Kwanini CHADEMA wanawatukana sana watu wa kanda ya ziwa na kuwaita Sukuma gang?

Kwanini CHADEMA wanawatukana sana watu wa kanda ya ziwa na kuwaita Sukuma gang?

Venus Star

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2018
Posts
26,519
Reaction score
78,311
Dunia inaenda kwa haraka sana. Na mambo yaenda kwa kasi sana.

Tangu mwaka 2019 CHADEMA imekuwa na msemo wa kuwaita watu wa kanda ya ziwa sukuma gang.

Nimekuwa na jiuliza kwa muda mrefu sana ni nini sababu ya hawa watu kuwaita watanzania wenzao majina yenye kuashiria kutugawa watanzania? Mpaka leo natafuta kujua hawa CHADEMA wapo na lengo gani na jambo hili?

Maana ukipitia kwenye mitandao ya kijamii taarifa nyingi wanazieneza na kuwatusi watanzania wa kanda ya ziwa. Sujui lengo kubwa ni nini?
1674037030360.png


Sasa nawaombeni wenzangu humu JF tujadili suala hili tulimalize. Hawa CHADEMA lengo lao ni nini kuanza kuwasakama watu wa kanda ya ziwa?
 
Wengi wanoshabikia ubaguzi huu ni wafuasi au wakeleketwa wa CHADEMA. Je, wanataka kutugawa watanzania?
Ona hapa chini Wote hawa ni wafuasi wa CHADEMA. Hivi ni kwanini?

1674037380484.png
 
Dunia inaenda kwa haraka sana. Na mambo yaenda kwa kasi sana.

Tangu mwaka 2019 CHADEMA imekuwa na msemo wa kuwaita watu wa kanda ya ziwa sukuma gang...
Hayo mambo ya Sukuma Gang na Msoga Gang ni vita yenu wenyewe huko CCM msitake kuihusisha Chadema kwenye maujinga yenu. Tuliwaambia mkishamaliza wapinzani mtaanza kuumana wenyewe kwa wenyewe
 
Hebu angalia huku. Wanaoeneza suala hili ni wafuasi wa CHADEMA. hawa watu wana nini jamani?

1674037726872.png


1674037767111.png
 
Jobo awe mgombea urais wa 2025?!

Naisubiri hiyo nguvu yao kwa hamu niione, kama ikitokea kweli akawa, nitawapigia salute!

Anyway, hili jina SG lilianzia kwa jamaa kule twitter ambaye siku hizi yupo CCM, so better mumuulize yule mwanachama mwenzenu.
 
Ona kila kona vijana wao wa CHADEMA wametumwa kuwatukana kanda ya ziwa. Kwanini mnafanya hivi. Mnatuumiza sana watanzania. Mnataka kutugawa kikanda?

1674038027893.png
 
Vijana wengi walitumwa na CHADEMA kuwachafua kanda ya ziwa na kuwaita Sukumagang. Hivi ni kwanini? Nauliza nipate jibu.

1674038158246.png
 
Hawa vijana wanalengo gani na kanda ya ziwa?

1674038310945.png
 
Wengi wanoshabikia ubaguzi huu ni wafuasi au wakeleketwa wa CHADEMA. Je, wanataka kutugawa watanzania?
Ona hapa chini Wote hawa ni wafuasi wa CHADEMA. Hivi ni kwanini?

View attachment 2486046

Naona unaongea na kujijibu mwenyewe. Sukuma gang sio kabila kama wañaccm mliochoka mnavyotaka tuamini. Sukuma gang ni viongozi wote walioshirikiana na Magufuli kufanyia wapinzani wao wa kisiasa ukatili wa wazi. Wengi wa viongozi hao waliojinasibu na ukatilili wa Magufuli walikuwa ni kutoka kanda ya ziwa, na walashiriki uovu ule katika kile kinachoitwa ni zamu yetu kula nchi. Kwahiyo usitake kuchanganya watu wa kanda ya ziwa, na kundi haramu la sukuma gang lililokuwa chini ya Magufuli.
 
Tunaumia sana ninyi CHADEMA mnapotaka kutugawa watanzania
1674038508369.png
 
Naona unaongea na kujijibu mwenyewe. Sukuma gang sio kabila kama wañaccm mliochoka mnavyotaka tuamini. Sukuma gang ni viongozi wote walioshirikiana na Magufuli kufanyia wapinzani wao wa kisiasa ukatili wa wazi. Wengi wa viongozi hao waliojinasibu na ukatilili wa Magufuli walikuwa ni kutoka kanda ya ziwa, na walashiriki uovu ule katika kile kinachoitwa ni zamu yetu kula nchi. Kwahiyo usitake kuchanganya watu wa kanda ya ziwa, na kundi haramu la sukuma gang lililokuwa chini ya Magufuli.
Kwahiyo wasukuma hawapo Mwanza? Kwanini uwatukane wasukuma?
 
Back
Top Bottom