Kwanini CHADEMA wanawatukana sana watu wa kanda ya ziwa na kuwaita Sukuma gang?

Kwanini CHADEMA wanawatukana sana watu wa kanda ya ziwa na kuwaita Sukuma gang?

Kwahiyo wasukuma hawapo Mwanza? Kwanini uwatukane wasukuma?

Narudia tena, sukuma gang sio kabila, bali ni kundi haramu liliondesha ukatilili wa wapinzani wao wa kisiasa. Na wengi waliojihusisha na kundi hilo haramu walikuwa ni viongozi toka kanda ya ziwa. Na walishiriki uovu ule ili kujipatia mapato kwa njia haramu na ya vitisho. Labda useme wasukuma wote walishiriki uhayawani alioendesha Magufuli kwenye nchi hii. Isitoshe hata huyo Magufuli hakuwa msukuma, bali alijinasibisha na kabila hilo ili kujipatia mtaji wa kisiasa wa bei rahisi.
 
Ona wanavyowachafua watu wa kanda ya ziwa. Jamani 😪😪😪😪

1674038864789.png
 
Narudia tena, sukuma gang sio kabila, bali ni kundi haramu liliondesha ukatilili wa wapinzani wao wa kisiasa. Na wengi waliojihusisha na kundi hilo haramu walikuwa ni viongozi toka kanda ya ziwa. Na walishiriki uovu ule ili kujipatia mapato kwa njia haramu na ya vitisho. Labda useme wasukuma wote walishiriki uhayawani alioendesha Magufuli kwenye nchi hii. Isitoshe hata huyo Magufuli hakuwa msukuma, bali alijinasibisha na kabila hilo ili kujipatia mtaji wa kisiasa wa bei rahisi.
Kwanini utumie neno au jina la kabila. Kwani hakuna jina lingine? Ndio maana ninauliza kwanini wanawatusi watu wa kanda ya ziwa ambao ni zaidi ya 30% ya population ya Tanzania? Lengo ni kutugawa au lengo ni lipi?
 
Narudia tena, sukuma gang sio kabila, bali ni kundi haramu liliondesha ukatilili wa wapinzani wao wa kisiasa. Na wengi waliojihusisha na kundi hilo haramu walikuwa ni viongozi toka kanda ya ziwa. Na walishiriki uovu ule ili kujipatia mapato kwa njia haramu na ya vitisho. Labda useme wasukuma wote walishiriki uhayawani alioendesha Magufuli kwenye nchi hii. Isitoshe hata huyo Magufuli hakuwa msukuma, bali alijinasibisha na kabila hilo ili kujipatia mtaji wa kisiasa wa bei rahisi.
Na ni kwanini wafuasi wa CHADEMA waendelea kuwasakama kila mtu anayetoka kanda ya ziwa anatukanwa na kunyanyaswa ki mtandao?

1674039062267.png
 
Kwanini utumie neno au jina la kabila. Kwani hakuna jina lingine? Ndio maana ninauliza kwanini wanawatusi watu wa kanda ya ziwa ambao ni zaidi ya 30% ya population ya Tanzania? Lengo ni kutugawa au lengo ni lipi?

Rudi shule ukajifunze propaganda, hii ni ya kizee mno. CDM wako hapo Mwanza na watapiga show ya kibabe. Hutaki kaite sukuma gang wenzako mnywe sumu.
 
Rudi shule ukajifunze propaganda, hii ni ya kizee mno. CDM wako hapo Mwanza na watapiga show ya kibabe. Hutaki kaite sukuma gang wenzake mnywe sumu.
Vijana wa CHADEMA wanaendelea kuwatuma vijana kuwachafua watu wa kanda ya ziwa.

1674039215261.png
 
Nimewasikia pia Wana CCM wakiwatuhumu watu kuwaita Kwa Jina Hilo majukwwaani,

Waache mara moja CCM TABIA hizo.

Hazijengi Nchi.
 
Na ni kwanini wafuasi wa CHADEMA waendelea kuwasakama kila mtu anayetoka kanda ya ziwa anatukanwa na kunyanyaswa ki mtandao?

View attachment 2486088
Sio kwamba hilo jina litasimama, hilo jina liko hapo hapo na hakuna kitu chochote utakachofanya wewe na sukuma gang wenzio. Ukatili uliondeshwa magufuli dhidi ya wapinzani wake kisiasa uko wazi, labda useme na kabila la wasukuma nali lilishiriki unyama ule. Na ukitaka kueneza hiyo propaganda chukua gari la matangazo uzunguke mji mzima wa Mwanza, kisha useme wasukuma wanaitwa sukuma gang na CDM. Lakini Jmos utaona nyomi la ukweli. Jiandae kumeza chuma, kisha unye Boga.
 
