Kwanini dhehebu la SDA huwa wanalishambiulia zaidi Kanisa Katoliki na siyo madhehebu mengine?

Kwanini dhehebu la SDA huwa wanalishambiulia zaidi Kanisa Katoliki na siyo madhehebu mengine?

Na jipya likishaanza kazi, kuukuu hukaa pembezoni.

Wakristo wanaishi katika Agano Jipya, Agano lililo bora zaidi ambalo Mdhamini wake ni Yesu Kristo.
Kabisa kabisa mkuu. Waache na agano lao la kale utazani wao ji waisrael
 
Jamani yani mnahangaika sana na hiis sheria. Swali langu kwako ni sabato zilikua ngapi na zilikua za aina gani? Sabato ilitolewa kwa kusudi gani na kwa nani? Sabato ilikua agano jipya au la kale? Je kuna sehemu Yesu na mitume wake wanasisitiza kufuata sabato? Sabato ambayo paulo na mitume wengine walikuja kuongelea ilikua sabato gani?
 
Angalia mtazamo wa Wasabato juu ya ubatizo.

Baptism is also used in church membership categories, but this is not an issue of salvation. It’s just an administrative method of keeping up with a large family of believers.
Uwe unanukuu vitu ambavyo una uhakika navyo, vinginevyo utakuwa unajidanganya mwenyewe na unawapoteza wale ambao ni wavivu wa kuthibitisha taarifa.

Taarifa ni hii, ubatizo tena wa maji mengi ni mojawapo ya masuala muhimu sana katika kanisa la Sabato na haifanyiki bora liwe, na ndio maana anabatizwa mtu ambae anajua mema na mabaya (kuanzia miaka 12 na kuendelea tena baada ya mafunzo) na kuna darasa maalum kwa wabatizwa wapya ili wajue biblia na misingi ya kanisa

Na kwenye ubatizo ni lazima umkiri Yesu kuwa ni Bwana na Mwokozi wako na unaahidi kuishi maisha yenye kumpendeza Mungu na wanadamu kwa kuepuka yote yasiyofaa.
 
Uwe unanukuu vitu ambavyo una uhakika navyo, vinginevyo utakuwa unajidanganya mwenyewe na unawapoteza wale ambao ni wavivu wa kuthibitisha taarifa.

Taarifa ni hii, ubatizo tena wa maji mengi ni mojawapo ya masuala muhimu sana katika kanisa la Sabato na haifanyiki bora liwe, na ndio maana anabatizwa mtu ambae anajua mema na mabaya (kuanzia miaka 12 na kuendelea tena baada ya mafunzo) na kuna darasa maalum kwa wabatizwa wapya ili wajue biblia na misingi ya kanisa

Na kwenye ubatizo ni lazima umkiri Yesu kuwa ni Bwana na Mwokozi wako na unaahidi kuishi maisha yenye kumpendeza Mungu na wanadamu kwa kuepuka yote yasiyofaa.
Nice 👍. Ngoja Leo nihamie kwako na wasabato wote.

Je mnabatiza kwa jina gani?
 
Hata wewe ni Msabato. Hivi umewahi walau muda ukafuatilia ibada ya RC? Kila siku ina neno la Tafakari kutoka katika Biblia, hapa nasisitiza, kila siku ina neno lake la Tafakari na kila siku kuna Ibada, halafu anakuja mtu kusema eti Biblia haitumiwi RC. Nitajie siku yoyote mwaka huu nikupe neno la siku hiyo halafu uangalie linatoka nje au ndani ya Biblia.
Vitu vingine muwe mnauliza. Katekisimu ni kama syllabus ya mafundisho, mtoto wa Form One huwezi kumpa hesabu ya Integration, vivyo hivyo Katekisimu inaonyesha mtiririko wa mafundisho, lakini contents zote zinatoka kwenye Biblia, sasa hapo RC wapongezwe au walaumiwe? Maana RC wanaamini katika elimu, haiwezekani ukasoma Biblia kwa kukariri maandishi bila kuelewa mantiki ya andiko.
Sawa sio kwa ubaya, kwanini linapokuja suala la baadhi ya vifungu kama hivyo biblia huwa mnaruka ruka kama ndege badala ya kueleza ukweli

Issue ni ndogo sana, suala kama usihifanyie sanamu ya kuchonga hii imeandikwa kwenye biblia na ni mojawapo ya amri kuu 10 za Mungu

Kwanini mnapingana naye??, Mnatengeneza masanamu mengi tu kwa mikono yenu wenyewe na kuyasujudia (mfano sanamu la Mwanamke mmelibatiza kuwa ni Maria) watu wanapiga magoti mbele yake wanasujudu na kuomba kufunguliwa??

Mbele ya mfuko wa simenti na nondo kadhaa kweli??
 
