Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Hautafanikiwa kwa kuwagawa watanzania kikabila. Mnatakiwa mtueleze kwanini mnawaita kanda ya ziwa Sukuma Gang?
Wote hawa hapa ni wafuasi wa CHADEMA
View attachment 2486112
Wenzako wameshakimbia hapa jukwaani ,naona ww umekuja kujaribu kuleta propaganda mfu ukutegemea utamtisha mtu. Pita na kipaza sauti hapo Mwanza waambie huu utoto wako, lakini jumamosi utafurahia show.