AnyWayZ
JF-Expert Member
- May 30, 2022
- 4,880
- 8,424
Na huu ndo mtaji wa CCMHiyo CWT inawanachama wengi Sana
Unaweza chukua vyama vyote ukajumlisha wanachama wake wasitoboe Kwa CWT
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na huu ndo mtaji wa CCMHiyo CWT inawanachama wengi Sana
Unaweza chukua vyama vyote ukajumlisha wanachama wake wasitoboe Kwa CWT
Hawa ni wala rushwa hatari kuliko unavyodhani
Sidhani kama kuwa muajiriwa wa serikali maana yake uhuru wako unafungwa. Wengi wa walioko kwenye hivi vyama vya wafanyakazi mawazo na akili zao zinawaza teuzi. Hiki ndicho kinachowapumbaza na kuwafanya kuwa kondoo muda woteNime edit comment yangu.
Kuwa CWT most of them ni waajiriwa wa serikali so hawapo huru
And still is the poorest class of all in many aspectsCWT has more money and influence than TLS. 😀 😀
unajitahidi kubandika nyuzi huku na kule lakini wapi.Kwa nini hoi?
Unaposema akili unamaanisha nini? Yaani mwalimu aweze kukufundisha ujue kusoma na kuandika unamuona hana akili? Hahahaha!!Hivyo hivyo CCM over CDM, au nimekosea wapi?
Ila changamoto ni akili na mitazamo yao sasa🗑
Si kila anaekataa kuyumbishwa, kujipendekeza na mwenye msimamo ni chadema. Wengine hawana vyamaSabato Njema!
Kama swali linavyoeleza Hapo juu.
Kûna MTU anaweza kuniambia nini kinapelelea CHADEMA kuwa na ushawishi ndani ya Chama kikubwa cha TLS chenye Taaluma muhimu ndàni ya nchi?
Nakabidhi Maiki kwèñu wataalamu.
Kitendo cha wengi wao kuwa wamejiajiri, wapo huru hawafungwi na matamko walakutishiwa nyau na serikali. Tofauti na vyama vingine, asilimia kubwa wamebanwa na mlango...hawachomoki.
Hakika, me naona aibu kuona watoto wetu wanafundishwa na watu wapumbavu jamii ya CWT mtaji wa CCM na Rais kama Boss wa Taifa.Nchi inaendeshwa kwa maono ya Rais na siyo sheria, katiba, taratibu na miongozo
All of them wanawaza teuzi.Sidhani kama kuwa muajiriwa wa serikali maana yake uhuru wako unafungwa. Wengi wa walioko kwenye hivi vyama vya wafanyakazi mawazo na akili zao zinawaza teuzi. Hiki ndicho kinachowapumbaza na kuwafanya kuwa kondoo muda wote
Hebu tupatie ulinganisho wa umaskini wa mawakili na walimu. 😀 😀And still is the poorest class of all in many aspects
unajitahidi kubandika nyuzi huku na kule lakini wapi.
Watu hawasomi nyuzi zako zisizo na content.
Haki Tanzania ni hisani ya RaisHakika, me naona aibu kuona watoto wetu wanafundishwa na watu wapumbavu jamii ya CWT mtaji wa CCM na Rais kama Boss wa Taifa.
Hao mawakili wa ccmHebu tupatie ulinganisho wa umaskini wa mawakili na walimu. 😀 😀
Ndugu mawakili tunaishi nao huku mtaani. Wanaomba mpaka buku ya nauli.
Amefanyaje...Huyu Venus Star mbona anawakosea heshima, au bado hajapona kichaa chake?
Ndiyo upumbavu waoAll of them wanawaza teuzi.
Hawajiulizi sasa watateuliwa wangapi? Maana nafasi ni chache.
Lakini wana imani balaa ni zaidi ya waumini wa Mwamposa.
Si kila anaekataa kuyumbishwa, kujipendekeza na mwenye msimamo ni chadema. Wengine hawana vyama
Mzee I never attacked you personally. Nashangaa wewe umeanza kunizungumzia mimi.Huyu Venus Star mbona anawakosea heshima, au bado hajapona kichaa chake?
Amefanyaje...
Cwt taka taka hiyo 🤣🤣🤣🤣Kiufupi ni kuwa chadema ni cha watu walioenda shule na TLS all of them ni elites so ni rahisi kuwa na influence huko.
Kwanini labda Chadema haina ushawishi katika vyama vingine Kama CWT n.k
Kwanza wanachama asilimia kubwa ya CWT ni Watumishi wa serikali tofauti na TLS ambao ni watu huru waliojiajiri.
Kitendo cha kuwa huru umejiajiri haupo chini ya serikali maana yake unaweza kuwa logically na kuleta positive impact .
WellSijasema ulichoandika Mkûu.
Tunazungumzia ushawishi wa CHADEMA Kwa TLS.
Mtu unaweza usiwe Chama Fulani na usiwe na Chama lakini ukashawishika kuchagua Kiongozi Kutoka Chama hicho kilichokushawishi ingawaje wewe sio mwanachama
Simple tu. Waambie mawakili sasa wawafundishe. Au wafungue kesiHakika, me naona aibu kuona watoto wetu wanafundishwa na watu wapumbavu jamii ya CWT mtaji wa CCM na Rais kama Boss wa Taifa.