Venus Star
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 26,519
- 78,311
Kwahiyo wewe ni shetani?😃😃
Shetani ni bingwa pia WA kunukuu Aya. Kazana Mzee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo wewe ni shetani?😃😃
Shetani ni bingwa pia WA kunukuu Aya. Kazana Mzee
99% ni majangili tupu ya mali za umma, taja kiongozi wa CCM hata mmoja mwadilifu
Kwa sifa hizi za mtu wa mtaani ulitegemea awe wa tofauti na alivyo? 🤪🤪Haters
Hahaaa😃😃
Shetani ni bingwa pia WA kunukuu Aya. Kazana Mzee
Kwahiyo wewe ni shetani?
Kuwa na kesi kwani ni jambo la ajabu? Hata wewe unaweza kuwa na kesi kwenye harakati za maisha1. Kwa nini wawe na Kesi?
2. Kwa nini mara Kwa mara CHADEMA inashinda Kesi Mahakamani?
Serikali haioni kama kama Siku za mbeleni ikikosa uungwaji mkono na Chama muhimu cha wanasheria itapata Hasara katika uendeshaji WA nchi, ukizingatia nchi inaongozwa na Sheria?
Vipi mikataba mibovu
Hao ndio wenye nafuu...hahahaMimi siwajui Kwa undani ila Kwa nje tuu Naweza kuona watu kama kina Polepole, Jafo, mchengerwa, wanaweza kuitwa wanaafadhali
Wanasheria wameona si sawa ati kupata fulsa mpaka uwe chawa,Watu wamechoshwa na ufisadi wa CCM
CWT has more money and influence than TLS. 😀 😀CCM = CWT
CdM = TLS.
According to Intelligence and Vision.
Majangili ya mali za ummaChadema imejipambanua kwa sifa njema. Anayeikataa chadema ni yule tu mpenzi wa mambo ya giza mambo ya Sheitwan laanaturah
CCM = CWT
CdM = TLS.
According to Intelligence and Vision.
Kitendo cha wengi wao kuwa wamejiajiri, wapo huru hawafungwi na matamko walakutishiwa nyau na serikali. Tofauti na vyama vingine, asilimia kubwa wamebanwa na mlango...hawachomoki.Mmh!
Kwa madaktari, waalimu, injinia miongoni wa Wengine siô elites?
Au ndîo Hawana elimu ya utambuzi ya raia
Choice hoi....naona unaanzisha nyuzi mfululizo zinakosa muunganiko watu wanazipita kama hawazioni.Kuwa na kesi kwani ni jambo la ajabu? Hata wewe unaweza kuwa na kesi kwenye harakati za maisha
Hawa ni wala rushwa hatari kuliko unavyodhaniMimi siwajui Kwa undani ila Kwa nje tuu Naweza kuona watu kama kina Polepole, Jafo, mchengerwa, wanaweza kuitwa wanaafadhali
Hivyo hivyo CCM over CDM, au nimekosea wapi?CWT has more money and influence than TLS. 😀 😀
Kuwa na kesi kwani ni jambo la ajabu? Hata wewe unaweza kuwa na kesi kwenye harakati za maisha
Mawakili hawana tofauti na wasanii wa bongo flava. Ndio maana asilimia kubwa ya mawakili ni matapeli kama madalali 😀 😀Kitendo cha wengi wao kuwa wamejiajiri, wapo huru hawafungwi na matamko walakutishiwa nyau na serikali. Tofauti na vyama vingine, asilimia kubwa wamebanwa na mlango...hawachomoki.
Nchi inaendeshwa kwa maono ya Rais na siyo sheria, katiba, taratibu na miongozoWanasheria wameona si sawa ati kupata fulsa mpaka uwe chawa,
Kwa nini hoi?Choice hoi....naona unaanzisha nyuzi mfululizo zinakosa muunganiko watu wanazipita kama hawazioni.
Kaka Tulia huo ni uchaguzi wa TLS sio uchaguzi Mkuu. Mbona huna amani?