Kwanini BoT wasiprint pesa nyingi ili Serikali ifanyie mambo yake?

Kwanini BoT wasiprint pesa nyingi ili Serikali ifanyie mambo yake?

Wakikileta huku, yes tutakuwa na reserve kubwa ya dollar tunaweza kununua sana tu kutoka nje.
Tukinunua sana kutoka nje hiyo si ndo importation? Na umesema ili uchumi upae ni lazma export iwe kubwa kuliko import.
 
Tukinunua sana kutoka nje hiyo si ndo importation? Na umesema ili uchumi upae ni lazma export iwe kubwa kuliko import.
Export ikiwa kubwa kuliko importation ina maana tunapata pesa nyingi ya kingeni, tukiwa na pesa nyingi ya kigeni ina maana tunaweza nunua vitu vingi ambavyo hatuzalishi, kama technology, bidhaa kama machine kubwa, hatutahitaji mikopo kufanya hivyo. Na tukiwa na pesa ya kigeni nyingi shilling ina stabilize maana tuna reserve nyingi inatosheleza demand so lazima exchange ishuke shillingi ikae poa.
 
Namimi naongezea swali, kuhusu foreign currency reserve, je ikitokea Tanzania imetuma majambazi sugu US, wakaenda kuiba dollar za kutosha kwa ajili ya reserve ya TZ.

Uchumi utaimarika assuming other factors remain constant, nikimaanisha hizo dollar hazijawa blacklisted maana inawezekana kuzitangaza ni batili kwa taifa la us, tufanye haya yote hayapo ila mzigo wa dollar za kimarekani umejazwa kwenye makontena ya kutosha yakaja tupwa BOT, wajuvi je tanzania itakua vizuri kwa kipindi hicho?
Bangi haijawahi kumuacha mtu salama
 
The internet is full of things, ni akili yako kuchambua kipi kweli kipi uongo. Unaweza mezeshwa mashudu na ukayaamini kabisa kuwa ni sawa. Kuna mambo mengi hasa kwenye vitabu Author anakuaminisha kitu. Same kama watu walivyoamini story ya Da Vinci Code

Man you always sound childish sjui kwann! so where did davinci story come from?
 
Man you always sound childish sjui kwann! so where did davinci story come from?
That is to tell you kwamba siyo kila kitabu kinabeba ukweli wala kinaweza kuwa reliable. Conspiracy inauza sana na Authors wanapenda kuandika conspiracy.
 
TOR, mkuu unaongelea mambo ambayo nayajua toka 2012. Dark web, yani hakuna unaloongea ambalo sijawahi cheza nalo ndiyo maana unisikitisha. Na siyo lazima kutumia TOR kuingia dark web.

i just asked sio maelezo, so according to there page here is what they say about the fed
1604942836960.png


of which sio kweli because the founders of the fed sio serikali:

1604943150431.png


Wengine siwakumbuki mpaka niptie kile kitbu tena! Hili ni tatizo la kutoshirikisha ubungo unachosoma hufanyi reserch vizuri, una swali mpaka apo?
 
That is to tell you kwamba siyo kila kitabu kinabeba ukweli wala kinaweza kuwa reliable. Conspiracy inauza sana na Authors wanapenda kuandika conspiracy.

Thats your problem!
 
i just asked sio maelezo, so according to there page here is what they say about the fed
View attachment 1622978

of which sio kweli because the founders of the fed sio serikali:

View attachment 1622980

Wengine siwakumbuki mpaka niptie kile kitbu tena! Hili ni tatizo la kutoshirikisha ubungo unachosoma hufanyi reserch vizuri, una swali mpaka apo?
Uwa unashiriki mijadala ya Quora? Kama ndiyo ebu pitia hii link maana ni kitu ambacho kinajadiliwa sana labda utapata moja mbili tatu. Why do people think that the Federal Reserve was created by the Rothschilds and the Rockefellers? - Quora hata hiyo reference ya kitabu chako kuna mtu kaitaja.
 
Soma kitabu kinaitwa creature from jerky island, kuna historia nzuri sana ya money na banking system humo, na maswali yenu mengi yamejibiwa humo

Sent from my Infinix Zero 4 using JamiiForums mobile app
 
i just asked sio maelezo, so according to there page here is what they say about the fed
View attachment 1622978

of which sio kweli because the founders of the fed sio serikali:

View attachment 1622980
Mkuu kasome link niliyokupa utaelewa hii conspiracy imetoka wapi. Kila kitu kina founder, hata USA ina founding fathers, usije sema nao ndiyo wamiliki wa nchi ya USA kama kwako neno founders lina maana hiyo tu kwako.
i can also comment on quora so whats the big deal?
Siyo kucomment angalia mtu alivyo elaborate ilikuaje mpaka hiyo bill ikawa pushed. Conspiracy ilitoka wapi watu wamekupa mtililiko. Ila najua ni ngumu mtu aliyekalili conspiracy kumbadilisha mawazo yake. Tuishie hapa.
 