Sio kwamba hilo jina litasimama, hilo jina liko hapo hapo na hakuna kitu chochote utakachofanya wewe na sukuma gang wenzio. Ukatili uliondeshwa magufuli dhidi ya wapinzani wake kisiasa uko wazi, labda useme na kabila la wasukuma nali lilishiriki unyama ule. Na ukitaka kueneza hiyo propaganda chukua gari la matangazo uzunguke mji mzima wa Mwanza, kisha useme wasukuma wanaitwa sukuma gang na CDM. Lakini Jmos utaona nyomi la ukweli. Jiandae kumeza chuma, kisha unye Boga.
Ogopa teknolojia mzee. Unawatukana watu kwa lengo la kuwagawa kikabila? Unawatukana na kuwaita Sukuma gang!!!
Sisi watanzania ni wamoja. Hatutaki mambo ya ubaguzi

1674039530642.png
 
Dunia inaenda kwa haraka sana. Na mambo yaenda kwa kasi sana.

Tangu mwaka 2019 CHADEMA imekuwa na msemo wa kuwaita watu wa kanda ya ziwa sukuma gang.

Nimekuwa na jiuliza kwa muda mrefu sana ni nini sababu ya hawa watu kuwaita watanzania wenzao majina yenye kuashiria kutugawa watanzania? Mpaka leo natafuta kujua hawa CHADEMA wapo na lengo gani na jambo hili?

Maana ukipitia kwenye mitandao ya kijamii taarifa nyingi wanazieneza na kuwatusi watanzania wa kanda ya ziwa. Sujui lengo kubwa ni nini?
View attachment 2486017

Sasa nawaombeni wenzangu humu JF tujadili suala hili tulimalize. Hawa CHADEMA lengo lao ni nini kuanza kuwasakama watu wa kanda ya ziwa?
Awajitambi itawagalimu
 
Sio kwamba hilo jina litasimama, hilo jina liko hapo hapo na hakuna kitu chochote utakachofanya wewe na sukuma gang wenzio. Ukatili uliondeshwa magufuli dhidi ya wapinzani wake kisiasa uko wazi, labda useme na kabila la wasukuma nali lilishiriki unyama ule. Na ukitaka kueneza hiyo propaganda chukua gari la matangazo uzunguke mji mzima wa Mwanza, kisha useme wasukuma wanaitwa sukuma gang na CDM. Lakini Jmos utaona nyomi la ukweli. Jiandae kumeza chuma, kisha unye Boga.
Usiwahusishe wasukuma na mambo ya kipuuzi,

Magu hakuwa msukuma.

Sisi ni WATANZANIA,

chama makini hujenga hoja Si kuwaweka watu ktk makundi.
 
Kama ulishiriki kwenye ukatili wa Magufuli, hatujali unatokea kanda ya ziwa, ya kusini, kaskazini nk, uwe msukuma, mjaluo, mpare, mzaramo nk, ww ni sukuma gang fullstop.
Hautafanikiwa kwa kuwagawa watanzania kikabila. Mnatakiwa mtueleze kwanini mnawaita kanda ya ziwa Sukuma Gang?
Wote hawa hapa ni wafuasi wa CHADEMA

1674039759895.png
 
Chadema haina ugomvi na Wasukuma wala kanda ya Ziwa,hii propaganda yako ilishafeli kitambo sana. Mimi ni Msukuma lakini sikuwahi kumshabikia yule Mhutu aliyejivika usukuma. Nyie masalia yake hamna akili kila siku mnarudia kitu hicho hicho kilichofeli. Usipoteze muda wako,it won't work!!!
 
Ogopa teknolojia mzee. Unawatukana watu kwa lengo la kuwagawa kikabila? Unawatukana na kuwaita Sukuma gang!!!
Sisi watanzania ni wamoja. Hatutaki mambo ya ubaguzi

View attachment 2486099
Usiweke hapa mitandaoni maana haionekani vizuri, nenda uwanja wa furahisha ukaweke hii post, au kahawa vipeperushi mzima wa Mwanza waone huu ujumbe wako. Lakini Jmos utacheka kichina.
 
Usiwahusishe wasukuma na mambo ya kipuuzi,

Magu hakuwa msukuma.

Sisi ni WATANZANIA,

chama makini hujenga hoja Si kuwaweka watu ktk makundi.

Boss unajichanganya na mimi nini?
 
Usiweke hapa mitandaoni maana haionekani vizuri, nenda uwanja wa furahisha ukaweke hii post, au kahawa vipeperushi mzima wa Mwanza waone huu ujumbe wako. Lakini Jmos utacheka kichina.
Ninataka jibu lengo lenu la kuwaita kanda ya ziwa sukuma gang ni nini?

1674039988076.png
 
Back
Top Bottom