ostrichegg
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 12,050
- 6,199
Na ndio maana wana bidii ya kuitengenezaCCM wananufaika sn na migogoro ndani ya nchi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na ndio maana wana bidii ya kuitengenezaCCM wananufaika sn na migogoro ndani ya nchi
yapNa ndio maana wana bidii ya kuitengeneza
Shetani hajawahi kumpenda maraika wa kheriKuna mambo yanafikirisha mno na hakika MUNGU siku zote hakawii kumuonyesha mtu adui yake halisi.
Siku chache tu zilizopita CCM walikua mstari wa mbele kuwalaumu CHADEMA kuwa sio wasikivu, wamegoma kuonana na Rais Kwenye ule Mkutano fake, sijui blah blah kibao.
Jana Lissu kakutana na Samia, Watu wale wale wamegeuka Mbogo na kuanza kumsimanga Samia na CHADEMA, Kuna yule RAS wa Mbeya aliyenukuliwa Whatsapp alisema Samia amewakosea pakubwa Sana CCM.
Kwanza RAS sio cheo Cha kisiasa na hakutakiwa kuonyesha mahaba makubwa kiasi kile ila pia niliwaza kuwa CCM wangetoa statement kwa Mwenyekiti wao kufanya jambo la busara kwa mustakabali wa Taifa, kwa bahati mbaya sana, tangu jana ni matusi na kashfa dhidi ya Samia, Lissu na CHADEMA kiasi kwamba unaogopa...
Kuna Nini nyuma ya pazia kwa CCM dhidi ya dhihaka hizi kwa Samia, Lissu na CHADEMA?
Time will tell
Ma ccm walio wengi ni wajinga kwani wanapigania kujaza matumbo yao tu.Kuna mambo yanafikirisha mno na hakika MUNGU siku zote hakawii kumuonyesha mtu adui yake halisi.
Siku chache tu zilizopita CCM walikua mstari wa mbele kuwalaumu CHADEMA kuwa sio wasikivu, wamegoma kuonana na Rais Kwenye ule Mkutano fake, sijui blah blah kibao.
Jana Lissu kakutana na Samia, Watu wale wale wamegeuka Mbogo na kuanza kumsimanga Samia na CHADEMA, Kuna yule RAS wa Mbeya aliyenukuliwa Whatsapp alisema Samia amewakosea pakubwa Sana CCM.
Kwanza RAS sio cheo Cha kisiasa na hakutakiwa kuonyesha mahaba makubwa kiasi kile ila pia niliwaza kuwa CCM wangetoa statement kwa Mwenyekiti wao kufanya jambo la busara kwa mustakabali wa Taifa, kwa bahati mbaya sana, tangu jana ni matusi na kashfa dhidi ya Samia, Lissu na CHADEMA kiasi kwamba unaogopa...
Kuna Nini nyuma ya pazia kwa CCM dhidi ya dhihaka hizi kwa Samia, Lissu na CHADEMA?
Time will tell
Haya maneno yako ni sumu kwa waramba miguu wa lumumba.Labda hawakubaliani na hoja zilizoshiba za Mh. Tundu Lissu kwa mama. Watake wastake, kafiba mpya ni lazima, tume huru ya uchaguzi ni lazima na 2025 tunakwenda na Mh. Tundu Lissu.
Chawa wa ccm wanatumia ile mbinu ya wagawanye ili uwatawale kirahisi.... isingewezekana Rais Samia afike Ulaya bila kukutana na mwakilishi wa Tanzania barani Ulaya, Marekani, Canada, na duniani kwa ujumla Mh. Tundu Lissu. Lissu ndiye mtanzania ambaye kwa sasa akiongea dunia inaelewa kuna mtanzania kaongea.
Rais ataachaje kukutana na figure ya aina hiyo kwa manufaa ya taifa letu? Amefanya jambo la muhimu sana; CCM waache ujinga na uhafidhina usio na kichwa wala miguu.
Maadui wakubwa wa nchi hii ni baadhi wana ccm wenye vyeo na madaraka makubwa lkn hawana elimu serikalini.Jana Lissu kakutana na Samia, Watu wale wale wamegeuka Mbogo na kuanza kumsimanga Samia na CHADEMA, Kuna yule RAS wa Mbeya aliyenukuliwa Whatsapp alisema Samia amewakosea pakubwa Sana CCM.
