DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
CCM ni chama cha watu wote. Walioenda na ambao hawajaenda shule. Inatusaidia sana kupata kura nyingi kwenye uchaguzi mkuu. CHADEMA iendelee kujikita kwa wasomi na iachane na makundi mengine wanayoona ni ya wajinga.
Siyo suala la ushawishi, Bali ni Kwa kuwa huko TLS ndiko Kwenye uchaguzi ulio huru na haki.
Hujawahi msikia Katibu Mwenezi wa CCM wa wakati wa Magufuli, Humphrey Polelpole, akieleza kuwa iwapo uchaguzi Mkuu wa nchi hii utakuwa huru na haki, basi CCM ijandae kukabidhi madaraka ya nchi??😚
Huo ndiyo ukweli mchungu, ambao hata wao wenyewe CCM wanaujua
Mkuu kwenye siasa kikubwa ni namba. CCM inaungwa mkono na makundi mengi mno yanayofanya ishinde uchaguzi kirahisi. Kura za wahadzabe peke yao ni nyingi kuliko za wanasheria wote nchini hali inayowafanya waahadzabe wawe wa muhimu kuliko wanasheria. Pia kada zote ni nyeti. Hakuna kada yenye umuhimu kuliko nyingine.
Moja ya sababu ni mawakili wengi mashuhuri miaka ya 1992 walijiungana siasa za upinzani mfano marehemu Dr. Lamwai, wakina Marando Srn. na wengineo.
Kwakuwa chadema ilikuja kuwa mbadala wa NCCR Mageuzi basi ikaenda na kizazi cha kina Lisu hadi sasa kumekuwa na mvuto kwa mawakili wengi hasa vijana kuzigeukia siasa za upinzani.
Ni kautamaduni tu kakutaka tuonekane
Kinachoishikilia CCM ni ujinga wa watu na nguvu ya dola tu! Watu wengi nchini ni wajinga mno na huko ndio CCM hufanikiwa. Pia watu wengi hata kama hawaipendi CCM hulazimishwa kwa fedha au kutishiwa kufukuzwa kazi au biashara zao kufungwa kama hawaisapoti CCM.Sabato Njema!
Kama swali linavyoeleza Hapo juu.
Kûna MTU anaweza kuniambia nini kinapelelea CHADEMA kuwa na ushawishi ndani ya Chama kikubwa cha TLS chenye Taaluma muhimu ndàni ya nchi?
Nakabidhi Maiki kwèñu wataalamu.
Wanasheria wanafundishwa kitu kinaitwa logic thinking!
Kuna kitu wanafundishwa kinaitwa to think as a reasonable person!
Hapa ndo ililo tofauti kati ya Wanasheria na professionals wengine. Wanasheria wanafikiri sana kwenye kufanya maamuzi!
Tuache uongo kwa mtu mwenye akili timamu na anayefikiri vizuri, ni ngumu sana kushawishiwa na CCM. Huo ndo ukweli.
Hata Duniani huko, mapinduzi makubwa yalisababishwa na Wanasheria!
Kinachoishikilia CCM ni ujinga wa watu na nguvu ya dola tu! Watu wengi nchini ni wajinga mno na huko ndio CCM hufanikiwa. Pia watu wengi hata kama hawaipendi CCM hulazimishwa kwa fedha au kutishiwa kufukuzwa kazi au biashara zao kufungwa kama hawaisapoti CCM.
Lakini penye mazingira huru na uelewa kama TLS basi CCM hawana nguvu na CDM huwa washindi.
Siyo ushawishi tu bali ni ukweli usiopingika iko siku hii nchi itatawaliwa na wanasheria.Sabato Njema!
Kama swali linavyoeleza Hapo juu.
Kûna MTU anaweza kuniambia nini kinapelelea CHADEMA kuwa na ushawishi ndani ya Chama kikubwa cha TLS chenye Taaluma muhimu ndàni ya nchi?
Nakabidhi Maiki kwèñu wataalamu.
Wale walio huru hawaogopi, wale walioajiriwa na serikali huogopa vitisho vya CCM lakini hao private advocates hawaogopi CCM kwani ni vigumu kwa CCM kuwatarget.Unàtaka kusema Wanasheria hawaogopi vitisho vya CCM?
Siyo ushawishi tu bali ni ukweli usiopingika iko siku hii nchi itatawaliwa na wanasheria.
Yaani watu 4,000 wa TLS wawe na uamuzi wa watu zaidi ya 65m?Kinachoishikilia CCM ni ujinga wa watu na nguvu ya dola tu! Watu wengi nchini ni wajinga mno na huko ndio CCM hufanikiwa. Pia watu wengi hata kama hawaipendi CCM hulazimishwa kwa fedha au kutishiwa kufukuzwa kazi au biashara zao kufungwa kama hawaisapoti CCM.
Lakini penye mazingira huru na uelewa kama TLS basi CCM hawana nguvu na CDM huwa washindi.
Kama pamoja na mawakili kulipiwa nauli lakini bado wakamchagua Mwambukusi asiyependwa na serkali basi ni hatua nzuri.Yaani watu 4,000 wa TLS wawe na uamuzi wa watu zaidi ya 65m?
TLS ipo na wanachama zaidi ya 12,000
Wale waliopiga kura hapo ni wale waliolipiwa nauli na NGO.
Kwakuwa Mawakili hawana source ya income ya uhakika!! More than 80% ni maskini wa kutupwa
Mawakili hawanatofauti na wasanii wa bongo flava kwenye kipato
Yaani watu 4,000 wa TLS wawe na uamuzi wa watu zaidi ya 65m?
TLS ipo na wanachama zaidi ya 12,000
Wale waliopiga kura hapo ni wale waliolipiwa nauli na NGO.
Kwakuwa Mawakili hawana source ya income ya uhakika!! More than 80% ni maskini wa kutupwa
Mawakili hawanatofauti na wasanii wa bongo flava kwenye kipato
Lakini tumeona hata wale walioajiriwa na serikali wanajiamini kuliko watumishi wa kada zingine na wana uwezo wa kutetea wanachokiamini nenda kwa walimu sasa ni waoga wanaogopa hata maveoWale walio huru hawaogopi, wale walioajiriwa na serikali huogopa vitisho vya CCM lakini hao private advocates hawaogopi CCM kwani ni vigumu kwa CCM kuwatarget.
Unajibu vitu bila hata ya kuelewa ujajibu nini. Ngoja nikuelimishe.Kama pamoja na mawakili kulipiwa nauli lakini bado wakamchagua Mwambukusi asiyependwa na serkali basi ni hatua nzuri.
Ni kawaida ya chadema kuwa na ushawishi hasa inapotokea sintofahamu ila tatizo hawana consistency baada ya tukio kupita nguvu ya ushawishi huwa inakua haipo, Arusha 2010-15 kwanzia wazee hadi wajukuu ilikua ni chadema ila kwa sasa ile nguvu waliyokua nayo hawana tena
Wewe ni Gen Z ukikua utaona ulichoandika ni UpumbavuMbona wabunge, Mawaziri, Rais hawafiki hawafiki elfu Tano na wanaamulia Watu 65M?
TLS ishakuwa na raisi Tundu Lissu na Fatma Karume kama wakosoaji wakubwa wa serikali.Sabato Njema!
Kama swali linavyoeleza Hapo juu.
Kûna MTU anaweza kuniambia nini kinapelelea CHADEMA kuwa na ushawishi ndani ya Chama kikubwa cha TLS chenye Taaluma muhimu ndàni ya nchi?
Nakabidhi Maiki kwèñu wataalamu.