaa na huduma kwenye uchumi hazijaongezeka utasababisha mfumuko wa bei (kupanda kwa bei ya bidhaa na huduma) ...na kwa kauli ya kuchapa hela ili tulipe madeni ya nje nakununua bidhaa kwenye masoko ya kimataifa hiyo haiwezekani...haiwezekani kwa sababu madeni ya nje na biashara za kimataifa hufanywa kwa fedha za kigeni(USD,GBP,EURO,YEN etc)...hizi za kuprintiwa humu ni pesa za kutumika humu humu nchini ndo mana hata wengine huziita pesa za madafu....na ili tupate fedha nyingi za kigeni ni lazima tuongeze uzalishaji wa bidhaa na huduma ili tupeleke nje kwa wingi na tuagize kiasi kidogo kutoka nje(Exports must exceed imports) ili sasa tuwe na favourable balance of trade and payments as well...
 
sasa wewe tanzania inatumia usd kufanya biashara na wewe, alafu hio usd wewe ndo umeichapisha, nan unamdanganya akili sasa apa? unanipa ela nikae nayo ili baadae uje kuichukua tena?

ofcourse yes USA ina uchumi mkubwa tena sana, lakini uchumi na pesa kua na thamani ni vitu viwili tafauti, mbna Nigeria ndo yenyewe uchumi mkubw afrika nzima lakini 1 NAIRA = 4TSH ina maaana hata kenya pesa yao ni kubwa kuliko NAIRA, lakini kiuchumi nigeria wako mbali mbali sana!
Yani unachanganya Madesa sana kuwa na uchumi mkubwa hakumaanishi kuwa ela yako ndo itakuwa na nguvu dunia nzima. Kuwait Dinar 1 sawa na 3.2 USD.
Bado ninakuuliza tena kama wanaweza kuprint pesa kama wanavyotaka kwanini wana military project nyingi ziko grounded kwa kukosa funding? Kwanini wasiprint tu kuzifanya?
 
View attachment 1622920
Na hiyo ni nini? Hao nazo ni gold?

naoba utambue kwamba china walikua watumiaji wa USD before na hii movement haina mda mrefu sana toka uanze but hio reform ikikamilika you will never hear USD in china,
1604937103205.png
 
Yani unachanganya Madesa sana kuwa na uchumi mkubwa hakumaanishi kuwa ela yako ndo itakuwa na nguvu dunia nzima. Kuwait Dinar 1 sawa na 3.2 USD.
Bado ninakuuliza tena kama wanaweza kuprint pesa kama wanavyotaka kwanini wana military project nyingi ziko grounded kwa kukosa funding? Kwanini wasiprint tu kuzifanya?

sas bro unavoniuliza mm izo project mm nahusika vp uko, mm nakuelezea uchumi as uchumi swala la project kua grounded its beyond my explanations, stick to the topic
 
naoba utambue kwamba china walikua watumiaji wa USD before na hii movement haina mda mrefu sana toka uanze but hio reform ikikamilika you will never hear USD in china,
View attachment 1622924
Umesema hawatrade wa dollar bali kwa gold sasa unaamisha magoli? Labda nikueleze, ni kwamba China walikubaliana na nchi nyingine baadhi kuwa wataanza kutrade kwa pesa zao yani foregin currency. Mfano Iran akimpelekea mafta china, china atalipa kwa Yuan, na china akipeleka bidhaa Iran, Iran atamlipa kwa local currency halafu biahsara ikiendela mbeleni watabadilishana hiyo pesa yao. Ila bado China ana reserve ya Dolallar tena ndiye mwenye reserve kubwa.
 
sas bro unavoniuliza mm izo project mm nahusika vp uko, mm nakuelezea uchumi as uchumi swala la project kua grounded its beyond my explanations, stick to the topic
We si umesema wanaprint tu. hizo grounded projects tena military projects ni proof kuwa pesa haiprintiwi ovyo bila kuwa backed na na uzalishaji na demand and supply.
 
Haujamuelewa, amesema tuprint nyingi halafu wapewe mataifa ya nje wanaotudai...... Hilo ndilo swali lake!