Wanaogopa kumwaga ulaji waliouzoea.Kuna mambo yanafikirisha mno na hakika MUNGU siku zote hakawii kumuonyesha mtu adui yake halisi.
Siku chache tu zilizopita CCM walikua mstari wa mbele kuwalaumu CHADEMA kuwa sio wasikivu, wamegoma kuonana na Rais Kwenye ule Mkutano fake, sijui blah blah kibao.
Jana Lissu kakutana na Samia, Watu wale wale wamegeuka Mbogo na kuanza kumsimanga Samia na CHADEMA, Kuna yule RAS wa Mbeya aliyenukuliwa Whatsapp alisema Samia amewakosea pakubwa Sana CCM.
Kwanza RAS sio cheo Cha kisiasa na hakutakiwa kuonyesha mahaba makubwa kiasi kile ila pia niliwaza kuwa CCM wangetoa statement kwa Mwenyekiti wao kufanya jambo la busara kwa mustakabali wa Taifa, kwa bahati mbaya sana, tangu jana ni matusi na kashfa dhidi ya Samia, Lissu na CHADEMA kiasi kwamba unaogopa...
Kuna Nini nyuma ya pazia kwa CCM dhidi ya dhihaka hizi kwa Samia, Lissu na CHADEMA?
Time will tell
uwezo wa akikiccm wengi unaishia jinsi ya kujinufaisha ama kwa vyeo au chumvi na tshirts sio maendeleo na mustakabali wa taifa na watu wake.... isingewezekana Rais Samia afike Ulaya bila kukutana na mwakilishi wa Tanzania barani Ulaya, Marekani, Canada, na duniani kwa ujumla Mh. Tundu Lissu. Lissu ndiye mtanzania ambaye kwa sasa akiongea dunia inaelewa kuna mtanzania kaongea.
Rais ataachaje kukutana na figure ya aina hiyo kwa manufaa ya taifa letu? Amefanya jambo la muhimu sana; CCM waache ujinga na uhafidhina usio na kichwa wala miguu.
Mama Samia fungua ukrasa mpya; jiwekee hazina mbinguni hili taifa lilikuwa linapelekwa siko, damu za watu zinalia kwa uchungu.
Hao wana CCM ishi nao ki akili, wengi ni wanafiki watupu.
Kwa hili nakuoongeza, mwanzo mzuri - kuanza upya si dhambi.
Ma ccm walio wengi ni wajinga kwani wanapigania kujaza matumbo yao tu.
HUWEZI kuwatenganisha ACT na CCMACT wazalendo ndio wamenuna siyo CCM!
Ras gani huyo? Kama kweli hadi sasa anafanya nini ofisini?Kuna mambo yanafikirisha mno na hakika MUNGU siku zote hakawii kumuonyesha mtu adui yake halisi.
Siku chache tu zilizopita CCM walikua mstari wa mbele kuwalaumu CHADEMA kuwa sio wasikivu, wamegoma kuonana na Rais Kwenye ule Mkutano fake, sijui blah blah kibao.
Jana Lissu kakutana na Samia, Watu wale wale wamegeuka Mbogo na kuanza kumsimanga Samia na CHADEMA, Kuna yule RAS wa Mbeya aliyenukuliwa Whatsapp alisema Samia amewakosea pakubwa Sana CCM.
Kwanza RAS sio cheo Cha kisiasa na hakutakiwa kuonyesha mahaba makubwa kiasi kile ila pia niliwaza kuwa CCM wangetoa statement kwa Mwenyekiti wao kufanya jambo la busara kwa mustakabali wa Taifa, kwa bahati mbaya sana, tangu jana ni matusi na kashfa dhidi ya Samia, Lissu na CHADEMA kiasi kwamba unaogopa...
Kuna Nini nyuma ya pazia kwa CCM dhidi ya dhihaka hizi kwa Samia, Lissu na CHADEMA?
Time will tell
watu wengi wako ccm kwa maslahi binafsi , wanapo sikia katiba mpya wanauona mwisho wa ulaji wao umefika.
Wahamie burundiKuna mambo yanafikirisha mno na hakika MUNGU siku zote hakawii kumuonyesha mtu adui yake halisi.