Na ibada ya masanamu ilikuwepo kabla ya kanisa na mnaitekeleza mpaka leo, hivi inakuaje mtu na akili zako timamu unasujudu mbele ya sanamu la mwanamke halagu mnamwita mama wa masihi?, Unajifanyiaje sanamu la kuchonga na unaamini lina baraka wakati limetengenezwa na fundi mwenye mikono kama wewe?
Utakuwa una funza kichwani. Umesoma vizuri kitabu cha hesabu 24. 8-9. Muwe mnasoma na kuelewa Mungu hajakataza sanamu wala images ila kuzipa uhai na kuamini zina nguvu zenyewe kama zenyewe. Otherwise asingetoa maelekezo inatengenezwe sanamu ya nyoka, au makerubi nk. Sisi tunajitambua hatukurupuki , hakuna mkatoliki anaabudu sanamu mzee, shauri lako. Tuna akili sana tu tena mpaka zinamiminika na sanamu hatuachi kuzitumia kwakuwa hazijakatazwa kwa matumizi yasiomkera Mungu. Alafu kama unaamini Yesu ni Mungu alafu mamaake unataka tumuite mama wa nani?🤷🏿‍♂️ waprotestanti bana. Mmepoteana na kupotea😂
 
Utakuwa una funza kichwani. Umesoma vizuri kitabu cha hesabu 24. 8-9. Muwe mnasoma na kuelewa Mungu hajakataza sanamu wala images ila kuzipa uhai na kuamini zina nguvu zenyewe kama zenyewe. Otherwise asingetoa maelekezo inatengenezwe sanamu ya nyoka, au makerubi nk. Sisi tunajitambua hatukurupuki , hakuna mkatoliki anaabudu sanamu mzee, shauri lako. Tuna akili sana tu tena mpaka zinamiminika na sanamu hatuachi kuzitumia kwakuwa hazijakatazwa kwa matumizi yasiomkera Mungu. Alafu kama unaamini Yesu ni Mungu alafu mamaake unataka tumuite mama wa nani?[emoji2379] waprotestanti bana. Mmepoteana na kupotea[emoji23]
Jamaa unasoma Biblia halafu unachimbua utakavyo wewe, daaaaah binadamu bhana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Utakuwa una funza kichwani. Umesoma vizuri kitabu cha hesabu 24. 8-9. Muwe mnasoma na kuelewa Mungu hajakataza sanamu wala images ila kuzipa uhai na kuamini zina nguvu zenyewe kama zenyewe. Otherwise asingetoa maelekezo inatengenezwe sanamu ya nyoka, au makerubi nk. Sisi tunajitambua hatukurupuki , hakuna mkatoliki anaabudu sanamu mzee, shauri lako. Tuna akili sana tu tena mpaka zinamiminika na sanamu hatuachi kuzitumia kwakuwa hazijakatazwa kwa matumizi yasiomkera Mungu. Alafu kama unaamini Yesu ni Mungu alafu mamaake unataka tumuite mama wa nani?🤷🏿‍♂️ waprotestanti bana. Mmepoteana na kupotea😂
Sio tu funza we utakuwa na mabungu kichwani, maana unasoma biblia kama gazeti badala ya maandiko matakatifu, hesabu 24 8-9 hivi umeisoma kweli au umekurupuka??

Ni hivi biblia hausomi kama gazeti la michezo inahitaji uielewe, chochote alichoagiza Mungu kilikuwa na maana na ndio maana alitoa Amri 10 za Mungu na alisema usijifanyie sanamu ya kuchonga akimaanisha huwezi ukakaa tu na kujiamulia sharti akuagize yeye na sio vinginevyo

Unaongelea sanamu la nyoka jangwani ndio imehalalisha nyie kutengeneza sanamu, je alimuamuru Mussa kufanya hivyo kwa sababu gani??, Na je walilisujudia lile sanamu si ilikuwa kuangalia tu??.

Mungu alivyomuamuru Mussa kutupa fimbo igeuke nyoka je na nyie mtafanya hivyo??, Si mnakataa ni ushirikina kufanya hivyo, vipi Ibrahimu kumtoa Sadaka Isaka? Je alihalalidha kafara ya damu?? Hizi zote aliamuru kwa sababu vinginevyo tungeiga kila kitu
Utakuwa una funza kichwani. Umesoma vizuri kitabu cha hesabu 24. 8-9. Muwe mnasoma na kuelewa Mungu hajakataza sanamu wala images ila kuzipa uhai na kuamini zina nguvu zenyewe kama zenyewe. Otherwise asingetoa maelekezo inatengenezwe sanamu ya nyoka, au makerubi nk. Sisi tunajitambua hatukurupuki , hakuna mkatoliki anaabudu sanamu mzee, shauri lako. Tuna akili sana tu tena mpaka zinamiminika na sanamu hatuachi kuzitumia kwakuwa hazijakatazwa kwa matumizi yasiomkera Mungu. Alafu kama unaamini Yesu ni Mungu alafu mamaake unataka tumuite mama wa nani?🤷🏿‍♂️ waprotestanti bana. Mmepoteana na kupotea😂
We utakuwa na mabungu kichwani, si bure hivi biblia unaisoma kama gazeti ama??

Amri 10 za Mungu zinasemaje? Usijifanyie sanamu ya kuchonga kwanini nyie mnajifanyia? Tena mnaiabudu na kuisujudia kabisa

Kwani ni uongo sanamu la Bikira Maria hampigu magoti mbele yake na kurusha sadaka kabisa??


