Pre GE2025 Kwanini CCM inalazimisha kuingiza Jeshi la Tanzania (JWTZ) kwenye Siasa? Je, inalipa? Chonde Chonde Rais Samia

Pre GE2025 Kwanini CCM inalazimisha kuingiza Jeshi la Tanzania (JWTZ) kwenye Siasa? Je, inalipa? Chonde Chonde Rais Samia

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Salaam

Sijapenda Style ya CCM kuiga siasa za Afrika Magharibi za kuwatumia Wanajeshi kwenye Siasa. Wanataka kutuharibia nchi.
View attachment 2870873
Nakubali Mwenyekiti wa CCM ni Amri Jeshi Mkuu, ila Kutumia Jeshi kuwaziba Wapinzani wake wa Kisiasa si sahihi.

Wawatumie Polisi kuzuia maandamano na Shughuli za Siasa. Lakini kuwatumia Wanajeshi ni kuwaonea.
View attachment 2870872
Hii itafanya Jeshi lijue Tanzania mambo yanaenda ovyo ovyo.

Je, Jeshi likifanya kazi Ovyo ovyo Samia atasalimika?

Tuwaache Jeshi letu la Wananchi lilinde mipaka yetu.
View attachment 2870871
Ni aibu kwa Serikali kuu kutumia Jeshi kuzima Siasa za chama Pinzani cha CCM.

UJINGA NI KUFIKIRI WANAJESHI WOTE NI CCM.

JESHI LA ULINZI LA WANANCHI WA TANZANIA HAWAJAFUNDISHWA SIASA. NI KWELI NI WATII NA WATATII MTAKACHOWAAMBIA LAKINI UTII WAO MSIUCHUKULIE KAMA NI WAOGA AU HAWANA UWEZO WAKIFANYA CHOCHOTE.
View attachment 2870867
Majukumu ya Msingi ya JWTZ

1. Kulinda Katiba na Uhuru wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

2. Ulinzi wa Mipaka ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

3. Kufanya Mafunzo na Mazoezi ili kujiweka tayari Kivita wakati wote.
View attachment 2870865
4. Kufundisha umma shughuli za Ulinzi wa Taifa.

5. Kushirikiana na Mamlaka za Kiraia katika kutoa misaada ya kibinadamu na uokoajiwakati wa maafa.
View attachment 2870869
6. Kukuza elimu ya kujitegemea na uzalishaji kupitia Jeshi la Kujenga Taifa (JKT).
View attachment 2870868
7. Kushiriki katika shughuli za Ulinzi wa Amani Kimataifa.
View attachment 2870866
Nawaomba Kamandi ya Vikosi chini ya Makao Makuu ya Jeshi (Kamandi ya MMJ), Kamandi ya Nchi Kavu, Kamandi ya Anga, Kamandi ya Wanamaji, Jeshi la Kujenga Taifa, Kamandi ya Jeshi la Akiba. Msiingize watoto wetu kwenye huu Mchezo mchafu wa Uroho wa madaraka. Wanajeshi wamefundishwa Bunduki na Silaha za Kivita sio kuhangaika na Demokrasia ndani ya Nchi.

Asante

Nawaomba Wakubwa wa Komandi Mchukue mfanye kitu kwaajili ya wananchi sio wanasiasa. Sijawakataza kutomtii Amri Jeshi Mkuu ila wahusika wamshauri Huyu Mwenyekiti wa CCM
View attachment 2870870
ONYO: WATANZANIA TUHESHIMU NA KUENDELEA KULIAMINI JESHI LA ULINZI LA WANANCHI WA TANZANIA
Nadhani bado kuna watu wenye hekima wamebaki watamsaidia Rais kumwambia kuwa huko nchi inakoelekezwa Jeshi kuingilia michakato ya amani ya kisiasa siyo sehemu ya utawala bora. Orodha ya madudu ya kiutawala inazidi kuongezeka. Historia itawahukumu mkiwa bado hai!
 
Ni jambo jema wakafanye usafi
Wanakaa tu makambini na kulishwa na kuvishwa kwa kodi zet huku wakitutisha kuwa wanatulinda na uvamizi wakati walituabisha huko Mozambique
 
Salaam

Sijapenda Style ya CCM kuiga siasa za Afrika Magharibi za kuwatumia Wanajeshi kwenye Siasa. Wanataka kutuharibia nchi.
View attachment 2870873
Nakubali Mwenyekiti wa CCM ni Amri Jeshi Mkuu, ila Kutumia Jeshi kuwaziba Wapinzani wake wa Kisiasa si sahihi.

Wawatumie Polisi kuzuia maandamano na Shughuli za Siasa. Lakini kuwatumia Wanajeshi ni kuwaonea.
View attachment 2870872
Hii itafanya Jeshi lijue Tanzania mambo yanaenda ovyo ovyo.

Je, Jeshi likifanya kazi Ovyo ovyo Samia atasalimika?

