Kwanini CHADEMA hawataki kudai Katiba mpya au hata kudai Tume Huru ya Uchaguzi kwa kuanzia?

Kwanini CHADEMA hawataki kudai Katiba mpya au hata kudai Tume Huru ya Uchaguzi kwa kuanzia?

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Nilitegemea baada ya sekeseke la Halima Mdee na Nusrat Hanje basi operesheni ya kwanza ya CHADEMA ingekuwa ni kudai Katiba mpya au hata wangeanza na Tume Huru ya Uchaguzi.

Lakini naona wanarudi kule kule kwenye maoperesheni Sangara na Ukuta ambayo hayajawahi kuwasaidia chochote.

Ndio nauliza CHADEMA wanataka CCM ndio iwaletee katiba mpya kama ilivyoleta huu mfumo " mfu" wa vyama vingi vya siasa?

Rip mchungaji Christopher Mtikila!
 
Nilitegemea baada ya sekeseke la Halima Mdee na Nusrat Henje basi operesheni ya kwanza ya Chadema ingekuwa ni kudai Katiba mpya au hata wangeanza na Tume Huru ya Uchaguzi.

Lakini naona wanarudi kule kule kwenye maoperesheni Sangara na Ukuta ambayo hayajawahi kuwasaidia chochote.

Ndio nauliza Chadema wanataka CCM ndio iwaletee katiba mpya kama ilivyoleta huu mfumo " mfu" wa vyama vingi vya siasa?

Rip mchungaji Christopher Mtikila!
Likitoka tusi jipya namba D nitalitumia kwako kabla ya kwa mtu yeyote!
Ni mara ngapi Chadema wanazungumzia katiba mpya we pimbi?
Ubongo mdogo kuliko wa samaki, haujai hata kijiko.
 
Wewe chumia tumbo wa lumumba kwani ukidai wewe kuna ubaya gani?
Umuhimu wa cdm ndiyo umeanza kuuona leo hii?

Mbona huulizi kwanini ACT na CUF au TADEA ?
Atakuwa kampenda kaka wa Chadema, ngoja atiwe mimba akili itamkaa sawa, eti kwanini Chadema hawadai katiba na tume huru ya uchaguzi, johnthebaptist akadai mama yako, maana naye ni mdanganyika kama wewe
 
Nilitegemea baada ya sekeseke la Halima Mdee na Nusrat Henje basi operesheni ya kwanza ya Chadema ingekuwa ni kudai Katiba mpya au hata wangeanza na Tume Huru ya Uchaguzi.

Lakini naona wanarudi kule kule kwenye maoperesheni Sangara na Ukuta ambayo hayajawahi kuwasaidia chochote.

Ndio nauliza Chadema wanataka CCM ndio iwaletee katiba mpya kama ilivyoleta huu mfumo " mfu" wa vyama vingi vya siasa?

Rip mchungaji Christopher Mtikila!
Bwashee huu ni wimbo wao mda mref sana na ww binafsi unajua, labda tu useme kwann wanadai katiba mpya na tume huru wakiwa maofisini mwao
 
Unaongea kana kwamba katiba mpya itawanufaisha chadema tu 😆😆😆

HHivi watanzania ni nani aliyewaloga?
 
Nilitegemea baada ya sekeseke la Halima Mdee na Nusrat Henje basi operesheni ya kwanza ya Chadema ingekuwa ni kudai Katiba mpya au hata wangeanza na Tume Huru ya Uchaguzi.

Lakini naona wanarudi kule kule kwenye maoperesheni Sangara na Ukuta ambayo hayajawahi kuwasaidia chochote.

Ndio nauliza Chadema wanataka CCM ndio iwaletee katiba mpya kama ilivyoleta huu mfumo " mfu" wa vyama vingi vya siasa?

Rip mchungaji Christopher Mtikila!
Hivi mkuu CCM walikufanyaga nini ?? Nakujua ulikuwa CCM kindakindaki.
 
Nilitegemea baada ya sekeseke la Halima Mdee na Nusrat Henje basi operesheni ya kwanza ya Chadema ingekuwa ni kudai Katiba mpya au hata wangeanza na Tume Huru ya Uchaguzi.

Lakini naona wanarudi kule kule kwenye maoperesheni Sangara na Ukuta ambayo hayajawahi kuwasaidia chochote.

Ndio nauliza Chadema wanataka CCM ndio iwaletee katiba mpya kama ilivyoleta huu mfumo " mfu" wa vyama vingi vya siasa?

Rip mchungaji Christopher Mtikila!
Mpaka akili ziwakae sawa sijui ni lini. Unajua kama kuna mtu amekuweka kwenye pua zake, hifadhi yako ni ndani ya pua zake, akikupenga iko shida kubwa, akili inavurugika. Kufa kwa Jiwe ni kuwa mmepengwa kutoka kwenye pua zake . Ona unayoandika sasa! kma vile huna akili kabisa. CDM isidai katiba? tume huru? johnthebaptist mmepengwa kweli kweli! Salary Slip
 
Mpaka akili ziwakae sawa sijui ni lini. Unajua kama kuna mtu amekuweka kwenye pua zake, hifadhi yako ni ndani ya pua zake, akikupenga iko shida kubwa, akili inavurugika. Kufa kwa Jiwe ni kuwa mmepengwa kutoka kwenye pua zake . Ona unayoandika sasa! kma vile huna akili kabisa. CDM isidai katiba? tume huru? johnthebaptist mmepengwa kweli kweli! Salary Slip
Vilaza hao achanana nao!!
 
Wewe chumia tumbo wa lumumba kwani ukidai wewe kuna ubaya gani?
Umuhimu wa cdm ndiyo umeanza kuuona leo hii?

Mbona huulizi kwanini ACT na CUF au TADEA ?

Ila we jamaa sijui ni mtu jamii au type gani?! Yaani huwa unajaziba tuuuuu katika comments zako, huwa sikuelewi sijui wewe wa wapi?! Jaribu kuwa unavumilia mawazo ya wenzio hata kwa kukaa kimya!
 
Nilitegemea baada ya sekeseke la Halima Mdee na Nusrat Henje basi operesheni ya kwanza ya Chadema ingekuwa ni kudai Katiba mpya au hata wangeanza na Tume Huru ya Uchaguzi.

Lakini naona wanarudi kule kule kwenye maoperesheni Sangara na Ukuta ambayo hayajawahi kuwasaidia chochote.

Ndio nauliza Chadema wanataka CCM ndio iwaletee katiba mpya kama ilivyoleta huu mfumo " mfu" wa vyama vingi vya siasa?

Rip mchungaji Christopher Mtikila!
Hili na mimi limezidi kunishangaza, nilitegemea waje na mitazamo mipana zaidi kuliko kuishia kupambana na kina mama 19......chama kikongwe kama chadema bado kinafanya siasa za matukio?
 
Chadema ni CCM B
Nilitegemea baada ya sekeseke la Halima Mdee na Nusrat Henje basi operesheni ya kwanza ya Chadema ingekuwa ni kudai Katiba mpya au hata wangeanza na Tume Huru ya Uchaguzi.

Lakini naona wanarudi kule kule kwenye maoperesheni Sangara na Ukuta ambayo hayajawahi kuwasaidia chochote.

Ndio nauliza Chadema wanataka CCM ndio iwaletee katiba mpya kama ilivyoleta huu mfumo " mfu" wa vyama vingi vya siasa?

Rip mchungaji Christopher Mtikila!
 
Back
Top Bottom