Kwanini CHADEMA hawataki kudai Katiba mpya au hata kudai Tume Huru ya Uchaguzi kwa kuanzia?

Maccm hawana hati miliki ya Nchi wala yeyote yule hana haki miliki. Tuliwaona akina Mubarak wa Misri na jeshi lenye nguvu kuliko lolote lile Afrika lakini siku Wananchi wa kule walipa sema sasa basi LIWALO NA LIWE jeshi halikufua dafu.
Hivyo kwa huu udhalimu na dhuluma zinazoendelea nchini huku cake ya Taifa ikitafunwa na wajanja wachache huku mamilioni yakiishi katika umaskini wa kutisha basi nyie endeleeni tu kuvimbisha vichwa vyenu na kudhani mna hati miliki ya Tanzania.
Na ndio maana kamwe hamtaletewa katiba mpya kwenye sahani!
 
Una akili timamu kweli wewe Mzee Mgaya? Hivi unajua nini kinaendelea sasa hivi huko kanda ya Kaskazini? Uwe unajiridha kwanza na vyanzo vyako vya taarifa.
 
Watanzania ni binadamu wa kipekee hapa Duniani.

CCM itatawala hadi itakapochoka yenyewe!
 
Kwani huu uchaguzi mdogo huko Kigoma hawakushiriki kwa sababu gani?
 
Bwashee hapa umeongea ukweli mtupu
Washauri wachaga wenzako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…