unprejudiced
JF-Expert Member
- Jan 27, 2017
- 3,503
- 2,865
Chadema hawanunuliki Kama kina Zitto,Lipumba,shibuda ,Chiyo na wengineo.Ngogwe walikuwa wanajipa umuhimu ambao hawana,ndiyo maana wanaishia kwenye Fiesta.
Hizi sera ndio zilifanya US, German, UK zifike hapo zilipo.Sera za Uhuru, Haki na Maendeleo ya Watu za chama cha CHADEMA zinazidi kuishawishi serikali ya CCM awamu ya 6 ibadilike na kurahishisha serikali ya Tanzania kuanza kuaminika na kusaidiwa na jumuiya za kimataifa pamoja na wadau wa maendeleo wa kimataifa
Tanzania Mission to the United Nations
Geneva, Switzerland
Tanzania yahudhuria Mkutano wa Baraza la Haki za Binadamu
- 30 Mar 2022
- News and Events
- 12
Picha : waziri wa sheria na katiba Mh. George Simbachawene akiwa Geneva alipokwenda kuelezea hali ya kisiasa na haki za binadamu iliyopo Tanzania ktk awamu ya 6 .
1. Tanzania yahudhuria Mkutano wa Baraza la Haki za Binadamu, ambapo Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imefanyiwa tathmini ya Haki za Binadamu. 2. Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. George Simbachawene (Mb.) ameongoza Ujumbe wa Tanzania ambapo ameeleza hatua mbalimbali zilizofanyika kwa kipindi cha mwaka mmoja kwenye masuala mbalimbali ya Haki za Binadamu nchini Tanzania ikiwemo Elimu, Afya, Haki za Watoto, Wanawake, wenye ulemavu, Haki za Kisiasa na mengine mengi. 3. Tathmini ya Tanzania imekubaliwa na Baraza hilo, nchi 23 zilizoizungumzia Tanzania kwa hatua nzuri zilizofanyika katika kuhakikisha Haki za Binadamu zinazingatiwa. Pia wamekumbusha Tanzania kuendelea kutatua changamoto zilizobaki.
Mbowe ni noma. Ni JembeNairobi, Kenya
#MboweInKenya #MwanzoTv Mahojiano maalum na Freeman Mbowe Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)
Katika mahojiano haya maalum Mwenyekiti Freeman Mbowe akizungumza kama mwana filosofia anayelingalia changamoto zinazolikumba taifa la Tanzania kiundani na kutoa mbadala wa jinsi ya kuyatatua masuala ya kiuchumi, kukuza biashara baina ya mataifa ya kiafrika za kuvuka mipaka, masuala ya kijamii, kidemokrasia, ujenzi wa taifa, mahusiano ya kimataifa na umuhimu wa kuwa na mihimili ya dola iliyo huru pamoja na taasisi zinazotekeleza sera za nchi bila kuingiliwa sana na wanasiasa bali zinazoweza kuwashauri viongozi ili nchi za Afrika hususan Tanzania iwe bora zaidi katika nyanja zote.
Source : Mwanzo TV
Alishindwa Jpm. Umoja wa Chadema umeiheshimisha kwa jamii na kuaminika zaidiWanasiasa wananunulika Sema na nani? ndo swali.
Popomalism....hakina umuhimu wowote, na wanajifanya wa muhimu kwenyw hamna, nilichogundua viongozi wote wa upinzani walimmis sana kwenda ikulu enzi za JPM kumbe wanapapemda bwana
SawaHao wanaoitwa na Rais Samia wakae naye ikulu
Kujibrand
Upo sahihiAlishindwa Jpm. Umoja wa Chadema umeiheshimisha kwa jamii na kuaminika zaidi
Lipumba amemdanganya kwamba ukiwa huru na haki. Kitu hicho ni uongo. Maana ukiwa huru na Haki Samia hapati hata asilimia 40Hawa ndiyo unataka waonekane muhimu?Beatrice kuanzia leo wewe siyo rafiki yangu tena.View attachment 2235004
Lipumba ameshatoa msimamo wake kuwa amesoma alama za nyakati,Mbatia anapambania uenyekiti wake dhidi ya wasaliti waliopandikizwa chamani ili kumsambaratisha Mtoto wa Mama Tanzania.Zitto ni mwanatimu iliyopendekeza kuwa Katiba Mpya ya wananchi wa Tanzania ya Tanganyika na Zanzibar iandikwe baada ya uchaguzi wa 2025.Je,ulitaka CDM iwasubiri watu hao kudai Katiba Mpya?Chadema wamesimama imara na misimamao Yao imewafanya waitwe ikulu Kwa heshima na siyo kwenda tu: lakini pamoja na nguvu waliyonayo kwanini wanavifanya vyama vingine kama siyo wapinzani? Akina Lipumba na Zito hata Mbatia wamepotelea Wapi kwenye ramani ya siasa?
