Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,774
- 47,866
Jeshi la Anga (Air force) ,jeshi la majini (marine), jeshi la Ardhini na jeshi la kujenga Taifa yapo chini yake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jeshi la Anga (Air force) ,jeshi la majini (marine), jeshi la Ardhini na jeshi la kujenga Taifa yapo chini yake
Kuitwa force au service haiondoi maana yake ya kuwa nao ni jeshi.Hebu uwe na akili.Kuna jeshi na vikundi vya tozo.Jitahidi hata kama una tuakili tiamaji ujue.Siyo kila kundi ni jeshi.Eti Police Force!Ya makalio?Ni police services![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nini maana ya jeshi?Mimi naelewa Kuwa kuna
Polisi
Askari magereza
Uhamiaji
Pia tuna JESHI (JWTZ)
Bongo hatuna Army/Military, tuna defence forces tuKuna askari "police",na kuna Jeshi,"military,Amy"..
Unatakiwa ujue kutafautisha
Ulisikia lini usalama wa Taifa wakawa jeshi?Polisi, Magareza, TISS , uhamiaji, zimamoto sio majeshi
Kwa sheria ipi?Police,Magereza,Uhamiaji,Zimamoto & Majeshi ya Uhifadhi ni majeshi usu.
JWTZ ni jeshi kamili hayo majeshi mengi wakati wa Vita ni majeshi ya akiba.Wakuu wa majeshi ya akiba ni Commissioner General.
Kimsingi Commissioner General kwakuwa wanaongoza majeshi ya akiba.
Shida ya nchi hii wajinga ni wengi?Watu wengi hawajui JW ni akina nani,TISS ni akina nani,Magereza ni akina nani,Uhamiaji na akina nani,yaani wapowapo,utadhani haya mambo yamejificha sana,siwezi kushangaa kuona mtu anajiunga kwenye majeshi,akiwa na mawazo ya kizamani.
Kutojua vitu vingi,muda mwingine ndo kunafanya baadhi ya watu,wanakua na msongo wa mawazo.
Mzee kamandi za Jeshi la Wananchi ni:Jeshi la Anga (Air force) ,jeshi la majini (marine), jeshi la Ardhini na jeshi la kujenga Taifa yapo chini yake
Yote kwa yote JWT Ndio baba lao, na Wengine wanafuata.Wote ni wakuu wa majeshi sema hiyo CDF ni mhimili uliochimbiwa chini zaidi. Silaha zote za kivita ziko chini yake tofauti na Polisi.
Umesahau jkt nkoiMimi naelewa Kuwa kuna
Polisi
Askari magereza
Uhamiaji
Pia tuna JESHI (JWTZ)
Mkuu tafuta pesa izo mambo zitakupotezea muda.
Naomba kuwasilisha
Nimekuwa nikishuhudia CDF akiitwa mkuu wa majeshi ilihali jeshi la Magereza,Polisi na Uhamiaji yanao wakuu wao.
Sasa ni ipi sababu hasa ya CDF kuitwa mkuu wa majeshi?
Sasa wapi nimeita jeshi ? umesoma vizuri lakini kabla hauja ni quote 😀😀😊Ulisikia lini usalama wa Taifa wakawa jeshi?
Wote ni wakuu wa majeshi sema hiyo CDF ni mhimili uliochimbiwa chini zaidi. Silaha zote za kivita ziko chini yake tofauti na Polisi.
Labda unafikiri kwa nini sio jeshi?
Labda utueleze jeshi ni nini?
Kwa mtazamo wako?
Kwa mujibu wa sheria?
Mtazamo wa Kimataifa?