Kwanini CHADEMA wanawatukana sana watu wa kanda ya ziwa na kuwaita Sukuma gang?

Kwanini CHADEMA wanawatukana sana watu wa kanda ya ziwa na kuwaita Sukuma gang?

Sio kitu cha kuuliza, kila kitu kiko vizuri, na hilo nyomi la jmos watajua hawajui. Hawa wanaotaka kulinasibisha kabila la wasukuma na ukatili wa Magufuli, waambie wajitokeza hiyo jumamosi washuhudie jambo wasilotaka kuliona.

Cha muhimu ni wazungumzaji kwenye huo mkutano wa CDM wajue namna ya kushusha NONDO za uhakika. Wasipandishe vijana wenye mihemko, wakaongea maneno ya kizushi kisha CCM wakapata mwanya.
Halafu kwanini CHADEMA walianzisha hili neno?
 
Sukuma Gang ni masalia ya yule dhalim wa kihutu toka Chato. Masalia hao wanatoka pande mbali mbali za nchi hii,Sabaya, Ndungai,Aly Hapi, Jerry Muro,Sheiza wa JF na wengineo.
 
Wanachadema mtuambia kwanini mnawatenga kanda ya ziwa? Kwanini mnawaita Sukuma gang?
 
Sukuma Gang ni masalia ya yule dhalim wa kihutu toka Chato. Masalia hao wanatoka pande mbali mbali za nchi hii,Sabaya, Ndungai,Aly Hapi, Jerry Muro,Sheiza wa JF na wengineo.
Kwanini mnatumia jina la kabila la wasukuma? Kwani hakuna jina lingine?
 
Sukuma Gang ni masalia ya yule dhalim wa kihutu toka Chato. Masalia hao wanatoka pande mbali mbali za nchi hii,Sabaya, Ndungai,Aly Hapi, Jerry Muro,Sheiza wa JF na wengineo.
Ona unaendeleza ukabila tu. Na kuleta kejeli. Kwahiyo chato haifai kuwepo Tanzania? Kwanini unaleta siasa za kibaguzi? Hivi nyie CHADEMA mtaacha lini ubaguzi? Unataka kuanza kuwabagua watanzania?
 
Dunia inaenda kwa haraka sana. Na mambo yaenda kwa kasi sana.

Tangu mwaka 2019 CHADEMA imekuwa na msemo wa kuwaita watu wa kanda ya ziwa sukuma gang.

Nimekuwa na jiuliza kwa muda mrefu sana ni nini sababu ya hawa watu kuwaita watanzania wenzao majina yenye kuashiria kutugawa watanzania? Mpaka leo natafuta kujua hawa CHADEMA wapo na lengo gani na jambo hili?

Maana ukipitia kwenye mitandao ya kijamii taarifa nyingi wanazieneza na kuwatusi watanzania wa kanda ya ziwa. Sujui lengo kubwa ni nini?
View attachment 2486017

Sasa nawaombeni wenzangu humu JF tujadili suala hili tulimalize. Hawa CHADEMA lengo lao ni nini kuanza kuwasakama watu wa kanda ya ziwa?
Yaani 2023 bado unatuletea Tweet za 2021 .... Two years ago!!
 
Naona kama umeshanasa kwenye propaganda mfu ya ukabila. Ni wapi CDM wana tatizo na kabila lolote? Boss nilikuwa nakuona muelewa kumbe unaweza kuchotwa kirahisi na hawa mafala wa CCM. Yaani toka hiz propaganda za kufala zianze hapa jukwaani hujajua ni vikundi vya propaganda za kizee vya CCM wanajaribu kuwatisha CDM?

Na ww umeingia kichwa kichwa ukiona kama CDM wana la kujibu kwenye propaganda mfu. Jinoe vizuri usichukuliwe kirahisi na propaganda mfu boss. CCM wameshapanic wanajua hiyo mikutano itawaacha pabaya, kwani wanajua ushindi waliojipa 2020 haukuwa halali. Hapa unachezewa mind game na ww unacheza ngoma yao!
Najua anafanya propaganda kuwahusisha CDM na jambo Hilo,

Bt issue hii ni tatizo la vyama vyote.

Ndomana nawambia pia CCM waache propaganda mfu.

Tupo pamoja Ktk issues zenye maslah mapana yanchi ndugu TINDO.
 
Dunia inaenda kwa haraka sana. Na mambo yaenda kwa kasi sana.

Tangu mwaka 2019 CHADEMA imekuwa na msemo wa kuwaita watu wa kanda ya ziwa sukuma gang.

Nimekuwa na jiuliza kwa muda mrefu sana ni nini sababu ya hawa watu kuwaita watanzania wenzao majina yenye kuashiria kutugawa watanzania? Mpaka leo natafuta kujua hawa CHADEMA wapo na lengo gani na jambo hili?