Unaongelea issue ya sanamu la nyoka iliyotengenezwa na Mussa kwa maelekezo ya Mungu kuwa ndio imewapa ruhusa kutengeza masanamu, kumbuka lile lilikuwa ni agizo la moja kwa moja kutoka kwa Mungu na kwa sababu maalum

Maelekezo ya moja kwa moja kutoka kwa Mungu yalifanyika mengi mbona hamuyaigi???

Alimuamrisha Musa atupe fimbo iwe nyoka, leo mtu akifanya hivyo si mnasema ushirikina?,
Aliamuru Ibrahimi amtoe zaka Isaka etc

Mwisho kabisa kula chuma hiko

2 Wakorintho 6:16
[16]Tena pana mapatano gani kati ya hekalu la Mungu na sanamu? Kwa maana sisi tu hekalu la Mungu aliye hai; kama Mungu alivyosema, ya kwamba, Nitakaa ndani yao, na kati yao nitatembea, nami nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu.
And what agreement hath the temple of God with idols? for ye are the temple of the living God; as God hath said, I will dwell in them, and walk in them; and I will be their God, and they shall be my people.
 
Jamaa unasoma Biblia halafu unachimbua utakavyo wewe, daaaaah binadamu bhana

Sent using Jamii Forums mobile app
Nachimbua nitakavyo au ndivo ilivyo wewe ndio hutaki, unakaza fuvu. Wakristo wote tangu mwanzo wa kanisa , nenda mashariki ya kati mpaka leo ndio imani yao, nyie wajuaji wa karne ya 19 ndio mnajikuta mnajua sana, kwanza mnasoma kipande tu cha Bibilia, vitabu sita mmeachana chana kwanzia 1500s.
 
Utakuwa una funza kichwani. Umesoma vizuri kitabu cha hesabu 24. 8-9. Muwe mnasoma na kuelewa Mungu hajakataza sanamu wala images ila kuzipa uhai na kuamini zina nguvu zenyewe kama zenyewe. Otherwise asingetoa maelekezo inatengenezwe sanamu ya nyoka, au makerubi nk. Sisi tunajitambua hatukurupuki , hakuna mkatoliki anaabudu sanamu mzee, shauri lako. Tuna akili sana tu tena mpaka zinamiminika na sanamu hatuachi kuzitumia kwakuwa hazijakatazwa kwa matumizi yasiomkera Mungu. Alafu kama unaamini Yesu ni Mungu alafu mamaake unataka tumuite mama wa nani?🤷🏿‍♂️ waprotestanti bana. Mmepoteana na kupotea😂
Hebu let's vifungu Kwanza naona kama unajipa mamraka ya mussa
 
Nachimbua nitakavyo ndivo ilivyo wewe ndio hutaki, unakaza fuvu. Wakristo wote tangu mwanzo wa kanisa , nenda mashariki ya kati mpaka leo ndio imani yao, nyie wajuaji wa karne ya 19 ndio mnajikuta mnajua sana, kwanza mnasoma kipande tu cha Bibilia, vitabu sita mmeachana hana kwanzia 1500s
Maana unachanganya bible na mambo mengine, naomba u straight kwenye kitu kimoja Neno la Mungu au history ya kanisa ili nikujibu.

Sanamu ziliingia baada ya mwaka 325 ndugu hapo ndipo zikaingia sanamu.
 
Huyo Mama White anafanya waumini waache kuhubiri habari njema za Kristo na waingine kwenye mabishano ya Sabato.

Kama Sabato ndio ukamilifu wa Sheria na wenzenu hawaifuati Basi ifuateni nyie mwende peke yenu mbinguni na sio kubakia kuwa wasengenyaji na waeneza chuki dhidi ya madhebu mengine.

Shikeni Sabato yenu na mbaki na furaha.
Kila kukicha ni Sabato Sabato mmeona dhambi ni hiyo tu Basi.

Kumbukeni Kisa cha Farisayo na Mtoza Ushuru.
 
kwa mtu asiyesoma biblia na kuelewa Falsafa ya Yesu, anaweza kusema wasabato wako sahihi, lakini kumbe ni kutoelewa Falsafa ya Yesu kristo. Hata hivyo suala la Sanamu kidogo ndugu zangu hawa waliangalie. si zuri, si zuri hata kidogo
 
Maana unachanganya bible na mambo mengine, naomba u straight kwenye kitu kimoja Neno la Mungu au history ya kanisa ili nikujibu.

Sanamu ziliingia baada ya mwaka 325 ndugu hapo ndipo zikaingia sanamu.
Zipo kabla ya hapo. Vifungu vichache hapo nimekupa hutaki kuelewa nakuuliza Mussa aliambiwa achonge nini? Na kama Mungu alikataza sanamu kwa nini alimwambia achonge sanamu ya nyoka? Ambayo wakiitazama wanaoona? Mpo na akili timamu au mnasoma sana conspiracy theories eti zilianza baada ya 325. Unatia aibu. Soma tena usome vizuri sana.
 
Back
Top Bottom