Ana assume kuwa ukiprint pesa na kuzipeleka nje then uchumi wa ndani hautaathirika na mfumuko wa bei sababu pesa zitakwenda nje!
Hiyo inaitwa exporting inflation...kiuchumi madhara yake yatakurudia tu
 
We si umesema wanaprint tu. hizo grounded projects tena military projects ni proof kuwa pesa haiprintiwi ovyo bila kuwa backed na na uzalishaji na demand and supply.
We si umesema wanaprint tu. hizo grounded projects tena military projects ni proof kuwa pesa haiprintiwi ovyo bila kuwa backed na na uzalishaji na demand and supply.


i will begin to skip you kwa sababu ushaanza story za vijiwe, what does this have to do with the strength of a currency? sasa wewe unaniuliza failed projects do i look like i am the president of the united states? Stick to the topic story za sjui project gan imefail ama flan imefanyika that not currency, do you know whats a FIANT CURRENCY?
 
Kwa nilivyoelewa hata Marekani kuwa nchi tajiri it means yeye mwenyewe ana akiba kubwa ya pesa za kigeni(foreign currency)kwasababu anaexport Sana kuliko kuimport
Halafu marekani sio nchi ya kwanza tajiri duniani...nahisi ni ya 4 ya kwanza ni qatar
 
i will begin to skip you kwa sababu ushaanza story za vijiwe, what does this have to do with the strength of a currency? sasa wewe unaniuliza failed projects do i look like i am the president of the united states? Stick to the topic story za sjui project gan imefail ama flan imefanyika that not currency, do you know whats a FIANT CURRENCY?
Failed projects kwa kukosa fund. Yes iko related na kuprint currency maana hata aliyeuliza kauliza kwanini tusiprint pesa kulipa madeni. Kufail kwa kukosa pesa ambayo uandai inaweza kuwa printed na USA jinsi watakavyo, basi kama ingekuwa hivyo wange print kuzifund hizo critical projects zilizofail kwa kukosa pesa.

Ukitaka kujua pesa haiprintiwi ovyo, India pesa yao wanaiprint wenyewe, lakini wana lindi la umaskini. Viwanda vya kuprint pesa viko nchini mwao lakini hawaprint pesa hovyo hovyo. Pesa ina printiwa kutokana na shughuli za kiuchumi na demand yake otherwise ukiprint pesa wakati hakuna shughuli za kiuchumi zinazo idemand, basi subiri mfuko mkubwa utakaopeleka uchumi wa nchi kiblah.
kwanza haitwi fiant currency ni fiat currency.
 
Failed projects kwa kukosa fund. Yes iko related na kuprint currency maana hata aliyeuliza kauliza kwanini tusiprint pesa kulipa madeni. Kufail kwa kukosa pesa ambayo uandai inaweza kuwa printed na USA jinsi watakavyo, basi kama ingekuwa hivyo wange print kuzifund hizo critical projects zilizofail kwa kukosa pesa.

Ukitaka kujua pesa haiprintiwi ovyo, India pesa yao wanaiprint wenyewe, lakini wana lindi la umaskini. Viwanda vya kuprint pesa viko nchini mwao lakini hawaprint pesa hovyo hovyo. Pesa ina printiwa kutokana na shughuli za kiuchumi na demand yake otherwise ukiprint pesa wakati hakuna shughuli za kiuchumi zinazo idemand, basi subiri mfuko mkubwa utakaopeleka uchumi wa nchi kiblah.
kwanza haitwi fiant currency ni fiat currency.

Kwanza unajua nan anaprint pesa ya marekani?
 
Rejea swali mzee, ni vigezo gani huwa vinaangaliwa vinavyopelekea serikali iprint pesa?
Tunashukuru umetupa athari za kuprint pesa bila kufuata utaratibu.
Nadhani kajibu kama kichwa cha habari kinavyouliza
 
Failed projects kwa kukosa fund. Yes iko related na kuprint currency maana hata aliyeuliza kauliza kwanini tusiprint pesa kulipa madeni. Kufail kwa kukosa pesa ambayo uandai inaweza kuwa printed na USA jinsi watakavyo, basi kama ingekuwa hivyo wange print kuzifund hizo critical projects zilizofail kwa kukosa pesa.

