Kwanini CCM wamechukizwa na kitendo cha Lissu na Samia kukutana?

Kwanini CCM wamechukizwa na kitendo cha Lissu na Samia kukutana?

Determinantor

Platinum Member
Joined
Mar 17, 2008
Posts
59,045
Reaction score
94,974
Kuna mambo yanafikirisha mno na hakika MUNGU siku zote hakawii kumuonyesha mtu adui yake halisi.

Siku chache tu zilizopita CCM walikua mstari wa mbele kuwalaumu CHADEMA kuwa sio wasikivu, wamegoma kuonana na Rais Kwenye ule Mkutano fake, sijui blah blah kibao.

Jana Lissu kakutana na Samia, Watu wale wale wamegeuka Mbogo na kuanza kumsimanga Samia na CHADEMA, Kuna yule RAS wa Mbeya aliyenukuliwa Whatsapp alisema Samia amewakosea pakubwa Sana CCM.

Kwanza RAS sio cheo Cha kisiasa na hakutakiwa kuonyesha mahaba makubwa kiasi kile ila pia niliwaza kuwa CCM wangetoa statement kwa Mwenyekiti wao kufanya jambo la busara kwa mustakabali wa Taifa, kwa bahati mbaya sana, tangu jana ni matusi na kashfa dhidi ya Samia, Lissu na CHADEMA kiasi kwamba unaogopa...

Kuna Nini nyuma ya pazia kwa CCM dhidi ya dhihaka hizi kwa Samia, Lissu na CHADEMA?

Time will tell
 
Kuna mambo yanafikirisha mno na hakika MUNGU siku zote hakawii kumuonyesha mtu adui yake halisi.

Siku chache tu zilizopita CCM walikua mstari wa mbele kuwalaumu CHADEMA kuwa sio wasikivu, wamegoma kuonana na Rais Kwenye ule Mkutano fake, sijui blah blah kibao.

Jana Lissu kakutana na Samia, Watu wale wale wamegeuka Mbogo na kuanza kumsimanga Samia na CHADEMA, Kuna yule RAS wa Mbeya aliyenukuliwa Whatsapp alisema Samia amewakosea pakubwa Sana CCM.

Kwanza RAS sio cheo Cha kisiasa na hakutakiwa kuonyesha mahaba makubwa kiasi kile ila pia niliwaza kuwa CCM wangetoa statement kwa Mwenyekiti wao kufanya jambo la busara kwa mustakabali wa Taifa, kwa bahati mbaya sana, tangu jana ni matusi na kashfa dhidi ya Samia, Lissu na CHADEMA kiasi kwamba unaogopa...

Kuna Nini nyuma ya pazia kwa CCM dhidi ya dhihaka hizi kwa Samia, Lissu na CHADEMA?

Time will tell
Labda hawakubaliani na hoja zilizoshiba za Mh. Tundu Lissu kwa mama. Watake wastake, kafiba mpya ni lazima, tume huru ya uchaguzi ni lazima na 2025 tunakwenda na Mh. Tundu Lissu.
 
Kuna mambo yanafikirisha mno na hakika MUNGU siku zote hakawii kumuonyesha mtu adui yake halisi.

Siku chache tu zilizopita CCM walikua mstari wa mbele kuwalaumu CHADEMA kuwa sio wasikivu, wamegoma kuonana na Rais Kwenye ule Mkutano fake, sijui blah blah kibao.

Jana Lissu kakutana na Samia, Watu wale wale wamegeuka Mbogo na kuanza kumsimanga Samia na CHADEMA, Kuna yule RAS wa Mbeya aliyenukuliwa Whatsapp alisema Samia amewakosea pakubwa Sana CCM.

Kwanza RAS sio cheo Cha kisiasa na hakutakiwa kuonyesha mahaba makubwa kiasi kile ila pia niliwaza kuwa CCM wangetoa statement kwa Mwenyekiti wao kufanya jambo la busara kwa mustakabali wa Taifa, kwa bahati mbaya sana, tangu jana ni matusi na kashfa dhidi ya Samia, Lissu na CHADEMA kiasi kwamba unaogopa...

