dudus
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 23,782
- 54,213
Is it? But kipindi hiko Ukraine ikiwa under USSR. Baada ya muungano kuvunjika 1991 mradi ulirudi Russia.Ni ya UKRAINE 🇺🇦 MKUU
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Is it? But kipindi hiko Ukraine ikiwa under USSR. Baada ya muungano kuvunjika 1991 mradi ulirudi Russia.Ni ya UKRAINE 🇺🇦 MKUU
Kutengeneza ndege sio rahisi kama kutengeneza kachori kwamba kila nchi inaweza. Vilaza wengine kama wachina na watz mtabaki kuwa wanunuzi tu.Is it? But kipindi hiko Ukraine ikiwa under USSR. Baada ya muungano kuvunjika 1991 mradi ulirudi Russia.
Sijakuelewa! Kwamba Russia ni vilaza kutengeneza ndege kwao ni mtihani?Kutengeneza ndege sio rahisi kama kutengeneza kachori kwamba kila nchi inaweza. Vilaza wengine kama wachina na watz mtabaki kuwa wanunuzi tu.
Nimeishia hapa,,,Mataifa kama Japan, Korea, Russia, UK tulitegemea wangekuwa wanatengeneza ndege lakini wapi
Makalio kweli wewe.Kutengeneza ndege sio rahisi kama kutengeneza kachori kwamba kila nchi inaweza. Vilaza wengine kama wachina na watz mtabaki kuwa wanunuzi tu.
Kuliwa makalio ndicho kitu mnakiweza, vilaza wa mwisho nyinyi.Makalio kweli wewe.
Enzi hizo tunaambiana kuwa Concord haitui nchini kwani Sauti yake nyumba zitabomoka nyingi sana.. Lile Dude lilikuwa na Sauti kubwa hatari japo lipo hewani mbali tena juu mnoWhy did Concorde Stop...; Concorde flights came to a screeching halt after only 27 years of operation on October 24, 2003. The reason? Excessive cost, high fares, and loud noise.
Kwahio mleta mada issue sio ujuzi tu wa kutengeneza bali ni faida au hasara ya unachotengeneza
Kwamba russia hana hiyo tech? Utakuwa umejiridhisha kweli kabla ya kufungua uzi??Technology ya ndege ni ngumu Sana. Mataifa mengi duniani Yameshindwa kuunda ndege.
Mataifa kama Japan, Korea, Russia, UK tulitegemea wangekuwa wanatengeneza ndege lakini wapi
Cha ajabu Brazil wanatengeneza ndege za embrear. Hii ikoje. Kwanini Wamefanikiwa kuunda ndege zao from the scratch
View attachment 3156150
Ilyushin Il-96 ni ndege ya mwisho ya Soviet Union.ndege anayotumia rais putin umeitengeneza wewe?
Ilyushin Il-96 ( Kirusi : Илью́шин Ил-96 ) ni ndege ya Urusi yenye injini nne ya masafa marefu iliyoundwa na Ilyushin katika uliokuwa Umoja wa Kisovieti na kutengenezwa na Shirika la Uzalishaji wa Ndege la Voronezh nchini Urusi . Inaendeshwa na injini nne za juu-bypass Aviadvigatel PS-90 mbili-shaft turbofan .
Umepagawa wewe.Kuliwa makalio ndicho kitu mnakiweza, vilaza wa mwisho nyinyi.
Antonov mwenyewe alikuwa ni mrusi siyo raia wa Ukraine.Ni ya UKRAINE 🇺🇦 MKUU
Antonov ni ya Russia sio Ukraine. Kiwanda kilihamishiwa Ukraine toka Russia wakati wa Soviet. Na Antonov alikuwa russian kama ilivyo kwa Sukhoi(Su) na Mikoyan(Mig) wote ni warusi.Ni ya UKRAINE 🇺🇦 MKUU
Wewe ni mjuaji umeandika pumba jikite kny uziAliyekwambia Teknolojia ni ngumu ni nani ?
Kuna mambo mengine hayana comperative advantage yoyote, utengeneze ndege mbili au Tatu bila soko kubwa la kuuza unadhani kuna faida hapo ?
Na unadhani assembling ndio kutengeneza unaweza ukawa unafanya assembling lakini anayetengeneza vioo tu nchi nyingine akawa ana profit margin kubwa kuliko wewe unayejiita unatengeneza (Tena huenda ukapata hasara lakini Kodi za wananchi zikawa zinakusaidia uendelee kufanya kazi kwa hofu ya kupoteza ajira)
China anatengeneza ndegeKutengeneza ndege sio rahisi kama kutengeneza kachori kwamba kila nchi inaweza. Vilaza wengine kama wachina na watz mtabaki kuwa wanunuzi tu.
Zwazwa huyo atajulia wapi!?China anatengeneza ndege
Nimemshangaa sana kuandika kitu ambacho hana taarifa za kutosha.Zwazwa huyo atajulia wapi!?
Wewe hapa ndio umejikita kwenye Uzi ? Au huu Uzi unaongelea Ujuaji wangu ?Wewe ni mjuaji umeandika pumba jikite kny uzi