Mkuu kasome link niliyokupa utaelewa hii conspiracy imetoka wapi. Kila kitu kina founder, hata USA ina founding fathers, usije sema nao ndiyo wamiliki wa nchi ya USA kama kwako neno founders lina maana hiyo tu kwako.

Siyo kucomment angalia mtu alivyo elaborate ilikuaje mpaka hiyo bill ikawa pushed. Conspiracy ilitoka wapi watu wamekupa mtililiko. Ila najua ni ngumu mtu aliyekalili conspiracy kumbadilisha mawazo yake. Tuishie hapa.

sasa dogo, mm sina itikadi za kuanza kubishana i know what i am talking and my point was disapprove your ideas! my field ni economics, kama unataka kubishana nenda kabishane nao!
 
cha muhimu ni founders, wengine siwakumbuki but the big point ni kwamba its privately owned
Founders wa wazo la kuanzisha federal reserve ni Rothschild grandfather, na alilitoa Germany jinsi mfumo wao wa kibank ulivyokuwa unafanya kazi, akalipeleka Marekani bado wakalikataa, akaona labda amfuate Rockfeller ambaye kwa kipindi hicho alikuwa tajiri sana atumie influence yake kuishawishi serikali ipitishe bill, bado ikagongwa mwamba mpaka walipoingia Democratics, wakapitisha bill ya kuanzisha federal reserve kama central bank ya America na siyo kampuni binafsi kama unavyotaka kuamini wewe.
 
aisee dogo mm sio mtu wa articles, economics ndo my field karibia 8 years saaahv, i know what i am talking about!
najua scams za hii dunia za kutosha tu, mambo yako wide open kwenye maisha ya kawaida mtu yoyote anaejua uchumi vizuri na anasoma vitabu vingi its easy to spot the lie, hutaki ilo ni juu yako sasa, thats a real word example nmekupa! and yes federal reserve is private owned, do you even know who are the founders?
wewe si ulisema uliacha shule form3 baada ya kusoma hizo conspiracies??sasa field ya uchumi umeingiaje tena
 
Mkuu vitu vikipanda bei si bado hela nayo itakuwa nyingi mtaani kwahiyo suala la mfumuko linakuwa halina mashiko tena.

Mfumuko wa bei nijuavyo ni pale bidhaa zinakuwa bei juu halafu mzunguko wa hela mdogo.

Mfano mfuko wa cement 35,000 lakini mzunguko wa hela mdogo.

Sasa hela ikiwa nyingi mtaani hata huo mfuko wa cement ukiuzwa 50,000 si bado watu watakuwa na uwezo wakununua!!!
Jinsi hela inavyozidi kuongezeka bila uzalishaji kuongezeka, ndivyo mfumuko wa bei nao unavyozidi.

Kwa mfano, ukisema uongeze hela katika uchumi ili watu waweze kununua simenti ya sh 35,000/=kwa mfuko, bila kuongeza uzalishaji wa simenti, kitakachotokeq ni kwamba kila mtu qtamudu kununua simenti kwa sh 35,000/=.

Simenti haitaongezeka, lakini hela zitaongezeka.

Matokeo yake kuna watu watamudu kununua simenti kwa 70,000/=, bei ya simenti itapanda nankuwa 70,000/=.

Wauzaji wakinua watu wananunua simwnti kwa 70,000/=, wanaweza kupandisha zaidi simenti ifike 100,000/= kwa mfuko.

Na hapo hapo watu wengine watamudu kununua simenti kwa 100,000/= kwa mfuko.

Bei itaendelea kupanda na kupanda mpaka simwnti ifike sh milioni moja kwa mfuko.

Halafu, ukijaza pesa kila mtu, hakuna atakayetaka kwenda kuhangaika kwenye mavumbi kiwanda cha simenti.

Matokeo yake uzalishaji utasimama.

Na hata ukiwa na sh milioni kumi hutapata mfuko wa simenti.

Hapo utaona kwamba, bila kuongeza uzalishaji, kuongeza hela tu katika mfumo hakusaidii kitu, kutashusha thamani ya fedha bila kuongeza tija yoyote katika uchumi.

Idi Amin alijaribu kutatua matatizo ya uchumi ya Uganda kwa kumuamrisha Waziri wa Fedha wa Uganda kuchapisha fedha zaidi.

Kilichotokea ni kwamba shilingi ya Uganda ilianguka thamani vibaya sana, mpaka leo haijarudi ilipokuwa kabla ya Idi Amin.

 
Ukiprint hela nyingi:
1. Utasababisha mfumuko wa bei.
2. Pesa yako itapungua thamani.
3. Dunia itapoteza imani na pesa yako.
4. Utakuwa umefanikiwa kuua uchumi wa nchi yako.

Zimbabwe walijaribu hii kitu.
View attachment 1622051
Unaweka mechanism ya kuzitoa katika mzunguko pindi kazi inapoisha
 
Back
Top Bottom