Chadema ni chama makini na mahiri.
Wamepitia machungu mengi na hili ndilo limewapa credit kuwa pamoja na mateso na vifungo bado wako imara.
Jambo usilolijua ni kwama; mateso huimarisha na ukiimarishwa huja heshima.
Kuhusu vyama vingine ccm haiwezi kuwapa umuhimu sawa na chadema kwasababu wana ndimi mbili.
ACT hawakijulikani wanasimamia nini.
Na kiongozi wake hana msimamo thabiti, mara mchana mtumishi wa upinzani, usiku anakula ccm.
Mbatia alianza usaliti enzi za jiwe na alitumiwa kuhujumu ukawa na cdm.
Alienda hadi Mbeya kuwaksmpenia sijui madiwani wa ccm na kupewa rushwa kuwanunua akina Thelthini na wenzake.
Cuf hili ni chaka la ccm kitambo tu, tayari wameanza na kampeni Samia ashinde 2025.
CCM ni kama shetani.
Shetani huwa hapambani na wenye dhambi anajua ni watumishi wake bali hupambana na watakatifu na wacha Mungu ili awaangushe .
Mshana Jr