Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Sio chama hicho tu. Hata vingine vingi kama Madaktari, Ma Engineers, na watu wa Hesabu na Fedha.Sabato Njema!
Kama swali linavyoeleza Hapo juu.
Kûna MTU anaweza kuniambia nini kinapelelea CHADEMA kuwa na ushawishi ndani ya Chama kikubwa cha TLS chenye Taaluma muhimu ndàni ya nchi?
Nakabidhi Maiki kwèñu wataalamu.
Ni njaa tu zinawatuma wengi lakini Chadema ndio mpango mzima.