Siku chache tu zilizopita CCM walikua mstari wa mbele kuwalaumu CHADEMA kuwa sio wasikivu, wamegoma kuonana na Rais Kwenye ule Mkutano fake, sijui blah blah kibao.
Jana Lissu kakutana na Samia, Watu wale wale wamegeuka Mbogo na kuanza kumsimanga Samia na CHADEMA, Kuna yule RAS wa Mbeya aliyenukuliwa Whatsapp alisema Samia amewakosea pakubwa Sana CCM.
Kwanza RAS sio cheo Cha kisiasa na hakutakiwa kuonyesha mahaba makubwa kiasi kile ila pia niliwaza kuwa CCM wangetoa statement kwa Mwenyekiti wao kufanya jambo la busara kwa mustakabali wa Taifa, kwa bahati mbaya sana, tangu jana ni matusi na kashfa dhidi ya Samia, Lissu na CHADEMA kiasi kwamba unaogopa...
Kuna Nini nyuma ya pazia kwa CCM dhidi ya dhihaka hizi kwa Samia, Lissu na CHADEMA?
Time will tell
Ccm wapo happyKuna mambo yanafikirisha mno na hakika MUNGU siku zote hakawii kumuonyesha mtu adui yake halisi.
Siku chache tu zilizopita CCM walikua mstari wa mbele kuwalaumu CHADEMA kuwa sio wasikivu, wamegoma kuonana na Rais Kwenye ule Mkutano fake, sijui blah blah kibao.
Jana Lissu kakutana na Samia, Watu wale wale wamegeuka Mbogo na kuanza kumsimanga Samia na CHADEMA, Kuna yule RAS wa Mbeya aliyenukuliwa Whatsapp alisema Samia amewakosea pakubwa Sana CCM.
Kwanza RAS sio cheo Cha kisiasa na hakutakiwa kuonyesha mahaba makubwa kiasi kile ila pia niliwaza kuwa CCM wangetoa statement kwa Mwenyekiti wao kufanya jambo la busara kwa mustakabali wa Taifa, kwa bahati mbaya sana, tangu jana ni matusi na kashfa dhidi ya Samia, Lissu na CHADEMA kiasi kwamba unaogopa...
Kuna Nini nyuma ya pazia kwa CCM dhidi ya dhihaka hizi kwa Samia, Lissu na CHADEMA?
Time will tell
Wamenuna sababu wanahangaika kupiga propaganda kuwa Lisu anatumiwa na mabeberu wakati mama anaonyesha Lisu ni hazina ya taifa.Kuna mambo yanafikirisha mno na hakika MUNGU siku zote hakawii kumuonyesha mtu adui yake halisi.
Siku chache tu zilizopita CCM walikua mstari wa mbele kuwalaumu CHADEMA kuwa sio wasikivu, wamegoma kuonana na Rais Kwenye ule Mkutano fake, sijui blah blah kibao.
Jana Lissu kakutana na Samia, Watu wale wale wamegeuka Mbogo na kuanza kumsimanga Samia na CHADEMA, Kuna yule RAS wa Mbeya aliyenukuliwa Whatsapp alisema Samia amewakosea pakubwa Sana CCM.
Kwanza RAS sio cheo Cha kisiasa na hakutakiwa kuonyesha mahaba makubwa kiasi kile ila pia niliwaza kuwa CCM wangetoa statement kwa Mwenyekiti wao kufanya jambo la busara kwa mustakabali wa Taifa, kwa bahati mbaya sana, tangu jana ni matusi na kashfa dhidi ya Samia, Lissu na CHADEMA kiasi kwamba unaogopa...
Kuna Nini nyuma ya pazia kwa CCM dhidi ya dhihaka hizi kwa Samia, Lissu na CHADEMA?
Time will tell
Wengi kati ya wale waliopata nafasi kibabe wana hofu kuwa kurudi katika mazingira huru itakwa shida. Hivyo wangependa rais aendeleze ubabe na wao waendelee kula. Mama asiwahofie hao walafiiJana Lissu kakutana na Samia, Watu wale wale wamegeuka Mbogo na kuanza kumsimanga Samia na CHADEMA, Kuna yule RAS wa Mbeya aliyenukuliwa Whatsapp alisema Samia amewakosea pakubwa Sana CCM.