Kuna Nini nyuma ya pazia kwa CCM dhidi ya dhihaka hizi kwa Samia, Lissu na CHADEMA?

Time will tell
CCM
Chanzo Cha Matatizo
Chama cha Mazezeta
Chama Cha Mazuzu
Chama Cha Mafisadi
 
Kuna mambo yanafikirisha mno na hakika MUNGU siku zote hakawii kumuonyesha mtu adui yake halisi.

Siku chache tu zilizopita CCM walikua mstari wa mbele kuwalaumu CHADEMA kuwa sio wasikivu, wamegoma kuonana na Rais Kwenye ule Mkutano fake, sijui blah blah kibao.

Jana Lissu kakutana na Samia, Watu wale wale wamegeuka Mbogo na kuanza kumsimanga Samia na CHADEMA, Kuna yule RAS wa Mbeya aliyenukuliwa Whatsapp alisema Samia amewakosea pakubwa Sana CCM.

Kwanza RAS sio cheo Cha kisiasa na hakutakiwa kuonyesha mahaba makubwa kiasi kile ila pia niliwaza kuwa CCM wangetoa statement kwa Mwenyekiti wao kufanya jambo la busara kwa mustakabali wa Taifa, kwa bahati mbaya sana, tangu jana ni matusi na kashfa dhidi ya Samia, Lissu na CHADEMA kiasi kwamba unaogopa...

Kuna Nini nyuma ya pazia kwa CCM dhidi ya dhihaka hizi kwa Samia, Lissu na CHADEMA?

Time will tell
Wanune wasinune watajujua
 
... isingewezekana Rais Samia afike Ulaya bila kukutana na mwakilishi wa Tanzania barani Ulaya, Marekani, Canada, na duniani kwa ujumla Mh. Tundu Lissu. Lissu ndiye mtanzania ambaye kwa sasa akiongea dunia inaelewa kuna mtanzania kaongea.

Rais ataachaje kukutana na figure ya aina hiyo kwa manufaa ya taifa letu? Amefanya jambo la muhimu sana; CCM waache ujinga na uhafidhina usio na kichwa wala miguu.
 
Kuna mambo yanafikirisha mno na hakika MUNGU siku zote hakawii kumuonyesha mtu adui yake halisi.

Siku chache tu zilizopita CCM walikua mstari wa mbele kuwalaumu CHADEMA kuwa sio wasikivu, wamegoma kuonana na Rais Kwenye ule Mkutano fake, sijui blah blah kibao.

Jana Lissu kakutana na Samia, Watu wale wale wamegeuka Mbogo na kuanza kumsimanga Samia na CHADEMA, Kuna yule RAS wa Mbeya aliyenukuliwa Whatsapp alisema Samia amewakosea pakubwa Sana CCM.

Kwanza RAS sio cheo Cha kisiasa na hakutakiwa kuonyesha mahaba makubwa kiasi kile ila pia niliwaza kuwa CCM wangetoa statement kwa Mwenyekiti wao kufanya jambo la busara kwa mustakabali wa Taifa, kwa bahati mbaya sana, tangu jana ni matusi na kashfa dhidi ya Samia, Lissu na CHADEMA kiasi kwamba unaogopa...

Kuna Nini nyuma ya pazia kwa CCM dhidi ya dhihaka hizi kwa Samia, Lissu na CHADEMA?

Time will tell
Itakuwa lisu anataka amchukue Samia awe mgombea 2025 kama alivyofanya 2015.
bila kapicha hainogi.

cdm.jpeg
 
CCM kuna watu wanafikiri njia pekee ya wao kufaidika ni nchi kuongozwa na genge Dogo la watawala wa ccm.