Tuwaache Jeshi letu la Wananchi lilinde mipaka yetu.
View attachment 2870871
Ni aibu kwa Serikali kuu kutumia Jeshi kuzima Siasa za chama Pinzani cha CCM.

UJINGA NI KUFIKIRI WANAJESHI WOTE NI CCM.

JESHI LA ULINZI LA WANANCHI WA TANZANIA HAWAJAFUNDISHWA SIASA. NI KWELI NI WATII NA WATATII MTAKACHOWAAMBIA LAKINI UTII WAO MSIUCHUKULIE KAMA NI WAOGA AU HAWANA UWEZO WAKIFANYA CHOCHOTE.
View attachment 2870867
Majukumu ya Msingi ya JWTZ

1. Kulinda Katiba na Uhuru wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

2. Ulinzi wa Mipaka ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

3. Kufanya Mafunzo na Mazoezi ili kujiweka tayari Kivita wakati wote.
View attachment 2870865
4. Kufundisha umma shughuli za Ulinzi wa Taifa.

5. Kushirikiana na Mamlaka za Kiraia katika kutoa misaada ya kibinadamu na uokoajiwakati wa maafa.
View attachment 2870869
6. Kukuza elimu ya kujitegemea na uzalishaji kupitia Jeshi la Kujenga Taifa (JKT).
View attachment 2870868
7. Kushiriki katika shughuli za Ulinzi wa Amani Kimataifa.
View attachment 2870866
Nawaomba Kamandi ya Vikosi chini ya Makao Makuu ya Jeshi (Kamandi ya MMJ), Kamandi ya Nchi Kavu, Kamandi ya Anga, Kamandi ya Wanamaji, Jeshi la Kujenga Taifa, Kamandi ya Jeshi la Akiba. Msiingize watoto wetu kwenye huu Mchezo mchafu wa Uroho wa madaraka. Wanajeshi wamefundishwa Bunduki na Silaha za Kivita sio kuhangaika na Demokrasia ndani ya Nchi.

Asante

Nawaomba Wakubwa wa Komandi Mchukue mfanye kitu kwaajili ya wananchi sio wanasiasa. Sijawakataza kutomtii Amri Jeshi Mkuu ila wahusika wamshauri Huyu Mwenyekiti wa CCM
View attachment 2870870
ONYO: WATANZANIA TUHESHIMU NA KUENDELEA KULIAMINI JESHI LA ULINZI LA WANANCHI WA TANZANIA
Ni dharau tu za watawala kwa Jeshi letu.
Baada ya kuona wameshawashika masikio sasa wamewatoa kwenye majukumu yao ya Ulinzi wa nchi na kuona wanafaa kutumika kwenda kufagia barabara kama Budege ili kupamnana na Mbowe.
Yaani yale maonyesho yote ya kuvunja matofali kwa vichwa, kuruka na kutua kwa helcopter wanaishia kubebeshwa mafagio wakapambane na Mbowe na CHADEMA?
 
Ni dharau tu za watawala kwa Jeshi letu.
Baada ya kuona wameshawashika masikio sasa wamewatoa kwenye majukumu yao ya Ulinzi wa nchi na kuona wanafaa kutumika kwenda kufagia barabara kama Budege ili kupamnana na Mbowe.
Yaani yale maonyesho yote ya kuvunja matofali kwa vichwa, kuruka na kutua kwa helcopter wanaishia kubebeshwa mafagio wakapambane na Mbowe na CHADEMA?
Inasikitisha sana kwa hii Misuse of power inayofanywa na CCM.

Kiukweli leo Ccm wameniudhi sana.
 
Salaam

Sijapenda Style ya CCM kuiga siasa za Afrika Magharibi za kuwatumia Wanajeshi kwenye Siasa. Wanataka kutuharibia nchi.
View attachment 2870873
Nakubali Mwenyekiti wa CCM ni Amri Jeshi Mkuu, ila Kutumia Jeshi kuwaziba Wapinzani wake wa Kisiasa si sahihi.

Wawatumie Polisi kuzuia maandamano na Shughuli za Siasa. Lakini kuwatumia Wanajeshi ni kuwaonea.
View attachment 2870872
Hii itafanya Jeshi lijue Tanzania mambo yanaenda ovyo ovyo.

Je, Jeshi likifanya kazi Ovyo ovyo Samia atasalimika?

Tuwaache Jeshi letu la Wananchi lilinde mipaka yetu.
View attachment 2870871
Ni aibu kwa Serikali kuu kutumia Jeshi kuzima Siasa za chama Pinzani cha CCM.

UJINGA NI KUFIKIRI WANAJESHI WOTE NI CCM.

JESHI LA ULINZI LA WANANCHI WA TANZANIA HAWAJAFUNDISHWA SIASA. NI KWELI NI WATII NA WATATII MTAKACHOWAAMBIA LAKINI UTII WAO MSIUCHUKULIE KAMA NI WAOGA AU HAWANA UWEZO WAKIFANYA CHOCHOTE.
View attachment 2870867
Majukumu ya Msingi ya JWTZ

1. Kulinda Katiba na Uhuru wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

2. Ulinzi wa Mipaka ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

3. Kufanya Mafunzo na Mazoezi ili kujiweka tayari Kivita wakati wote.
View attachment 2870865
4. Kufundisha umma shughuli za Ulinzi wa Taifa.

