Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,361
- 21,680
ila billnass alikuwa anamtafuna hamisa Kimya Kimya ,chini chin kama ngwea....watoto WA kinondoni sio poa ...[emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa 👋👋Hakuna kitu kibaya kama kulea Kojo la jamaa mwingine
Kwani zari haja move on au yule mkenya?Kwa mujibu yule walijuana na billnasi kipindi Cha kesi,ya madai ya mtoto, mwingine picha ya mchupi wa nandi, ndo wakaanza,diamond walipima Dna na yule mtoto Sasa mond anataka waende kupima south, Hamisa alikataa na alisema ye anashukuru anapata riziki na anamtunza mtoto bila baba, kamkataa, Ila Sasa kakubali baada ya mange kumshauri, alafu mange kasema yule kinamuhuma baada ya kuona hamisa kamove alafu yupo na mafanikio kwa Sasa ndo Mana kujifanya kuwasherehesha wale watoto wa mbali, ma birthday Mara kwenda Rwanda, kuwapost post.
Ila shost mtoto kafanana na bill nengaa bhanaaaKwa mujibu yule walijuana na billnasi kipindi Cha kesi,ya madai ya mtoto, mwingine picha ya mchupi wa nandi, ndo wakaanza,diamond walipima Dna na yule mtoto Sasa mond anataka waende kupima south, Hamisa alikataa na alisema ye anashukuru anapata riziki na anamtunza mtoto bila baba, kamkataa, Ila Sasa kakubali baada ya mange kumshauri, alafu mange kasema yule kinamuhuma baada ya kuona hamisa kamove alafu yupo na mafanikio kwa Sasa ndo Mana kujifanya kuwasherehesha wale watoto wa mbali, ma birthday Mara kwenda Rwanda, kuwapost post.
Hivi unaweza kumuamini mtu kila siku anamsema domo kwa mabaya...kwanza unaposema anamaisha si abaki na nwanae...kudanga huwa ni laana mpka kizazi chako cha 4Kwa mujibu yule walijuana na billnasi kipindi Cha kesi,ya madai ya mtoto, mwingine picha ya mchupi wa nandi, ndo wakaanza,diamond walipima Dna na yule mtoto Sasa mond anataka waende kupima south, Hamisa alikataa na alisema ye anashukuru anapata riziki na anamtunza mtoto bila baba, kamkataa, Ila Sasa kakubali baada ya mange kumshauri, alafu mange kasema yule kinamuhuma baada ya kuona hamisa kamove alafu yupo na mafanikio kwa Sasa ndo Mana kujifanya kuwasherehesha wale watoto wa mbali, ma birthday Mara kwenda Rwanda, kuwapost post.
Hiyo moral of the story mbona ipo one side tu, mbona na yy hamisa inamtafuna kwa aliyoyafanya kwa Zari? Au kwa vile ni mTz mwenzetu tufunike kombe mwanaharamu apiteUbaya ni kuwa neno lolote atakalolizungumza platnumz lazma limrudie,
Akisema hamisa alimsingizia mtoto, mama yake nae amelifanya hilo kwa mzee abdul publicly
Kama amemkana mtoto huku akijua ni wake au tu kumpuuza. Atakuwa amefanya kitu ambacho ameshafanyiwa
Moral of the story, walioumizwa huumiza wengine
Nani alikuwa alikuwa anajishusha pale wachafu na walikuwa wanamuita masikini,zari, misa au mkenya, na alikuwa hatakiwi na sasa yupo bize na Maisha yanamuendea, mi nimeandika kwa mujibu wa dada wa taifa, na Misa baada ya kukubali kasema DNA ya wazi sio Kama waliyopimia huku, Kama mange muongo mkweli ni mawazo yako.Kwani zari haja move on au yule mkenya?
Mange kimambi ana maneno ya uongo sana we kila anachoandika unaamini tu.
Ye alivyomfanyia mmewe marehemu na kuja kuolewa na tz kwa benten, na kutuchamba wa bongo masikini, matokeo kaolewa bure tu, Hamisa Hana mpango na msaada wa mond kwa Sasa na kasema anashukuru milango ya riziki inafunguka sio Kama zamani, na kuhusu mtoto analea mwenyewe, sio Kama zamani Mara kulalamika kwa mzee Abdul, Mara mahakamani , ustawi wa jamii wakaenda dna, tupende vya kwetu, Kama kina Samata awajashobokea kuoa wazungu wameoa wa nyumbani Maisha yanakwenda.Hiyo moral of the story mbona ipo one side tu, mbona na yy hamisa inamtafuna kwa aliyoyafanya kwa Zari? Au kwa vile ni mTz mwenzetu tufunike kombe mwanaharamu apite
Tatizo lipo wapi? Hamisa yupi huyo kila siku ana danga jipya yaani unaweza kuamini mwanamke anayedanga !?Ye alivyomfanyia mmewe marehemu na kuja kuolewa na tz kwa benten, na kutuchamba wa bongo masikini, matokeo kaolewa bure tu, Hamisa Hana mpango na msaada wa mond kwa Sasa na kasema anashukuru milango ya riziki inafunguka sio Kama zamani, na kuhusu mtoto analea mwenyewe, sio Kama zamani Mara kulalamika kwa mzee Abdul, Mara mahakamani , ustawi wa jamii wakaenda dna, tupende vya kwetu, Kama kina Samata awajashobokea kuoa wazungu wameoa wa nyumbani Maisha yanakwenda.
Hiyo moral of the story mbona ipo one side tu, mbona na yy hamisa inamtafuna kwa aliyoyafanya kwa Zari? Au kwa vile ni mTz mwenzetu tufunike kombe mwanaharamu apite
CozNauliza tu sio kwa ubaya kwanini Diamond plantum amemtwnga mtoto wake aliyezaa nae hamisa Mobeto?