Checheto
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 836
- 694
HOvyooooWewe hapa ndio umejikita kwenye Uzi ? Au huu Uzi unaongelea Ujuaji wangu ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HOvyooooWewe hapa ndio umejikita kwenye Uzi ? Au huu Uzi unaongelea Ujuaji wangu ?
China vilaza duh!!Kutengeneza ndege sio rahisi kama kutengeneza kachori kwamba kila nchi inaweza. Vilaza wengine kama wachina na watz mtabaki kuwa wanunuzi tu.
Mbuzi si nyama pendwa Mkuu,nyama choma ya mbuzi siyo powa.Du, tushakuwa mbuzi tena. Hekima bwana
Hata na mm nimeishia hapa rushia rushia rushia du hatengeneź ndg ama kwelii mtt kautaka hongera techn ya shem kuichukua na kupostNimeishia hapa,,,
Umeandika utumbo na muharoooo
naChina vilaza duh!!
Pole sana kwa kuumizwa makalio. Jitahidi kupakwa mafuta.Umepagawa wewe.
Kimetajwa kiungo umekimbilia uasherati.
Doooh pole sana.
Western media propagandas zimeharibu sana kizazi Cha 2000sWatoto wa 2000 mna shida sana, Russia huwa mnaichukuliaje?
Shule zinafungwalikizo zimeanza, tutaona kila rangi humu JF sasa,...
Nimekusamehe maana huwezi ukamuadhibu kichaa.Pole sana kwa kuumizwa makalio. Jitahidi kupakwa mafuta.
Ndugu mimi najuwa Russia, Japan, China wanatengeneza Vijindege. Point yangu ilikuwa kwanini anga la dunia limetawaliwa na Airbus, Boeing, embrear. Kwanini wa Brazil Wamefanikiwa kutengeneza na kuwin soko la dunia. Kwanini Russia, Japan, Korea Wameshindwa???Nadhani ndugu ward41 umeshajifunza kitu hapa kutokana na mada yako. Ushauri wa bure: Jitahidi sana kufanya utafiti kabla hujaleta mada hapa jukwaani- hasa mada za kitaalamu kama hii yako. Tena sasa hivi ni rahisi sana. Vitu vingi taarifa zake zinapatikana kwenye mitandao.
Soko kutawaliwa na airbus, boeing nk hayo ni mambo ya biashara sio uwezo wa teknolojia.Ndugu mimi najuwa Russia, Japan, China wanatengeneza Vijindege. Point yangu ilikuwa kwanini anga la dunia limetawaliwa na Airbus, Boeing, embrear. Kwanini wa Brazil Wamefanikiwa kutengeneza na kuwin soko la dunia. Kwanini Russia, Japan, Korea Wameshindwa???
Meeeeeeeeee!Du, tushakuwa mbuzi tena. Hekima bwana
Pole sanaNimekusamehe maana huwezi ukamuadhibu kichaa.
Vichaa ni watu wa kusamehewa.
Urusi anatengeneza ndege za abiria soma Kwanza ndio u postTechnology ya ndege ni ngumu Sana. Mataifa mengi duniani Yameshindwa kuunda ndege.
Mataifa kama Japan, Korea, Russia, UK tulitegemea wangekuwa wanatengeneza ndege lakini wapi
Cha ajabu Brazil wanatengeneza ndege za embrear. Hii ikoje. Kwanini Wamefanikiwa kuunda ndege zao from the scratch
View attachment 3156150