Bwashe hiyo kitu anadaiwagwa nani? Kwanini huyo mtu aliyepaswa kutoa hiyo katiba mpya hajatoaga hadi leo? Sasa atatoa ktka mazingira gani? Mbinu ya kudai ni ipi? Kwenda mahakamani au mikutano hadhara? Achana na propaganda mfu huku ukijua wewe ndo una mitutu na mahakama!Wameidai wapi?
Comrade unataka kuwasikia wakidai wakiwa wapi?Nilitegemea baada ya sekeseke la Halima Mdee na Nusrat Henje basi operesheni ya kwanza ya Chadema ingekuwa ni kudai Katiba mpya au hata wangeanza na Tume Huru ya Uchaguzi.
Lakini naona wanarudi kule kule kwenye maoperesheni Sangara na Ukuta ambayo hayajawahi kuwasaidia chochote.
Ndio nauliza Chadema wanataka CCM ndio iwaletee katiba mpya kama ilivyoleta huu mfumo " mfu" wa vyama vingi vya siasa?
Rip mchungaji Christopher Mtikila!
Huwezi na haitatokea upate uwezo wa kunipangia nini nifanye.Ila we jamaa sijui ni mtu jamii au type gani?! Yaani huwa unajaziba tuuuuu katika comments zako, huwa sikuelewi sijui wewe wa wapi?! Jaribu kuwa unavumilia mawazo ya wenzio hata kwa kukaa kimya!
Na siyo lazima usome comments zangu ikiwa hazikupendeziIla we jamaa sijui ni mtu jamii au type gani?! Yaani huwa unajaziba tuuuuu katika comments zako, huwa sikuelewi sijui wewe wa wapi?! Jaribu kuwa unavumilia mawazo ya wenzio hata kwa kukaa kimya!
Nilitegemea baada ya sekeseke la Halima Mdee na Nusrat Henje basi operesheni ya kwanza ya Chadema ingekuwa ni kudai Katiba mpya au hata wangeanza na Tume Huru ya Uchaguzi.
Lakini naona wanarudi kule kule kwenye maoperesheni Sangara na Ukuta ambayo hayajawahi kuwasaidia chochote.
Ndio nauliza Chadema wanataka CCM ndio iwaletee katiba mpya kama ilivyoleta huu mfumo " mfu" wa vyama vingi vya siasa?
Rip mchungaji Christopher Mtikila!
CCM umewahi kuwasikia wakidai katiba mpya?!Unaongea kana kwamba katiba mpya itawanufaisha chadema tu πππ
HHivi watanzania ni nani aliyewaloga?
Sasa mlitaka Prof Kabudi awaletee katiba mpya pale Ufipa?Ukiacha tu kunywa dawa zako Bwashee basi unaandika upuuzi mwanzo mwisho! Kwanini hupendi kumeza dawa zako na hivyo kulifanya dishi lako liyumbe kiasi hiki!? π³
Chadema ni bure kabisa!Hili na mimi limezidi kunishangaza, nilitegemea waje na mitazamo mipana zaidi kuliko kuishia kupambana na kina mama 19......chama kikongwe kama chadema bado kinafanya siasa za matukio?
Huyo ni mkimbizi kutoka Msumbiji!Ila we jamaa sijui ni mtu jamii au type gani?! Yaani huwa unajaziba tuuuuu katika comments zako, huwa sikuelewi sijui wewe wa wapi?! Jaribu kuwa unavumilia mawazo ya wenzio hata kwa kukaa kimya!
Chadema wananufaika na katiba iliyoko siyo bure!Mpaka akili ziwakae sawa sijui ni lini. Unajua kama kuna mtu amekuweka kwenye pua zake, hifadhi yako ni ndani ya pua zake, akikupenga iko shida kubwa, akili inavurugika. Kufa kwa Jiwe ni kuwa mmepengwa kutoka kwenye pua zake . Ona unayoandika sasa! kma vile huna akili kabisa. CDM isidai katiba? tume huru? johnthebaptist mmepengwa kweli kweli! Salary Slip
Sasa mlitaka Prof Kabudi awaletee katiba mpya pale Ufipa?
Mahakamani ndio kuna katiba mpya bwashee?Bwashe hiyo kitu anadaiwagwa nani? Kwanini huyo mtu aliyepaswa kutoa hiyo katiba mpya hajatoaga hadi leo? Sasa atatoa ktka mazingira gani? Mbinu ya kudai ni ipi? Kwenda mahakamani au mikutano hadhara? Achana na propaganda mfu huku ukijua wewe ndo una mitutu na mahakama!
Bungeni!Comrade unataka kuwasikia wakidai wakiwa wapi?
Kwani katiba mpya inawahusu chadema tu?wewe haikuhusu acha ujinga wa akili kijanaNilitegemea baada ya sekeseke la Halima Mdee na Nusrat Henje basi operesheni ya kwanza ya Chadema ingekuwa ni kudai Katiba mpya au hata wangeanza na Tume Huru ya Uchaguzi.
Lakini naona wanarudi kule kule kwenye maoperesheni Sangara na Ukuta ambayo hayajawahi kuwasaidia chochote.
Ndio nauliza Chadema wanataka CCM ndio iwaletee katiba mpya kama ilivyoleta huu mfumo " mfu" wa vyama vingi vya siasa?
Rip mchungaji Christopher Mtikila!
Nimekudharau kuazia leoNilitegemea baada ya sekeseke la Halima Mdee na Nusrat Henje basi operesheni ya kwanza ya Chadema ingekuwa ni kudai Katiba mpya au hata wangeanza na Tume Huru ya Uchaguzi.
Lakini naona wanarudi kule kule kwenye maoperesheni Sangara na Ukuta ambayo hayajawahi kuwasaidia chochote.
Ndio nauliza Chadema wanataka CCM ndio iwaletee katiba mpya kama ilivyoleta huu mfumo " mfu" wa vyama vingi vya siasa?
Rip mchungaji Christopher Mtikila!
Huwezi na haitatokea upate uwezo wa kunipangia nini nifanye.
Wapangie ndugu zako siyo mimi.
Ni mjinga ambae hajawahitokeaHuyo mleta uzi ni zaidi ya poyoyo tu
Ni bora tukajua tumerudi kwenye mfumo wa chama kimoja kuliko kuwa na upinzani wa kisanii!Kunywa dawa zako kabla hujaanza kuongea mwenyewe barabarani na kuokota makopo Bwashee ππππ
Huyo ni mkimbizi kutoka Msumbiji!
Wajinga wako Ufipa wanaongozwa na Bawacha 19 wanaowalipa mishahara!Ni mjinga ambae hajawahitokea