Shing Yui
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 15,168
- 38,049
Ulitakiwa useme kwanini watanzania hawadai katiba mpyaCCM umewahi kuwasikia wakidai katiba mpya?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulitakiwa useme kwanini watanzania hawadai katiba mpyaCCM umewahi kuwasikia wakidai katiba mpya?!
Wewe unapangiwa na Methew wa kijijini kwenu Nanguruwe, Lindi!Huwezi na haitatokea upate uwezo wa kunipangia nini nifanye.
Wapangie ndugu zako siyo mimi.
[emoji23][emoji23][emoji23]Bavicha mnachekesha sana aisee!Mpaka akili ziwakae sawa sijui ni lini. Unajua kama kuna mtu amekuweka kwenye pua zake, hifadhi yako ni ndani ya pua zake, akikupenga iko shida kubwa, akili inavurugika. Kufa kwa Jiwe ni kuwa mmepengwa kutoka kwenye pua zake . Ona unayoandika sasa! kma vile huna akili kabisa. CDM isidai katiba? tume huru? johnthebaptist mmepengwa kweli kweli! Salary Slip
Katiba mpya ni kwa yule anayeihitaji.Ulitakiwa useme kwanini watanzania hawadai katiba mpya
Kwahiyo watanzania hawahitaji katiba mpya?Katiba mpya ni kwa yule anayeihitaji.
Na sasa wamejiingiza kichwakichwa kwa mzee wa msoga waliyemuita dhaifu.[emoji23][emoji23][emoji23]Bavicha mnachekesha sana aisee!
Mtu anawashauri cha kufanya wewe unakuja na jiwe. Huyu jiwe inaonekana aliwavuruga sana nyie watu ndio sababu sasa hivi mmeamua kuiunga mkono ccm ya Samia. Na 2025 tunategemea mtakuwa nasi pamoja kumpigia kampeni mama yetu
Ni bora tukajua tumerudi kwenye mfumo wa chama kimoja kuliko kuwa na upinzani wa kisanii!
Yeye ni ccm na haoni umuhimu wa katiba maana iliyopo inawatosha. Sasa ameshauri nyie bavicha mnaosema ina mapungufuKwani katiba mpya inawahusu chadema tu?wewe haikuhusu acha ujinga wa akili kijana
Wangeitaka wangeidai.Kwahiyo watanzania hawahitaji katiba mpya?
Sasa hivi ccm inajipigia tu kilaini maana yamejipeleka kibra yenyewe!Na sasa wamejiingiza kichwakichwa kwa mzee wa msoga waliyemuita dhaifu.
Lazima awashughulikie kisayansi!
Mzee baba we unaitaka kwani?Nilitegemea baada ya sekeseke la Halima Mdee na Nusrat Henje basi operesheni ya kwanza ya Chadema ingekuwa ni kudai Katiba mpya au hata wangeanza na Tume Huru ya Uchaguzi.
Lakini naona wanarudi kule kule kwenye maoperesheni Sangara na Ukuta ambayo hayajawahi kuwasaidia chochote.
Ndio nauliza Chadema wanataka CCM ndio iwaletee katiba mpya kama ilivyoleta huu mfumo " mfu" wa vyama vingi vya siasa?
Rip mchungaji Christopher Mtikila!
Sawa mzee mgayaWangeitaka wangeidai.
UKAWA ni genge la wapinzani
Chadema hii inayodhibitiwa na Daktari Mahera peke yake na kusambaratika?!!Hahahahahahaha upinzani wa kisanii hauwezi kukuogopesha kuwa na Katiba mpya na Tume huru ya uchaguzi Bwashee! Muziki wa Chadema pale Lumumba wanaujua. Eti Chadema ilishajifia chuma chetu kimeimaliza Chadema 🤣🤣🤣🤣🤣 meza dawa Bwashee acha longo longo!
Ya nini bwashee!Mzee baba we unaitaka kwani?
Ova
Chadema hii inayodhibitiwa na Daktari Mahera peke yake na kusambaratika?!!
Hahahaaaa........!Sawa mzee mgaya
Na ndio maana kamwe hamtaletewa katiba mpya kwenye sahani!Thubutuni kuweka Katiba mpya ya rasimu ya Tume ya Warioba na Tume huru ya uchaguzi hapo ndiyo mtakwenda kaburini na kupotea kabisa katika anga za kisiasa nchini. Chadema imo mioyoni mwa Watanzania. Chadema si chama cha hovyo hovyo kama ACT wasaliti au ADC.
Kwa sasa tupo na mama bega kwa bega... Hebu mtuache maana hata nyinyi mlitusumbua sana kipindi cha chifu wenuHahahaaaa........!
Mwenyekiti wa NEC anateuliwa na mwenyekiti wa CCM.
Mkurugenzi wa uchaguzi anateuliwa na mwenyekiti wa CCM.
Wasimamizi wote wa uchaguzi anateuliwa na mwenyekiti wa CCM
Msajili wa vyama vya siasa anateuliwa na mwenyekiti wa CCM
Sasa kuna upinzani hapo?
Endelea kukariri kwa Chongolo hamtapata hata huyo mbunge mmoja wa dawa!Ama umepotoka au umepotoshwa na waliokutuma
Nilitegemea baada ya sekeseke la Halima Mdee na Nusrat Henje basi operesheni ya kwanza ya Chadema ingekuwa ni kudai Katiba mpya au hata wangeanza na Tume Huru ya Uchaguzi.
Lakini naona wanarudi kule kule kwenye maoperesheni Sangara na Ukuta ambayo hayajawahi kuwasaidia chochote.
Ndio nauliza Chadema wanataka CCM ndio iwaletee katiba mpya kama ilivyoleta huu mfumo " mfu" wa vyama vingi vya siasa?
Rip mchungaji Christopher Mtikila!