Kwanini CCM inaruhusu watu wahoji udini?!

Kwanini CCM inaruhusu watu wahoji udini?!

Lets call a spade a spade.

Kilichofanyika ni upendeleo wa dhahiri.

Huwezi nilazimisha niamini hakuna mtanganyika mkristo mwenye sifa za kugombea nafasi ya mwenyekiti UVCCM Taifa katika watu milioni 60 waliopo Tanganyika.

Hao uliowataja wote hawawezi kwenda kinyume na matakwa ya mkubwa wao.

Kilichofanyika ni kibaya na kisirudiwe tena.
Mlete huyo mzanzibar mkiristo mwenye vigezo aliyekatwa jina kwa sababu ya Ukiristo wake

Tatizo la baadhi ya Wakiristo ni kupenda mteremko yaani wanataka upendeleo maalum kama walivyokuwa wakipendelewa na Nyerere na Magufuli
 
Tunabomoa mfumo Kristu,Kama Mwenyekiti na Makamu wake ni Waislamu,Kuna shida gani kuteua ndugu zao katika Imani.
Tena umechelewa kweli kubomolewa, Mimi nasema uendelee kubomolewa tu maana hakuna namna!

Umenikumbusha enzi zile Mwenyekiti ni Benjamin Mkapa, Makamu Mwenyekiti John Malechela na Katibu mkuu Philipo Mangula
 
View attachment 2415777

Hapo juu ni wagombea wa nafasi ya Mwenyekiti wa UVCCM TAIFA hakuna Enock wala Angelina hapo-kwanini?!!

CCM isiruhusu hayo mambo, yanamharibia kiongozi wake.
Wala usiumize kichwa,
Hayo majina hayajatokea kwa bahati!!
Mama anacheza karata zake tatu vzr,Dini(Islam),jinsia(mke),na ukanda(Zenj).
Yani hapo lazima kiongozi awe Islam tu,na akiwa mkristo basi awe mwanamke!!
Udini upo sana ccm,Hawa watu,Kikwete,Mwinyi,Kinana,makamba,Richa ya kuwa ni watu wenye exposure kubwa,lakini ukiwakwangua saaana chini ya ngozi zao,wapo biased sana linapokuja Swala la uislam na uongozi,uislam na fulsa.
Sasa hv wanaona ndio wakati wao wa kuwawezesha waislam wenzao kula nchi!!
Hawa wapo tayari hata mpinzani ashinde,ila tu awe muislam
 
Hakuna kiongozi alitisha kwa udini kama mwendazake,aliwajaza wakristo tupu nafasi nyeti zote.Waislamu walijaribu kuhoji wakaambiwa hawana elimu sasa ndugu zetu akina baba paroko mtulie nanyi vilevile hamjasoma, pelekeni watoto wenu shule.
 
Hakuna kiongozi alitisha kwa udini kama mwendazake,aliwajaza wakristo tupu nafasi nyeti zote.Waislamu walijaribu kuhoji wakaambiwa hawana elimu sasa ndugu zetu akina baba paroko mtulie nanyi vilevile hamjasoma, pelekeni watoto wenu shule.
Mwendazake aliunda baraza la mawaziri la zaidi ya watu 20 akaweka waislamu watatu tu. Na wakiristo wenzake wakamtetea eti hatuangalii dini ya mtu kwenye kuteua, bali tunateua wenye vigezo!

Kinachowakwaza Wakiristo wengi ni kuona ile entitlement ya kudhani lazima wao wadominate nafasi za maamuzi imekuwa shaken hapa Dar, Wamezoea kuona wao wanakuwa wengi ktk nafasi mbalimbali, ikitokea tofauti wanawayawaya, Wanahamaki, wanashangaa kuwa hii imekuwajekuwaje?
 
Back
Top Bottom