AnyWayZ
JF-Expert Member
- May 30, 2022
- 4,880
- 8,424
Sawa ntawambia.Simple tu. Waambie mawakili sasa wawafundishe. Au wafungue kesi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa ntawambia.Simple tu. Waambie mawakili sasa wawafundishe. Au wafungue kesi
Mzee tunaishi nao huku. 80% ya mawakilo ni matapeli. Life style ya mawakili hainatofauti na wasanii wa bongo flava. Hatuwakosei heshima bali huu ndio ukweliKuwafananisha Wanasheria na Wasanii au madalali siô heshima Kwa Wanasheria
Simple tu. Waambie mawakili sasa wawafundishe. Au wafungue kesi
Huu uzi unaenda kwa speed sana wakuu tupumzike kwanza tunywe chai.Na huu ndo mtaji wa CCM
Mzee I never attacked you personally. Nashangaa wewe umeanza kunizungumzia mimi.
Jibu hoja zangu. What is the sustainable source of revenue of TLS? Tupatie na source ya income ya mawakili.
Hayo ni maoni yako. TunayaheshimuKada ya Sheria kwèñye ûtawala na siasa ndîo Nguzo kuu inayoratibu mambo mengine.
Sheria ndîo ûtawala.
Hizo Kada ñyiñgine NI nyeti lakini siô kwèñye Ûtawala.
Rais na Dola wàpo pale Kwa sababu ya Sheria.
Hakuna nchi au Taífa Bila Sheria ila Taífa linaweza kuwepo pasipo Baadhi ya Taaluma
Ndîo maana Taaluma nyingi zimezuka juzijuzi tuu
Tupatie sasa ya wakili. Maana nona huyo jamaa anamikopo miwili. Na huenda ameshajenga nyumba yake. Na anakatwa kila mwezi.View attachment 3060287
JAMII YA WATU WAPUMBAVU HASWAAAAAAAAAA...!!
Upumbavu siyo tusi ni sifa. Jibu hoja sasa.Umesahau mara Moja hii uliponambia kuwa Mimi Gen Z, sijui nikikua, sijui upumbavu na blah blah!
Kumbe haikuwa Personal attack kwangu
Tuachane na matusi.
Mawakili Hawana source ya income kutokana na kuwa bado waô NI wachache na Pesa za Ada ya wanachama bàdo hazitoshi kujenga miradi.
Lakini hiyo haimaanishi kuwa Hawana nguvu
Ogopa sana kutegemea kundi la wajinga siku wakikugeuka kuwarudisha huwa ni kazi sana.CCM ni chama cha watu wote. Walioenda na ambao hawajaenda shule. Inatusaidia sana kupata kura nyingi kwenye uchaguzi mkuu. CHADEMA iendelee kujikita kwa wasomi na iachane na makundi mengine wanayoona ni ya wajinga.
Hayo ni maoni yako. Tunayaheshimu
Sindana ya Mtibeli imegonga Mfupa😂Huu uzi unaenda kwa speed sana wakuu tupumzike kwanza tunywe chai.
We jamaa kama una hela ni zako na familia yako tu. Sisi hazituhusuTupatie sasa ya wakili. Maana nona huyo jamaa anamikopo miwili. Na huenda ameshajenga nyumba yake. Na anakatwa kila mwezi.
CWT has more revenue and assets than TLS.
TLS makelele meengi mfukoni zero
UmemalizaKiufupi ni kuwa chadema ni cha watu walioenda shule na TLS all of them ni elites so ni rahisi kuwa na influence huko.
Kwanini labda Chadema haina ushawishi katika vyama vingine Kama CWT n.k
Kwanza wanachama asilimia kubwa ya CWT ni Watumishi wa serikali tofauti na TLS ambao ni watu huru waliojiajiri.
Kitendo cha kuwa huru umejiajiri haupo chini ya serikali maana yake unaweza kuwa logically na kuleta positive impact .
Upumbavu siyo tusi. Upubavu ni sifa kama mrefu, msomi, mwelevu nk.
Jibu sasa hoja zangu.
Kwa sababu majority ya wana sheria tunajitambua. Na tuna uwezo wa ku reasonSabato Njema!
Kama swali linavyoeleza Hapo juu.
Kûna MTU anaweza kuniambia nini kinapelelea CHADEMA kuwa na ushawishi ndani ya Chama kikubwa cha TLS chenye Taaluma muhimu ndàni ya nchi?
Nakabidhi Maiki kwèñu wataalamu.
HahahaaaOgopa sana kutegemea kundi la wajinga siku wakikugeuka kuwarudisha huwa ni kazi sana.
Kamwambie mzazi wako kuwa ni mpumbavu uje utupe mrejesho.Upumbavu siyo tusi. Upubavu ni sifa kama mrefu, msomi, mwelevu nk.
Jibu sasa hoja zangu.
Honestly nimeshindwa kuelewa umeongea utoto gani.Sijaamini kama wanasheria wa bongo ni bendera fuata upepo tu ,wanakamuliwa mambo na Chadem na genge lao la wanaharakati machawa .
Wanafuata mkumbo wa space ,chama chao kipo kupambana na serikali na sio kuisaidia ushauri wanatuhumiwa na wanasiasa walimu wasingekubari kufanya huo utoto
USSR
Haya nieleze sasa nguvu ya TLS kwenye siasa za Tanzania.Umesahau mara Moja hii uliponambia kuwa Mimi Gen Z, sijui nikikua, sijui upumbavu na blah blah!
Kumbe haikuwa Personal attack kwangu
Tuachane na matusi.
Mawakili Hawana source ya income kutokana na kuwa bado waô NI wachache na Pesa za Ada ya wanachama bàdo hazitoshi kujenga miradi.
Lakini hiyo haimaanishi kuwa Hawana nguvu
Hiyo siku ni lini mkuu?Ogopa sana kutegemea kundi la wajinga siku wakikugeuka kuwarudisha huwa ni kazi sana.