Lakini pia kuitwa kwao ikulu kimkakati Toka Lisu akutane na Mhe. RAIS mbona kama kunawafanya akina Mdee waonekana kama wanadhalilika? Vyama vingine vitajikwamua vipi mikononi mwa CCM kama Chadema itaamua kusimana yenyewe kama inavyofanya Sasa?
Chadema ni chama makini na mahiri.Chadema ni chama makini na mahiri.
Wamepitia machungu mengi na hili ndilo limewapa credit kuwa pamoja na mateso na vifungo bado wako imara.
Jambo usilolijua ni kwama; mateso huimarisha na ukiimarishwa huja heshima.
Kuhusu vyama vingine ccm haiwezi kuwapa umuhimu sawa na chadema kwasababu wana ndimi mbili.
ACT hawakijulikani wanasimamia nini.
Na kiongozi wake hana msimamo thabiti, mara mchana mtumishi wa upinzani, usiku anakula ccm.
Mbatia alianza usaliti enzi za jiwe na alitumiwa kuhujumu ukawa na cdm.
Alienda hadi Mbeya kuwaksmpenia sijui madiwani wa ccm na kupewa rushwa kuwanunua akina Thelthini na wenzake.
Cuf hili ni chaka la ccm kitambo tu, tayari wameanza na kampeni Samia ashinde 2025.
CCM ni kama shetani.
Shetani huwa hapambani na wenye dhambi anajua ni watumishi wake bali hupambana na watakatifu na wacha Mungu ili awaangushe .
Mshana Jr
Teuzi zina wenyewe mkuu. Maoni yangu tu labda yanakuwa tofauti na ya wengine ndio maana wapo wanaodhani kuwa navizia teuzi au najikomba.Sawa mlinda ligase. Unafahamika kwa kutema pumba jukwaa nzima. Unajipendekezaga upate teuzi. Hovyooooo. Ptuuu mate usoni
Cdm ni chama pekee hapa Tanzania chenye kusimamia haki na ndiyo chama pekee cha upinzani.Chadema wamesimama imara na misimamao Yao imewafanya waitwe ikulu Kwa heshima na siyo kwenda tu: lakini pamoja na nguvu waliyonayo kwanini wanavifanya vyama vingine kama siyo wapinzani? Akina Lipumba na Zito hata Mbatia wamepotelea Wapi kwenye ramani ya siasa?
Lakini pia kuitwa kwao ikulu kimkakati Toka Lisu akutane na Mhe. RAIS mbona kama kunawafanya akina Mdee waonekana kama wanadhalilika? Vyama vingine vitajikwamua vipi mikononi mwa CCM kama Chadema itaamua kusimana yenyewe kama inavyofanya Sasa?
Wewe ndiye utakuwa ni mpumbafAkienda Zitto msaliti, Lipumba msaliti ila akienda Mbowe na Mnyika wao ni wapinzani wa maana?
Hii siasa ya wapinzani wa CCM ni ya kipumbavu sijawai kuona akili na mawazo yao ni kuitwa Ikulu tu
HAKI NA UWAZI WANAYOIPIGANIA CHADEMA YAKUMBATIWA NA SERIKALI YA AWAMU YA 6 YA CCM NA KURAHISISHA MAHUSIANO YA TANZANIA KIMATAIFA
KIKAO CHA 49 CHA UMOJA WA MATAIFA KUHUSU HAKI ZA BINADAMU : WAZIRI SIMBACHAWENE AZUNGUMZA NA TUME YA HAKI ZA BINADAMU, 'UHURU WAONGEZEKA SHERIA ZAIDI YA 400'
Tarehe 2 March 2022 Tanzania kupitia waziri wa Katiba na sheria Mh. George Simbachawene aliwasilisha ripoti ya nchi ya kukuza na kulinda haki za binadamu na uwazi zilizopo nchini Tanzania.
Source : Haki TVCivil Application forRevision No.68 of 2011, DPP vs Daudi Pete [1993] TLR22 Stivin Clemens vs Julius Pendakazi Nkwazi (Misc. Land Appeal 15 of 2020) [2022] TZHCLandD 22 (28 January 2022); | Tanzlii
Ni kwa sababu baadhi yao ambao ndio wako madarakani kwa sasa walikuwa ni washirika wa siri na chama hicho enzi za utawala wa JPM ndio maana wanafanya kila wawezalo kuhakikisha hawawajeruhi kisiasa wasije wakaanika wazi maovu yaoChadema wamesimama imara na misimamao Yao imewafanya waitwe ikulu Kwa heshima na siyo kwenda tu: lakini pamoja na nguvu waliyonayo kwanini wanavifanya vyama vingine kama siyo wapinzani? Akina Lipumba na Zito hata Mbatia wamepotelea Wapi kwenye ramani ya siasa?
Lakini pia kuitwa kwao ikulu kimkakati Toka Lisu akutane na Mhe. RAIS mbona kama kunawafanya akina Mdee waonekana kama wanadhalilika? Vyama vingine vitajikwamua vipi mikononi mwa CCM kama Chadema itaamua kusimana yenyewe kama inavyofanya Sasa?