5. Kushirikiana na Mamlaka za Kiraia katika kutoa misaada ya kibinadamu na uokoajiwakati wa maafa.
View attachment 2870869
6. Kukuza elimu ya kujitegemea na uzalishaji kupitia Jeshi la Kujenga Taifa (JKT).
View attachment 2870868
7. Kushiriki katika shughuli za Ulinzi wa Amani Kimataifa.
View attachment 2870866
Nawaomba Kamandi ya Vikosi chini ya Makao Makuu ya Jeshi (Kamandi ya MMJ), Kamandi ya Nchi Kavu, Kamandi ya Anga, Kamandi ya Wanamaji, Jeshi la Kujenga Taifa, Kamandi ya Jeshi la Akiba. Msiingize watoto wetu kwenye huu Mchezo mchafu wa Uroho wa madaraka. Wanajeshi wamefundishwa Bunduki na Silaha za Kivita sio kuhangaika na Demokrasia ndani ya Nchi.

Asante

Nawaomba Wakubwa wa Komandi Mchukue mfanye kitu kwaajili ya wananchi sio wanasiasa. Sijawakataza kutomtii Amri Jeshi Mkuu ila wahusika wamshauri Huyu Mwenyekiti wa CCM
View attachment 2870870
ONYO: WATANZANIA TUHESHIMU NA KUENDELEA KULIAMINI JESHI LA ULINZI LA WANANCHI WA TANZANIA
Nadhani ni baada ya swaiba wao Polisi kushindwa

FB_IMG_1574277425198.jpg
 
Huyo aliyeleta hilo wazo hana akili hata kidogo akapimwe kinyesi na ubongo wake, what if kila chama kitaanzisha jeshi lake?
 
Wakunya wakanye barabarani hata usiku, wakufungulia vyoobfungulieni mana tuna jeshi la usafi.
 
Wataandamana waliotumwa na RC.

Yaani ccm umekuwa na woga kiasi hiki?
Tunajuana humu huwa tunaadamania JF ndio maana nashangaa hii hofu ya jeshi tunaitoa wapi wakati sie kazi yetu ni kufuatilia maandamano tukiwa JF?
 
JWTZ is a neutral organ,credible and reputable to protect our sovereignty against any foreign intrusion. lisichezewe.
 
Hilo jeshi na hao wwnajeshi ndio wapumbavu.... Hawajui majukum yao mama?, Kwamba wao wanafurahia ndugu zao na familia zao kuongozwa kipuuzi?.... Hakuna jeshi la hovyoo Dunia hii Kama la Tz, wao wenyewe ni waonevu wakubwa.
 
Hilo jeshi na hao wwnajeshi ndio wapumbavu.... Hawajui majukum yao mama?, Kwamba wao wanafurahia ndugu zao na familia zao kuongozwa kipuuzi?.... Hakuna jeshi la hovyoo Dunia hii Kama la Tz, wao wenyewe ni waonevu wakubwa.
Tatizo kubwa liko kwenye Serikali yenyewe. Miswada ambayo ndiyo kisa cha maandamano ya Chadema inahusu mjadala wa uchaguzi kuwa huru au kutokuwa huru kwa maana kama Serikali ina sifa au haina sifa ya kusimamia uchaguzi kwa sababu kwa mujibu wa wasilisho la TEC kwenye Kamati ya Bunge kuna mifano ambayo Serikali inaonesha siyo refa. Cha kushangaza, ndugu yangu Mwalimu ambaye pia ni Mkuu wa Mkoa anatoa amri ambayo ikitelezwa itakuwa ni ushahidi mwingine ya hoja ya TEC na wadau wengine kuwa Serikali imeegemea upande mmoja hata kabla Bunge lenyewe halijakaa kupitia mapendekezo. Yaani wakati kesi inaendelea mwenzetu RC anatoa ushuhuda unaomfunga! Sijawahi kufikiri jambo linaweza kutokea kwenye ngazi ya Serikali yenye wanasheria wengi tu! Ndiyo maana nasema Rais wetu asaidiwe aendeshe Serikali yetu isiabike!
 
Haijakaa vema Jeshi kutumika kisiasa.

CDF alitazame hili, heshima ya Jeshi itashuka sana. Hatujazoea mambo kama haya.

CDF huko uliko kaa na Rais mkumbushe Jeshi halipo kwa ajili ya agenda za kisiasa lipo kwa ajili ya Ulinzi wa Nchi, najua ni ngumu kwa sababu aliyekuteua ni Rais lakini nakukumbusha Tanzania ni muhimu kuliko Rais, kuliko CDF, kuliko mimi na mtu mwingine awe ni Chadema au CCM.
 
Back
Top Bottom