Bwashe hiyo kitu anadaiwagwa nani? Kwanini huyo mtu aliyepaswa kutoa hiyo katiba mpya hajatoaga hadi leo? Sasa atatoa ktka mazingira gani? Mbinu ya kudai ni ipi? Kwenda mahakamani au mikutano hadhara? Achana na propaganda mfu huku ukijua wewe ndo una mitutu na mahakama!Wameidai wapi?