Wanaona maridhiano yana hatarisha nafasi ya wao kupata vyeo,

Potelea mbali nchi iwe kwenye mkwamo Lakini wao wapate vyeo.

Bahati mbaya sana hata uwezo hawana. Ni mediocrity ya kiwango cha juu.
 
Kuna mambo yanafikirisha mno na hakika MUNGU siku zote hakawii kumuonyesha mtu adui yake halisi.

Siku chache tu zilizopita CCM walikua mstari wa mbele kuwalaumu CHADEMA kuwa sio wasikivu, wamegoma kuonana na Rais Kwenye ule Mkutano fake, sijui blah blah kibao.

Jana Lissu kakutana na Samia, Watu wale wale wamegeuka Mbogo na kuanza kumsimanga Samia na CHADEMA, Kuna yule RAS wa Mbeya aliyenukuliwa Whatsapp alisema Samia amewakosea pakubwa Sana CCM.

Kwanza RAS sio cheo Cha kisiasa na hakutakiwa kuonyesha mahaba makubwa kiasi kile ila pia niliwaza kuwa CCM wangetoa statement kwa Mwenyekiti wao kufanya jambo la busara kwa mustakabali wa Taifa, kwa bahati mbaya sana, tangu jana ni matusi na kashfa dhidi ya Samia, Lissu na CHADEMA kiasi kwamba unaogopa...

Kuna Nini nyuma ya pazia kwa CCM dhidi ya dhihaka hizi kwa Samia, Lissu na CHADEMA?

Time will tell
Amewakosesha mtaji.(Political capital).
Mgawanyiko huu wa kivyama, kwa baadhi yao ulikuwa ndo mtaji wao mkubwa wa kuzunguka nao. Kwa hivo si ajabu wala mshangao kuona baadhi yao wakikasirika!
 
Kuna mambo yanafikirisha mno na hakika MUNGU siku zote hakawii kumuonyesha mtu adui yake halisi.

Siku chache tu zilizopita CCM walikua mstari wa mbele kuwalaumu CHADEMA kuwa sio wasikivu, wamegoma kuonana na Rais Kwenye ule Mkutano fake, sijui blah blah kibao.

Jana Lissu kakutana na Samia, Watu wale wale wamegeuka Mbogo na kuanza kumsimanga Samia na CHADEMA, Kuna yule RAS wa Mbeya aliyenukuliwa Whatsapp alisema Samia amewakosea pakubwa Sana CCM.

Kwanza RAS sio cheo Cha kisiasa na hakutakiwa kuonyesha mahaba makubwa kiasi kile ila pia niliwaza kuwa CCM wangetoa statement kwa Mwenyekiti wao kufanya jambo la busara kwa mustakabali wa Taifa, kwa bahati mbaya sana, tangu jana ni matusi na kashfa dhidi ya Samia, Lissu na CHADEMA kiasi kwamba unaogopa...

Kuna Nini nyuma ya pazia kwa CCM dhidi ya dhihaka hizi kwa Samia, Lissu na CHADEMA?

Time will tell
Jana Lissu kakutana na Samia, Watu wale wale wamegeuka Mbogo na kuanza kumsimanga Samia na CHADEMA, Kuna yule RAS wa Mbeya aliyenukuliwa Whatsapp alisema Samia amewakosea pakubwa Sana CCM.
 
... isingewezekana Rais Samia afike Ulaya bila kukutana na mwakilishi wa Tanzania barani Ulaya, Marekani, Canada, na duniani kwa ujumla Mh. Tundu Lissu. Lissu ndiye mtanzania ambaye kwa sasa akiongea dunia inaelewa kuna mtanzania kaongea.

Rais ataachaje kukutana na figure ya aina hiyo kwa manufaa ya taifa letu? Amefanya jambo la muhimu sana; CCM waache ujinga na uhafidhina usio na kichwa wala miguu.
Lissu ndiye mtanzania ambaye kwa sasa akiongea dunia inaelewa kuna mtanzania kaongea.
 
Back
Top Bottom