Kwanini China haina Waafrika?

Nchi za Asia, mashariki ya kati hata na Ulaya mashariki ni wabaguzi sana wanawaona watu weusi kama nyani tu nafuu hata wa Ulaya magharibi na Marekani kwa kiasi fulani wanatustahi watu weusi.

Kuna kitu hapa naona wengi hawaelewi, wakati wa biashara haramu ya utumwa watu weusi walipelekwa utumwani hadi China lkn wasingeweza kuzaana kwa sababu waarabu waliokuwa wakiwachuuza waliwahasi watumwa wote wa kiume kabla ya kuwasafirisha utumwani.
 
Duuuuuh
 
Katika miaka 40 iliyopita uliwahi kuona mchina kwenye uongozi wa africa? Mzungu je?
 
Sorry mkuu hivi kwa hapa Afrika China ipo nchi gani?
 
Umemaliza kila kitu mkuu. Hasa hiyo point namba 3.
 
Ukafanye nini kule.......watu wenyewe wanajiita wako dunia ya kwanza lakini wanakura mpaka panya kama ndugu zetu wa Newala umakondeni huko.........shida tupu chura mende papasi kunguni kwao ni viungo vya mboga
 
Popote walipo watu weusi katika Dunia hii ni kero tupu.

Wana imani za kipumbavu za kishirikina, Wanauana wenyewe kwa wenyewe, wanafitiniana, hawapendani, ni Wachafu na hawawezi kutumia vizuri akili zao au uwezo wa kufikiri katika maendeleo...mbaya zaidi hawawezi hata kujiongoza

Watu weusi ni Tatizo Duniani
 
Eeehh
Eeeh, eeeh, eeeh, sawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…