[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Jeshi/Army/Millitary ni moja hao wengine vikosi vya wahuni tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Jeshi/Army/Millitary ni moja hao wengine vikosi vya wahuni tu.
Japo wote ni askariJeshi ni moja tu hapa Tanzania nalo ni JWTZ mwisho.
mada za genta aka popoma.Nimekuwa nikishuhudia CDF akiitwa mkuu wa majeshi ilihali jeshi la Magereza,Polisi na Uhamiaji yanao wakuu wao.
Sasa ni ipi sababu hasa ya CDF kuitwa mkuu wa majeshi?
Ni either of the twoHili
La hapa ni army au military??
Kuna wanajeshi wengi sana vilaza.
Umesoma ukaelewa? Hizo kitalaamu zinaitwa kamandi, ila rasmi ni majeshi, ndiyo maana muunganiko wake huitwa majeshiJeshi ndio Tpdf
Kamandi ndio ulizojaribu kutaja
Acha uongo na kulazimisha jambo usilolijua?Umesoma ukaelewa? Hizo kitalaamu zinaitwa kamandi, ila rasmi ni majeshi, ndiyo maana muunganiko wake huitwa majeshi
Hii kali...Tanzania tuna defence force tu, sio army Wala military.
Kuna kiwango maalumu Cha kikundi Cha askari kuitwa Army au Military sifa ambayo Tz hatuna shubaamiti.
Majeshi yanayoongelewa kwenye cheo cha CDF ni Navy (La Maji), Air force (La Anga) na Infantry (La ardhi).Nimekuwa nikishuhudia CDF akiitwa mkuu wa majeshi ilihali jeshi la Magereza,Polisi na Uhamiaji yanao wakuu wao.
Sasa ni ipi sababu hasa ya CDF kuitwa mkuu wa majeshi?
Ikitokea vita kati ya nchi yetu na nyingine (mwenyezi Mungu atuepushe) ndio utarkewa maana ya mkuu wa Majeshi.Nimekuwa nikishuhudia CDF akiitwa mkuu wa majeshi ilihali jeshi la Magereza,Polisi na Uhamiaji yanao wakuu wao.
Sasa ni ipi sababu hasa ya CDF kuitwa mkuu wa majeshi?
Wewe utakua polisi!As long as wanaitwa force basi hawana tofauti na fire and rescue[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Tofauti Yao ni majukumu tu
Hiyo ndio maana yake,kama unatafsiri neno la kingereza kwa neno la kiswahili kama lilivyo,yaani force=nguvu,,ndio maana nikakuomba rudi shule[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] umetoa tafsiri toka dictionary gani?
Umenikumbusha msemo wa bi mkubwa wangu huwa anasema ruhusu mengine yakupite hahaMkuu tafuta pesa izo mambo zitakupotezea muda.
Naomba kuwasilisha
Hao taliban waliwafurumusha USSR na NATO huko Afghanistan sasa hilo jeshi lako ndo ulifananishe na taliban!!!acha ujinga huoHao akina wambura na mzee ni wanamgambo kama wale wa taliban.
Itakua huyo JWTZ hakuelewa somo la salute.Nimeshuhudia mara kadhaa,polisi wakipigiwa salute na JW.Tatizo ni ujinga wa baadhi wa wananchi na kua na mentality mbovu.Siki moja alipita Jwtz ni private wa kawaida hana cheo kabisa akapishana na Maofisa magereza wama Nyota 2 wale nadhanii hakuwapigia salute wala nini kapita mkavuu..[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Jamaa walianza kujiongelesha yani hawa Jw wanajiona wao ndo wao kama huyu katupita bila hata kubana mikono acha salute..
Nimekuwa nikishuhudia CDF akiitwa mkuu wa majeshi ilihali jeshi la Magereza,Polisi na Uhamiaji yanao wakuu wao.
Sasa ni ipi sababu hasa ya CDF kuitwa mkuu wa majeshi?
Hizi ni akili na majibu ya Askari wa Rank and File ndiyo wanajazwa ujinga huu wakiwa training, huwezi kuta Afisa akawa ana malumbano ya kijinga kiasi hiki katika kuwadharau wengine ilihali wote wanafanya makujumu yenye mrengo sawa wa kuhakikisha Tanzania inakuwa salama.Wewe utakua polisi!
Military ni jeshi na Force ni kikosi tu!
TISS,PCCB,Uhamiaji na hao Polisi hawafundishwi matumizi ya siraha nzito! Mfano huwezi kuta kifaru kipo kwenye kikosi cha Polisi,PCCB au Uhamiaji!
Rais anapokua anakabidhi madaraka kwa mwingine kwa nini CDF ndiyo hua anasimama na Rais na sio IGP,DG-TISS DG-PCCB,CGI,CGF au CGP??