Ukitaka kujua pesa haiprintiwi ovyo, India pesa yao wanaiprint wenyewe, lakini wana lindi la umaskini. Viwanda vya kuprint pesa viko nchini mwao lakini hawaprint pesa hovyo hovyo. Pesa ina printiwa kutokana na shughuli za kiuchumi na demand yake otherwise ukiprint pesa wakati hakuna shughuli za kiuchumi zinazo idemand, basi subiri mfuko mkubwa utakaopeleka uchumi wa nchi kiblah.
kwanza haitwi fiant currency ni fiat currency.

anyway wacha nkupe jibu la kukuweka on track, pes ya marekani haiprintiwi na serikali ya marekani, inaprintiwa na shirika binafsi linaitwa THE FEDERAL RESERVE, serikali ya marekani inafuata masharti yatolewayo na hili shirika na si vinginevyo ingawa skupenda tuanze story za ushindani ila kaa ukijua hili
 
Kwanza unajua nan anaprint pesa ya marekani?
Ni Bureau of Engraving and Printing. Halafu kwa taarifa yako karibu pesa zote ni fiat money, haziko backed na vitu kama gold and silver. Kuna pesa moja tena nayo ni cryptocurrency ya waarabu jina ndo limenitoka ila ikianza itakuwa backed na reserved gold.
 
anyway wacha nkupe jibu la kukuweka on track, pes ya marekani haiprintiwi na serikali ya marekani, inaprintiwa na shirika binafsi linaitwa THE FEDERAL RESERVE, serikali ya marekani inafuata masharti yatolewayo na hili shirika na si vinginevyo ingawa skupenda tuanze story za ushindani ila kaa ukijua hili
Mkuu unasoma consipiracy theory federal reserve haiprint pesa ya marekani na siyo shirika binafsi ila central bank ya USA. Unasoma sana conspiracy theories.
 
Ni Bureau of Engraving and Printing. Halafu kwa taarifa yako karibu pesa zote ni fiat money, haziko backed na vitu kama gold and silver. Kuna pesa moja tena nayo ni cryptocurrency ya waarabu jina ndo limenitoka ila ikianza itakuwa backed na reserved gold.

next time uache siasa uchwara
anyway wacha nkupe jibu la kukuweka on track, pes ya marekani haiprintiwi na serikali ya marekani, inaprintiwa na shirika binafsi linaitwa THE FEDERAL RESERVE, serikali ya marekani inafuata masharti yatolewayo na hili shirika na si vinginevyo ingawa skupenda tuanze story za ushindani ila kaa ukijua hili

- kuongezea apo, naona sjui umesoma wap ila pesa karibia zote za duniani zko backed with USD and USD is backed by nothing na ndo utapeli wenyewe sasa nnaokuelezea
 
Ni Bureau of Engraving and Printing. Halafu kwa taarifa yako karibu pesa zote ni fiat money, haziko backed na vitu kama gold and silver. Kuna pesa moja tena nayo ni cryptocurrency ya waarabu jina ndo limenitoka ila ikianza itakuwa backed na reserved gold.

ivi unajua USA kuna two different types of notes znazunguka?
 
next time uache siasa uchwara


- kuongezea apo, naona sjui umesoma wap ila pesa karibia zote za duniani zko backed with USD and USD is backed by nothing na ndo utapeli wenyewe sasa nnaokuelezea
Unaona sasa yan unasomavitu huelewi, federal reserve haiprint pesa, bali anaye print pesa ni Bureau of Engraving and Printing iko chini ya U.S Department of Treasury. We jamaa mbishi sana
Federal Reserve ni Central Banking system of America. Wao ndiyo wana issue iprintiwe kiasi gani na kiasi gani iingie kwenye mzunguko.

Fiat man haiko backed na commodity kama gold and silver, iko backed na shughuli za kiuchumi. Yani unasoma vitu huelewi unahisi umeelewa.
 
ivi unajua USA kuna two different types of notes znazunguka?
Hilo llinajulikana na pesa ya USA in Expire, Sasa la kuwepo original notes kwenye mzunguko linahusiana vipi na hii hoja?
 
Back
Top Bottom