Maana ukipitia kwenye mitandao ya kijamii taarifa nyingi wanazieneza na kuwatusi watanzania wa kanda ya ziwa. Sujui lengo kubwa ni nini?
View attachment 2486017

Sasa nawaombeni wenzangu humu JF tujadili suala hili tulimalize. Hawa CHADEMA lengo lao ni nini kuanza kuwasakama watu wa kanda ya ziwa?
Gwajiboy ashatolea ufafanuz juu ya hii, maan huko alipo alikanusha kua kiongoz wa push gang!!
 
Yaani 2023 bado unatuletea Tweet za 2021 .... Two years ago!!
Umesoma uzi wangu? Naeleza kwanini hawa CHADEMA waliazisha hili jambo la kuwatukana watu wa kanda ya ziwa? Mimi hapa nataka jibu. Iwe tweet ya 2000 au 2021 ninahaki ya kupatiwa jibu.
Au wewe unaonaje?
 
Dunia inaenda kwa haraka sana. Na mambo yaenda kwa kasi sana.

Tangu mwaka 2019 CHADEMA imekuwa na msemo wa kuwaita watu wa kanda ya ziwa sukuma gang.

Nimekuwa na jiuliza kwa muda mrefu sana ni nini sababu ya hawa watu kuwaita watanzania wenzao majina yenye kuashiria kutugawa watanzania? Mpaka leo natafuta kujua hawa CHADEMA wapo na lengo gani na jambo hili?

Maana ukipitia kwenye mitandao ya kijamii taarifa nyingi wanazieneza na kuwatusi watanzania wa kanda ya ziwa. Sujui lengo kubwa ni nini?
View attachment 2486017

Sasa nawaombeni wenzangu humu JF tujadili suala hili tulimalize. Hawa CHADEMA lengo lao ni nini kuanza kuwasakama watu wa kanda ya ziwa?
Ujinga utakuisha lini? Nani kakwambia sukuma gang ni wasukuma?
 
Gwajiboy ashatolea ufafanuz juu ya hii, maan huko alipo alikanusha kua kiongoz wa push gang!!
Sawa kabisa kwanini sasa wasingetumia neno push wakatumia neno la kabila? na hawa CHADEMA ndio wanaendelea kuwatukana watu wa kanda ya Ziwa. Wamo humu JF tunaziona comments zao.
Nauliza kwanini sasa CHADEMA wanafanya hivyo? Lengo lao ni kutugawa watanzania?
 
Ona sasa. Ulivyomweupe kichwani. Unaendelea kutukana na kutusi mtu ambaye hayupo duniani. Nimekuuliza kwanini
Unawatukana wasukuma? Sukuma Gang maana yake ni nini? Kwanini utumie jina la kabila la wasukuma? Ulikosa jina lingine?
Lazima unyooshe maelezo. Sisi watanzania siyo wajinga.

Kwani dhalimu alipokuwa anajiita msukuma hakuwa na kabila lake?
 
Ujinga utakuisha lini? Nani kakwambia sukuma gang ni wasukuma?
Sukuma maana yake ni nini?
Na gang maana yake ni nini? Wewe mwelevu.
Je, Tanzania kuna kabila linaloitwa sukuma?
 
Kwani dhalimu alipokuwa anajiita msukuma hakuwa na kabila lake?
Jibu swali langu mzee.
Je tanzania kuna kabila liitwalo sukuma?
Je, gang maana yake nini?
Je kabila hilo lipo wapi hapa Tanzania?
 
Wanachadema mtuambia kwanini mnawatenga kanda ya ziwa? Kwanini mnawaita Sukuma gang?
Haitasaidia kuvuruga mkutano wa jumamosi.

Watu Wana hamasa ya kutosha Kumuona mtu MAARUFU zaidi mwaka 2022 Tanzania. Na kusikiza Sera za CDM.

Ndugu AIKAELI FREEMAN MBOWE.
 
Umesoma uzi wangu? Naeleza kwanini hawa CHADEMA waliazisha hili jambo la kuwatukana watu wa kanda ya ziwa? Mimi hapa nataka jibu. Iwe tweet ya 2000 au 2021 ninahaki ya kupatiwa jibu.
Au wewe unaonaje?

Huu ni uzi ama utoto?
 
Mbona unajitia kimbelembele sana wewe! Kanda ya ziwa ni mali ya wasukuma?
Kumbe Sukuma Gang ni wasukuma pekee yao. Asante kwa kunielewesha.
Sasa kwanini CHADEMA wanawatenga wasukuma?
 
Back
Top Bottom