Kwanini CHADEMA hawataki kudai Katiba mpya au hata kudai Tume Huru ya Uchaguzi kwa kuanzia?

Kwanini CHADEMA hawataki kudai Katiba mpya au hata kudai Tume Huru ya Uchaguzi kwa kuanzia?

Wameidai wapi?
Bwashe hiyo kitu anadaiwagwa nani? Kwanini huyo mtu aliyepaswa kutoa hiyo katiba mpya hajatoaga hadi leo? Sasa atatoa ktka mazingira gani? Mbinu ya kudai ni ipi? Kwenda mahakamani au mikutano hadhara? Achana na propaganda mfu huku ukijua wewe ndo una mitutu na mahakama!
 
Nilitegemea baada ya sekeseke la Halima Mdee na Nusrat Henje basi operesheni ya kwanza ya Chadema ingekuwa ni kudai Katiba mpya au hata wangeanza na Tume Huru ya Uchaguzi.

Lakini naona wanarudi kule kule kwenye maoperesheni Sangara na Ukuta ambayo hayajawahi kuwasaidia chochote.

Ndio nauliza Chadema wanataka CCM ndio iwaletee katiba mpya kama ilivyoleta huu mfumo " mfu" wa vyama vingi vya siasa?

Rip mchungaji Christopher Mtikila!
Comrade unataka kuwasikia wakidai wakiwa wapi?
 
Ila we jamaa sijui ni mtu jamii au type gani?! Yaani huwa unajaziba tuuuuu katika comments zako, huwa sikuelewi sijui wewe wa wapi?! Jaribu kuwa unavumilia mawazo ya wenzio hata kwa kukaa kimya!
Huwezi na haitatokea upate uwezo wa kunipangia nini nifanye.
Wapangie ndugu zako siyo mimi.
 
Ila we jamaa sijui ni mtu jamii au type gani?! Yaani huwa unajaziba tuuuuu katika comments zako, huwa sikuelewi sijui wewe wa wapi?! Jaribu kuwa unavumilia mawazo ya wenzio hata kwa kukaa kimya!
Na siyo lazima usome comments zangu ikiwa hazikupendezi
 
Ukiacha tu kunywa dawa zako Bwashee basi unaandika upuuzi mwanzo mwisho! Kwanini hupendi kumeza dawa zako na hivyo kulifanya dishi lako liyumbe kiasi hiki!? 😳
Nilitegemea baada ya sekeseke la Halima Mdee na Nusrat Henje basi operesheni ya kwanza ya Chadema ingekuwa ni kudai Katiba mpya au hata wangeanza na Tume Huru ya Uchaguzi.

Lakini naona wanarudi kule kule kwenye maoperesheni Sangara na Ukuta ambayo hayajawahi kuwasaidia chochote.

Ndio nauliza Chadema wanataka CCM ndio iwaletee katiba mpya kama ilivyoleta huu mfumo " mfu" wa vyama vingi vya siasa?

Rip mchungaji Christopher Mtikila!
 
Ukiacha tu kunywa dawa zako Bwashee basi unaandika upuuzi mwanzo mwisho! Kwanini hupendi kumeza dawa zako na hivyo kulifanya dishi lako liyumbe kiasi hiki!? 😳
Sasa mlitaka Prof Kabudi awaletee katiba mpya pale Ufipa?
 
Hili na mimi limezidi kunishangaza, nilitegemea waje na mitazamo mipana zaidi kuliko kuishia kupambana na kina mama 19......chama kikongwe kama chadema bado kinafanya siasa za matukio?
Chadema ni bure kabisa!

Bwashee ukisoma kitabu cha mzee Mwinyi utagundua kuwa mpinzani ni lazima uwe na uhafifu wa akili.
 
Ila we jamaa sijui ni mtu jamii au type gani?! Yaani huwa unajaziba tuuuuu katika comments zako, huwa sikuelewi sijui wewe wa wapi?! Jaribu kuwa unavumilia mawazo ya wenzio hata kwa kukaa kimya!
Huyo ni mkimbizi kutoka Msumbiji!
 
Mpaka akili ziwakae sawa sijui ni lini. Unajua kama kuna mtu amekuweka kwenye pua zake, hifadhi yako ni ndani ya pua zake, akikupenga iko shida kubwa, akili inavurugika. Kufa kwa Jiwe ni kuwa mmepengwa kutoka kwenye pua zake . Ona unayoandika sasa! kma vile huna akili kabisa. CDM isidai katiba? tume huru? johnthebaptist mmepengwa kweli kweli! Salary Slip
Chadema wananufaika na katiba iliyoko siyo bure!

Chadema ni CCM B
 
Bwashe hiyo kitu anadaiwagwa nani? Kwanini huyo mtu aliyepaswa kutoa hiyo katiba mpya hajatoaga hadi leo? Sasa atatoa ktka mazingira gani? Mbinu ya kudai ni ipi? Kwenda mahakamani au mikutano hadhara? Achana na propaganda mfu huku ukijua wewe ndo una mitutu na mahakama!
Mahakamani ndio kuna katiba mpya bwashee?
 
Nilitegemea baada ya sekeseke la Halima Mdee na Nusrat Henje basi operesheni ya kwanza ya Chadema ingekuwa ni kudai Katiba mpya au hata wangeanza na Tume Huru ya Uchaguzi.

Lakini naona wanarudi kule kule kwenye maoperesheni Sangara na Ukuta ambayo hayajawahi kuwasaidia chochote.

Ndio nauliza Chadema wanataka CCM ndio iwaletee katiba mpya kama ilivyoleta huu mfumo " mfu" wa vyama vingi vya siasa?

Rip mchungaji Christopher Mtikila!
Kwani katiba mpya inawahusu chadema tu?wewe haikuhusu acha ujinga wa akili kijana
 
Nilitegemea baada ya sekeseke la Halima Mdee na Nusrat Henje basi operesheni ya kwanza ya Chadema ingekuwa ni kudai Katiba mpya au hata wangeanza na Tume Huru ya Uchaguzi.

Lakini naona wanarudi kule kule kwenye maoperesheni Sangara na Ukuta ambayo hayajawahi kuwasaidia chochote.

Ndio nauliza Chadema wanataka CCM ndio iwaletee katiba mpya kama ilivyoleta huu mfumo " mfu" wa vyama vingi vya siasa?

Rip mchungaji Christopher Mtikila!
Nimekudharau kuazia leo
 
Huwezi na haitatokea upate uwezo wa kunipangia nini nifanye.
Wapangie ndugu zako siyo mimi.

Ndo jaziba nazokweleza uachane nazo, jifunze somo la Saikolojia litakusaidia mkuu! Mimi sina uwezo wa kukupangia lolote ila naeza kukupa ushauri Na ni hiyari yako kuupokea au kuukataa.
 
Kunywa dawa zako kabla hujaanza kuongea mwenyewe barabarani na kuokota makopo Bwashee 😂😂😂😂
Ni bora tukajua tumerudi kwenye mfumo wa chama kimoja kuliko kuwa na upinzani wa kisanii!
 
Back
Top Bottom